Uislam ni dini inayoleta vurugu na kuharibu amani ya ulimwengu

Uislam ni dini inayoleta vurugu na kuharibu amani ya ulimwengu

Magaidi wanakuja hapa muda sio mrefu wakiwa na mabomu ya kujitoa mhanga.
uwisilamu unakataza kuzulumu pia aruhusu muisilamu akubali kudhurumiwa ukiwadhurumu wakumwage mavi
 
Uislamu upo Kila sehemu mpaka huko marekani ..... nadhan baada ya Osama watu wanafanya vitu vibaya kwa kutumia neno uislamu mkuu ....
 
Kwa hiyo al-Shabaab na al-Qaeda wanaoua watu Kwa jina la mungu wao, na Boko Haram wanaoua watu, kulipua makanisa na kuteka mabinti wadogo na kutokomea nao misituni kwenda kuwabaka, wote hao ni dini gani?!
wote hao ni waisilamu haya sasa shangilia
 
Habari wananchi.

Neno uislam ni neno lenye asili ya Kiarabu ambalo maana yake ni unyenyekevu.

Kwa uhalisia uislam hauna unyenyekevu na uvumilivu ndani yake.

Wanachokifanya Alshabab, Alqaeda, Islamic state, Bokko haram, na vikundi vingine vya itikadi kali ndio taswira halisi ya Uislam.

Vikundi hivi ni kama tu vinatoa ujumbe au vinajiandaa na kile ambacho kitatokea siku za mbele.

Nasikitika kusema kitu hicho (Jihad) hakuna anayeweza kukizuia. Lazima kitatokea, labda Yesu arudi haraka kunyakua kanisa lake takatifu hivi karibuni ndio itakuwa njia pekee ya kublock hii Jihad.

Bokko haram, IS, Alqaeeda, Alshabab n k hufadhiliwa na matajiri wakubwa wa Kiislamu kwa kuwamwagia mabilioni hawa vijana wanaompigania Allah ( Mungu wa waislamu).

Matajiri hawa wanamwaga mabilioni wakitaraji thawabu, na wapiganaji hawa hutoa hata uhai wao kwasababu ya Allah wakiamini ni ibada takatifu ya kuwapeleka Peponi.

Ni wasomi wazuri wa Quran kwa ngazi ya Diploma, degree na Master's. Kwahiyo hawa hufanya kile dini inataka. Na huo ndio Uislam.

View attachment 2423279View attachment 2423280View attachment 2423281View attachment 2423282View attachment 2423284View attachment 2423286View attachment 2423287View attachment 2423289View attachment 2423298
wasomali hawatiki wavamizi wamezingilwa na majeshi ya amisom na makomandoo wa amerika kutoka jibuti ulitaka wakae tu wapangiwe jinsi ya kuishi na wazungu hali yakuwa uwezo wa kubeba silaha wanao hacha wapambane tu mpaka kieleweke kumkalibisha mzungu ni kukaribisha ushoga ukahaba wasomali hawatiki waiteni mtakavio lakini hawako tayali kutawali
 
u nailed it bro uzi ufungwe na wasichokijua ni kwamba wanaona kwa macho mawili sio matatu wakibrainwashiwa kidogo tu wanaanzisha nyuzi afatilie ukweli hata u tube zipo documentaly zinaeleza vyema mfano tukio la sept 11 wanadai ni osama lakini ukifatilia mitandaoni ni michezo yao wenyewe, ISIS ni product za wamarekani zote, same to ALSHABABY....hata wewe ukivaa kanzu ukijiripua watasema waislamu kumbe ni mgalatia mmoja kajiripuaa......SIKUZOTE KIZURI KINAPIGWA MAWE SANA
amka blaza na kuanzia leo uelewe anaejilipua sio muislam ,sio mafundisho ya Mungu wala Mtume wake.....ISLAAAM ......(AMANI)
nakupa mtihani kidogo ukiweza uutafute andika GOOGLE (UTATA KATIKA BIBLIA UONE MISTARI ILIVYOPISHANA KWENYE MAANA NA UWE NA BIBLIA PEMBENI halafu ukimaliza andika UTATA katika Quraan kama utapata utata wowote njoo hapa tujadili
kitabu kinabadirikabadirika kama ANDROID VERSION ila Quraan ni ileile tangu karne ya 6 hadi leo haijaongezwa wala kupunguzwa na imeeleza vitu hadi duniaa iishe......ukiwa na quraani tu inatosha kuwa katiba na mkaanzisha state kwa maana imeeleza maisha yote mfano namna ya kuoa,utawala ,biashara,sherehe ,vyakula ila ukiwa na biblia utahitaji na katiba iliyotungwa na wanaadamu ndo mambo yaende

NAFURAHI SANA KUZALIWA MUSLIM.

NAULIZA WAMEENDA KUANGALIA KOMBE LA DUNIA AU KUNYWA POMBE?
wapi qur aan alipo andika kuwa waisilam wageuzwe begi la kujifunzia ngumi wao wakae kimia wasijibu?wote hao wanao pambana na mfumo wawa zungu ni waisilm wasio kubali kuonewa mfano jirani zetu somali jibuti kuna kituo cha waamerika kwaajiri ya kuwadhibiti wasomali kuna amisom kisa kupadikiza mila zao hapo wao wakae tu hacha wapambane nao

wazungu walijikusanya wakavamia afoghanisitani na wakaondoa serikali ya mulla omari wakaua waisilamu wengi tu wakijibu heti uisilamu auruhusu haya siriya palesitina iraq yamani mali hacha wapambane tu mpaka kieleweke wapi pameandikwa kuwa kafiri ndie mwenye haki ya kuweka tawala kila nchi na kuweka mila zake

uisilamu aunakataza kulianzisha lakini pia wakilianzisha unaruhusu kupambana nao kwa hali yoyote heti wanajitoa muanga anae rusha bomu kutoka angani na kulipua maelufu ya watu je
 
Habari wananchi.

Neno uislam ni neno lenye asili ya Kiarabu ambalo maana yake ni unyenyekevu.

Kwa uhalisia uislam hauna unyenyekevu na uvumilivu ndani yake.

Wanachokifanya Alshabab, Alqaeda, Islamic state, Bokko haram, na vikundi vingine vya itikadi kali ndio taswira halisi ya Uislam.

Vikundi hivi ni kama tu vinatoa ujumbe au vinajiandaa na kile ambacho kitatokea siku za mbele.

Nasikitika kusema kitu hicho (Jihad) hakuna anayeweza kukizuia. Lazima kitatokea, labda Yesu arudi haraka kunyakua kanisa lake takatifu hivi karibuni ndio itakuwa njia pekee ya kublock hii Jihad.

Bokko haram, IS, Alqaeeda, Alshabab n k hufadhiliwa na matajiri wakubwa wa Kiislamu kwa kuwamwagia mabilioni hawa vijana wanaompigania Allah ( Mungu wa waislamu).

Matajiri hawa wanamwaga mabilioni wakitaraji thawabu, na wapiganaji hawa hutoa hata uhai wao kwasababu ya Allah wakiamini ni ibada takatifu ya kuwapeleka Peponi.

Ni wasomi wazuri wa Quran kwa ngazi ya Diploma, degree na Master's. Kwahiyo hawa hufanya kile dini inataka. Na huo ndio Uislam.

View attachment 2423279View attachment 2423280View attachment 2423281View attachment 2423282View attachment 2423284View attachment 2423286View attachment 2423287View attachment 2423289View attachment 2423298
Sio kweli,mbona Zenj, Turkey,nchi zenye Islam wengi hakuna shida,Wala vita,
Hii dini maandiko yake yanatumika vibaya tu,
Ni kama Ukristo sasa hv unavyotumika sasa hv kunenepesha matumbo ya watu wanaojiita manabii,wanawakamua wafuasi wao kwa miujiza ya mchongo,
Na watu wlivyowajinga,wanaamini upuuzi tu,uislam sio mbaya,hata kwenye Ukristo Kuna maandiko ukiyafata kama yalivyo,utazua balaa,ni tafsiri mbovu tu.
 
Habari wananchi.

Neno uislam ni neno lenye asili ya Kiarabu ambalo maana yake ni unyenyekevu.

Kwa uhalisia uislam hauna unyenyekevu na uvumilivu ndani yake.

Wanachokifanya Alshabab, Alqaeda, Islamic state, Bokko haram, na vikundi vingine vya itikadi kali ndio taswira halisi ya Uislam.

Vikundi hivi ni kama tu vinatoa ujumbe au vinajiandaa na kile ambacho kitatokea siku za mbele.

Nasikitika kusema kitu hicho (Jihad) hakuna anayeweza kukizuia. Lazima kitatokea, labda Yesu arudi haraka kunyakua kanisa lake takatifu hivi karibuni ndio itakuwa njia pekee ya kublock hii Jihad.

Bokko haram, IS, Alqaeeda, Alshabab n k hufadhiliwa na matajiri wakubwa wa Kiislamu kwa kuwamwagia mabilioni hawa vijana wanaompigania Allah ( Mungu wa waislamu).

Matajiri hawa wanamwaga mabilioni wakitaraji thawabu, na wapiganaji hawa hutoa hata uhai wao kwasababu ya Allah wakiamini ni ibada takatifu ya kuwapeleka Peponi.

Ni wasomi wazuri wa Quran kwa ngazi ya Diploma, degree na Master's. Kwahiyo hawa hufanya kile dini inataka. Na huo ndio Uislam.

View attachment 2423279View attachment 2423280View attachment 2423281View attachment 2423282View attachment 2423284View attachment 2423286View attachment 2423287View attachment 2423289View attachment 2423298

Usiikashifu dini kwa sababu ya tabia za watu au kikundi fulani cha watu waotumia mwavuli wa uislam kwa kufanya mabaya! Hakuna sehemu kwenye dini imeelezea kama unavyoelezea ww!
 
Aisee..
Basi hao CiA ni hatari kama ndo wanatekeleza hiyo milipuko na mauaji..

hata kama ni waisilam sawa tu yatupasa tuweke ushabiki pembeni tujikumbushe miaka 20 nyuma dunia ilikuwa katika hali gani?

baada ya wamarekani kuivamia afoghani sitani kisha iraq siriya ribiya na kuua watawala wa nchi hizo dunian kulitokea nn mpaka sasa?

pia tujikumbushe somali miaka ya nyuma kabla hamisom awajapeleka jeshi lao pale na amerika kuweka kambi jibuti somalia kulikuwaje

tujikumbushe kabla ufaransa ajapeleka jeshi lake mali kupambana na waisilam kulikuwaje?

tumalizie palesitina mpaka sasa tunaonge wapalesitina ni watu wanaoishi kwa dhiki duniani kuliko mtu yoyote baada ya kunyanganywa aridhi zao na waloezi wa kiyahudi kisa niwaisilam

wakipamna nao kuna ubaya gani?kunya anye kuku akinya bata kaharisha hacha watwe majina ya ugaidi tu

hakuna andiko kwenye qur,aan linalo sema kuwa muisilam yeye awe wakuonewa tu na kusema hewala hacha wapambane mpaka kieleweke
 
Kama watu wanauana unategemea hiyo dini ina akili?
hacha wauane hili heshima ipatikane hata mtume wako paulo alikuwa hanithi pia mwanasheria aliwaua sana wanafunzi wa yesu paulo na wazungu wanao waangamiza waisilam wanatofaoti gani
 
Usiikashifu dini kwa sababu ya tabia za watu au kikundi fulani cha watu waotumia mwavuli wa uislam kwa kufanya mabaya! Hakuna sehemu kwenye dini imeelezea kama unavyoelezea ww!
kwahiyo qur,aan inaruhusu waisilam kupigwa wasilipe kisasi?
 
KAKA UNA UMRI GANI? IV KWELI UMESHINDWA KUTOFAUTISHA KATI YA UISLAM NA WAISLAM


UISLAM NI UNYENYEKEVU NA IPO KMA ILOVYO HAINA MAFUNDISHO YA KUVUNJA AMAN HAYA CKU MOJA


WAISLAM NI WATU KAKA MFANO UNAISIKIA SHEIKH AMEBAKA KWAHIYO UISLAM NDIO UMEBAKA

HAPO KUNA DIN NA KUNA WATU

UISLAM WENYEWE KMA WENYEWE HAUNA HATA HAYA MOJA INAYOCHOCHOE HAYO MAMBO BALI INAFUNDISHA HAKI

LAKIN WAISLAM SISI NDIO WAOVU KAKA
 
Usiikashifu dini kwa sababu ya tabia za watu au kikundi fulani cha watu waotumia mwavuli wa uislam kwa kufanya mabaya! Hakuna sehemu kwenye dini imeelezea kama unavyoelezea ww!
Kwahiyo wale alshabab wasomi wa Quran na wafadhili wao matajiri na wanaoijua Quran tangu utotoni umewazidi elimu ya dini?
 
KAKA UNA UMRI GANI? IV KWELI UMESHINDWA KUTOFAUTISHA KATI YA UISLAM NA WAISLAM


UISLAM NI UNYENYEKEVU NA IPO KMA ILOVYO HAINA MAFUNDISHO YA KUVUNJA AMAN HAYA CKU MOJA


WAISLAM NI WATU KAKA MFANO UNAISIKIA SHEIKH AMEBAKA KWAHIYO UISLAM NDIO UMEBAKA

HAPO KUNA DIN NA KUNA WATU

UISLAM WENYEWE KMA WENYEWE HAUNA HATA HAYA MOJA INAYOCHOCHOE HAYO MAMBO BALI INAFUNDISHA HAKI

LAKIN WAISLAM SISI NDIO WAOVU KAKA
Uislamu ukiwaondoa waislamu bado ile dini itaitwa uislamu na itakuwa hai?
Unadhani wale wafadhili wa alshabab ambao ni wasomi wabobezi wa Quran wanaozitoa mali zao kwaajili ya Allah kufadhili mauaji umewazidi elimu?
 
Back
Top Bottom