Sasa ndio misingi ya ligi zote ndi maana ni haramu😅😅.

Sheria ya FIFA ni kuvaa vibukta na hapo ndio haramu mpira kama mpira wenyewe sio haramu .
 
Ebu mwambie😅
 
Kwanini kamari ni haramu?

Kamari ni miongoni mwa kazi chafu za Shaytwaan na yampasa Muislamu kujiepusha nayo. Hii ni kwa mujibu wa Qawl ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’aalaa):



يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ ﴿٩٠﴾

Enyi walioamini! Hakika pombe na kamari na masanamu na kutazamia kwa mishale ya kupigia ramli; ni najisi na chukizo kutokana na kitendo cha shaytwaan; basi jiepusheni navyo, mpate kufaulu. [Al-Maaidah: 90].
 

Attachments

  • Screenshot_20230922-143028.png
    309.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20230922-143051.png
    311 KB · Views: 3
  • Screenshot_20230922-143000.png
    349.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_20230922-142931.png
    385.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20230922-142805.png
    311.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20230922-142841.png
    445.6 KB · Views: 4
Lakini mnalifuata like liaidol Leno Moja jeusi mnalolisujudia
Naona upo nje ya mada 😅😅we tapeli ,mlevi ,katili mzee wa migombani kaa pembeni ...Hauna unachojua zaidi ya kuishi kweny migomba kama tumbiri.

Sibishana na wenye uwezo mdogo.!!
 
Naona upo nje ya mada 😅😅we tapeli ,mlevi ,katili mzee wa migombani kaa pembeni ...Hauna unachojua zaidi ya kuishi kweny migomba kama tumbiri.

Sibishana na wenye uwezo mdogo.!!
Wee mwenyewe jeusi tii unashadadia mila za kiarabu
 
Iyo rangi ya meno ni chata identity. Tutabaki kuwa kabila pekee afrka mashariki na kati Wayne IQ kubwa, maendeleo na uelewa ukiondoa wakikuyu na Tutsi.

Mtajaribu wee kutushusha mtashindwa.

Tafiti za DNA zimedhihirisha na kuthibitisha.
😅😅😅Tapeli na meno kama unakula mavi ,IQ ya nyoko ?

Hamna jipya sasa kila mtu anajielewa sio kuchomekana ,wageni wameshikq kila kona kweny biashara nyie mnabaki kama wachuuzi ....Vyeti feki mlilambwa sana mpaka mkamchukia jiwe.
 
Uislamu ni kufuata mafundisho ya Quran na Sunnah

Uislamu sio kufuata Mila za waarabu (Watu wengi Wana dhana mbaya)


Kuna waarabu wahuni kupitiliza, wa
Uislamu ni kufuata mafundisho ya Quran na Sunnah

Uislamu sio kufuata Mila za waarabu (Watu wengi Wana dhana mbaya)


Kuna waarabu wahuni kupitiliza, wauaji, wasagaji, wazinzi, washirikina, Wala tigo nk je huo ndio uislamu???

Katika uislamu, mtanzania anaweza kuwa mbora kuliko mwarabu kwa sharti akiwa mchamungu


يَا أَيُّهَا النَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَاكُمْ مِنْ ذَكَرٍ وَأُنْثَىٰ وَجَعَلْنَاكُمْ شُعُوبًا وَقَبَائِلَ لِتَعَارَفُوا ۚ إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِنْدَ اللَّهِ أَتْقَاكُمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ

Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. (49:13)


Ukitaka kujua uharamu wa mpira angalia yanayofanyika kwenye mpira
 
Iyo rangi ya meno ni chata identity. Tutabaki kuwa kabila pekee africa mashariki na kati Wenye IQ kubwa, maendeleo na uelewa ukiondoa wakikuyu na Tutsi.

Mtajaribu wee kutushusha mtashindwa.

Tafiti za DNA zimedhihirisha na kuthibitisha.

darcity
Nyie wengi matahira yaani ukichukua watu 8 kwenu 3 ni wendawazimu ....Matahira wengi mikoani wanatokea huko kwenu kuwa makini😅😅nasaba yenu ni utahira wengi wanatolewa kafara.

Kimkoa kina watu kidogo ila matahira ni wengi 😅😅

 
Kama Saudi Arabia kwenyewe ndiyo kwanza mpira wa miguu umehamia huko!! Hivi kuna Muislam atapata ujasiri wa kuuita mpira wa miguu ni haram kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…