Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnanifurahisha zaidi pale mnapo amini yesu kabeba dhambi zenu lakin bado mnahangaika kuutafuta ufalme wa mbinguni[emoji848][emoji848][emoji848]Wananchanganyaga pale mswalie mtume,sa mnamswalia wa nn wakat yeye ndo inabidi awaswalie nyie mpo duniani mana ye keshafika huko anakokujua
We ni CHIZI!Sivyo..
Comment yangu imelenga kumhoji huyo aliyesema makundi ya kigaidi ya ISiS,
al-Shabaab, nk yanamilikiwa na Wakristo wakati baadhi ya matendo yao ni kuua Wakristo, kuteketeza makanisa Kwa moto, nk. Tatizo lenu uongo na fitna ni ibada!!!
Cha kufurahisha zaidi mmetuonea wivu mkaamua kutuletea majini yatuangaishe mana mnajua nyie mbinguni hamkanyagiMnanifurahisha zaidi pale mnapo amini yesu kabeba dhambi zenu lakin bado mnahangaika kuutafuta ufalme wa mbinguni[emoji848][emoji848][emoji848]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ulimwengu haujawai kuwa na amani , kama Mungu wako mwenyewe walimpiga makofi na kumuuaHabari wananchi.
Neno uislam ni neno lenye asili ya Kiarabu ambalo maana yake ni unyenyekevu.
Kwa uhalisia uislam hauna unyenyekevu na uvumilivu ndani yake.
Wanachokifanya Alshabab, Alqaeda, Islamic state, Bokko haram, na vikundi vingine vya itikadi kali ndio taswira halisi ya Uislam.
Vikundi hivi ni kama tu vinatoa ujumbe au vinajiandaa na kile ambacho kitatokea siku za mbele.
Nasikitika kusema kitu hicho (Jihad) hakuna anayeweza kukizuia. Lazima kitatokea, labda Yesu arudi haraka kunyakua kanisa lake takatifu hivi karibuni ndio itakuwa njia pekee ya kublock hii Jihad.
Bokko haram, IS, Alqaeeda, Alshabab n k hufadhiliwa na matajiri wakubwa wa Kiislamu kwa kuwamwagia mabilioni hawa vijana wanaompigania Allah ( Mungu wa waislamu).
Matajiri hawa wanamwaga mabilioni wakitaraji thawabu, na wapiganaji hawa hutoa hata uhai wao kwasababu ya Allah wakiamini ni ibada takatifu ya kuwapeleka Peponi.
Ni wasomi wazuri wa Quran kwa ngazi ya Diploma, degree na Master's. Kwahiyo hawa hufanya kile dini inataka. Na huo ndio Uislam.
View attachment 2423279View attachment 2423280View attachment 2423281View attachment 2423282View attachment 2423284View attachment 2423286View attachment 2423287View attachment 2423289View attachment 2423298
Mbona Yehova aliua wengi tu kwa kufata miungu mengine, nyie watu mna sahau haraka sanaNi story ndefu ndugu ila kwa ufupi walitaka kuniua kisa nimeiacha dini ya Mnyaizimungu