Uislam ni dini inayoleta vurugu na kuharibu amani ya ulimwengu

UKWELI NI KWAMBA HAO ULIOWATAJA NA MATENDO YAO HAYO NI KINYUME KABISA NA UISLAMU, KUANZIA LEO UJUE NA UTAMBUE KUWA MATENDO YA ALSHABAAB, BOKO HARAAM, ALQAEDA, ISIS, NA WENGINEO KTK MAGAIDI HARAKATI ZAO NA MATENDO YAO YA KIGAIDI SI UISLAMU NA WALA SI MAELEKEZO YA UISLAMU. JAPOKUWA WAO WENYEWE NI WAISLAMU ILA NI WAISLAMU WAJINGA WALIODHURIWA NA FIKRA POTOFU ZA KIKHAWAARIJ. FIKRA HIZO SI SEHEMU KTK UISLAMU. UGAIDI WAO NI WA KWAO KWASABABU YA UPOTOFU WAO!!
 
[emoji1787]
 
Mimi Uislamu wangu nauelewa!!!
 
Huyu Maamuma asikuumize kichwa, Sandali Ali wewe ni Maamuma
 
Alafu wao wenyewe hawana hata hizo habari siku hizi..., wako busy kuongoza dunia 😂😂😂

Marekani na Ulaya hata vijana hawana habari na makanisa yao tena... wako busy kuvumbua mambo mapya ili kuzidi kuiweka dunia kiganjani, njoo huku kwa walala hoi wenye mali na kila kitu wakakosa akili ni vituko vitupu 😂😂😂

Eti mtu anafungua Uzi wa namna hii dahh! 😂🙌🏾
 
Unataka umkate kichwa ili umtetee mungu wako.

Huyo mungu anayetetewa na wewe mwanadamu ni dhaifu sana....
 
Mpumbavu ni Baba yako aliemwaga manii ikaunda kizazi kisichojielewa ambaye ni wewe. Hatuna kiasi sawa cha uelewa. Sijibizani na watu ma-bogus... kama atleast una Postgraduate diploma njoo tubishane kwa hoja zenye mantiki.
Wewe haiwezekani ukawa na akili yoyote ndio maana unatukana. Huo ni udhahiri wa takataka zilizojazwa kwenye hilo fuvu lako. Shwain.
 
Kwa hiyo al-Shabaab na al-Qaeda wanaoua watu Kwa jina la mungu wao, na Boko Haram wanaoua watu, kulipua makanisa na kuteka mabinti wadogo na kutokomea nao misituni kwenda kuwabaka, wote hao ni dini gani?!
 
antimatter Usikurupuke kwa chuki, hasira na mihemko ya mkumbo.

Huna unachojua na unachoelewa duniani maskeen... mmesimika chuki kwenye dini ya kiislam ndo mana swali lako limelenga dini moja kwa moja na limekaa kichukichuki. Maisha yanayoendelea ni Movie tupu kwa taarifa yako.

Wazungu ni watu wabaya sana!... inshort (watu weupe) ni watu wabaya sana na hatari. Kheri waafrika wanajulikana na matatizo yao ya hovyo! Kutokana na ujinga na ushamba.
 
Kwa hiyo al-Shabaab na al-Qaeda wanaoua watu Kwa jina la mungu wao, na Boko Haram wanaoua watu, kulipua makanisa na kuteka mabinti wadogo na kutokomea nao misituni kwenda kuwabaka, wote hao ni dini gani?!
Kwaiyo na hao wanaotetea mashoga nao ni dini gani? au kwako ushoga ni sawa tu?
 
....mmesimika chuki kwenye dini ya kiislam ndo mana swali lako limelenga dini moja kwa moja na limekaa kichukichuki.
Sivyo..
Comment yangu imelenga kumhoji huyo aliyesema makundi ya kigaidi ya ISiS,
al-Shabaab, nk yanamilikiwa na Wakristo wakati baadhi ya matendo yao ni kuua Wakristo, kuteketeza makanisa Kwa moto, nk. Tatizo lenu uongo na fitna ni ibada!!!
 
Wewe uliyeposti ndio unatuharibia amani, huwa hapa Tanzania hatukashifu dini za wenzetu
 
Hebu fanya utafiti mzuri juu ya dininya kiislamu

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…