Uislamu haujakataza asiye muislamu kula mchana wa ramadhani, siungi mkono wasio waislamu kuzuiwa kula mchana

Kuna siku nilisikia msikitini ikisifiwa tende kwamba ni tunda bora kuliko yote hii kwa mwafrika yeyote mwenye kufikiri ni tusi kwake.
 
Kuna siku nilisikia msikitini ikisifiwa tende kwamba ni tunda bora kuliko yote hii kwa mwafrika yeyote mwenye kufikiri ni tusi kwake.
Hahahahha aiseeee.

Kwa nini ?
 
Mimi nimesikitika kuona Zanzibar mpaka sehemu za vyakula zinafungwa, kula mahali ambapo ni pa wazi hairuhusiwi! Inabidi zanzibar iitwe dora la kiislam na warudi kwa waOman.
 
Mimi nimesikitika kuona Zanzibar mpaka sehemu za vyakula zinafungwa, kula mahali ambapo ni pa wazi hairuhusiwi! Inabidi zanzibar iitwe dora la kiislam na warudi kwa waOman.
Tuwaelimishe waachane na misimamo feki isiyowafikisha popote.

Kuna mambo ya kutilia mkazo katika jamii kama vile wanawake kutembea wamevaa vibaya wakionesha maungo yao,kudhibiti ushoga n.k
 
Ukijua kuwa hii DINI imeanzishwa na WA Roman Catholic Iko chini ya Papa hata HUWEZI KUUMIZA Kichwa.

Roman Empire.
 
Ukijua kuwa hii DINI imeanzishwa na WA Roman Catholic Iko chini ya Papa hata HUWEZI KUUMIZA Kichwa.

Roman Empire.
Nasubiri siku hii mada ianzishwe ili nipate kujifunza katika hii ishu
 
Ukijua kuwa hii DINI imeanzishwa na WA Roman Catholic Iko chini ya Papa hata HUWEZI KUUMIZA Kichwa.

Roman Empire.
Kuna uzi sijui uko wapi unaelezea hii inshu naomba unitag kama unaujua
 
Wejamaa ukisifiwa ndo unaona siiifaa akati vitu viko wazi kabisa nchi zote za waslamu wengi ilo swala la kula hazarani mchana no no
 
Wejamaa ukisifiwa ndo unaona siiifaa akati vitu viko wazi kabisa nchi zote za waslamu wengi ilo swala la kula hazarani mchana no no
kuna tofauti ya waisilamu na uisilamu,know the difference
 
Kudadadeki yaani hela ni zangu na kula nakula kwa raha zangu halafu aje mtu kunikamata kisa eti nakula mchana? Haki ya nani huyo mtu itabidi aombe Mungu wake, nitamkung'uta vibaya sana na kumshikisha adabu. Hapa ni Tanzania si jehanam, nani anayekatazwa kula?
 
Watu wanakatazwa kula mzee.

Nenda zanzibari huko utayashuhudia.😀
 
Zanzibar kuna uonezi tu mbona watalii wanatembea na chupa zamaji mkononi wakinywa mchana kweupe au kwa kuwa ni wazungu?
Kwa kuwa ni wazungu kaka.

Fanya wewe mswahili utanangwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…