Uislam ni dini inayoleta vurugu na kuharibu amani ya ulimwengu

Wananchanganyaga pale mswalie mtume,sa mnamswalia wa nn wakat yeye ndo inabidi awaswalie nyie mpo duniani mana ye keshafika huko anakokujua
 
Wananchanganyaga pale mswalie mtume,sa mnamswalia wa nn wakat yeye ndo inabidi awaswalie nyie mpo duniani mana ye keshafika huko anakokujua
Mnanifurahisha zaidi pale mnapo amini yesu kabeba dhambi zenu lakin bado mnahangaika kuutafuta ufalme wa mbinguni[emoji848][emoji848][emoji848]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sivyo..
Comment yangu imelenga kumhoji huyo aliyesema makundi ya kigaidi ya ISiS,
al-Shabaab, nk yanamilikiwa na Wakristo wakati baadhi ya matendo yao ni kuua Wakristo, kuteketeza makanisa Kwa moto, nk. Tatizo lenu uongo na fitna ni ibada!!!
We ni CHIZI!
 
Uisilamu hauna shida
shida ni baadhi ya waisilamu uuaji sio uisilamu hata kidogo.
changamoto kubwa inakuja kwasababu waliotuletea dini walikuja na namna ya kututawala pia sasa wakatuaminisha na visivyo halali katika dini ikawa tabu kwetu.
 
Zamani ukristu ulilazimishwa kwa upanga, hapo unasemaje? Hata sasa kuna vita baridi, ku-mbatiza mtoto angali mchanga ni ukatili wa kiimani. Kumtishia mtu ataenda motoni ili afuate imani yako ni ukatili.
 
Ulimwengu haujawai kuwa na amani , kama Mungu wako mwenyewe walimpiga makofi na kumuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…