Uislamu na Ukristo ndiyo vimeleta ubaguzi wa kijinsia, Afrika haikuwabagua wanawake

Siyo dini tu mkuu huyo ana lenga mbali. Macho yote kwa beberu. Anamlaumu beberu kwa lolote. Mark my words - lolote.
Kuna tofauti ya kusema historia ilivyo na matokeo yake kwetu leo na kulia wakoloni hivi na vile. Inaonekana unatabia ya kulaumu 'mabeberu' maana umekazania hiyo point. Soma historia yako vinginevyo utakuwa unalaumu wengine kila siku kwa yanayokupata.
 
Ukisoma title ukaelewa utaona kwanini nomezungumza mfano wa Shehe.

Na ukisoma mada hadi mwisho utaona mifano mingine inayoonyesha kwanini nasema hatukuwa tunabagua wanawake.
Haya kwa watakaoelewa.
 
Haya kwa watakaoelewa.
Ngoja nikusaidie kuelewa. uwepo wa Matrineal Societies unaonyesha kuwa katika waafrika mwanamke aliweza kuwa kiongozi.

Pili ni uwepo wa gender kwenye hizo lugha. Utakuta kiarabu, kiebrania na kiingereza wanajinsia kwenye lugha zao. Vitu kama She/He/Him/her/his. Lugha za kiafrika kama kiswahili hakuna hili.
 
Ilikuwa karne ipiii iyo mpaka kisabengo namiliki magobore kwenye ulinziiiii
 
Africa hii hii ambako wanawake walipigwa na kukosa sauti?
Huku huku ambako wanawake hawakufanya chochote kwa maamuzi yeyote
 
Africa hii hii ambako wanawake walipigwa na kukosa sauti?
Huku huku ambako wanawake hawakufanya chochote kwa maamuzi yeyote
Historia uliyoandikiwa ndiyo inataka kukuaminisha hivyo.
 
hujasikia shehe anasema mwanamke hafai kuwa Rais.
Hayo ni maneno yake binafsi,sio ya dini.Mwanamke katika dini zote mbili kapewa nafasi kubwa,katika uislamu Bi Khadija,Bi Aisha,Asma bint Abubakar,Maryam(mama wa Nabii Issa),Bi Asiya(Mke wa Firaun),Balkiss(alikuwa mtawala),na wengine wengi,ni mfano bora wa kupewa nafasi kubwa katika uislamu.
Ukija katika ukristo,Mariya(mama wa Yesu),na wanawake wengi tu,wamepewa nafasi kubwa kubwa.Wapo wanawake karibia mia,wametwajwa ndani ya Biblia,yupo mwanake anaitwa Abia(alikuwa mfalme(malikia) ,si chini ya miaka 25.Wapo kina Anna,Abagail na wengineo,kama sijakosea majina yao.
 
Mkuu nadhani jeshini hakuna dini.
Naomba kujua kwanini asilimia kubwa ya hostile missions kama rotations maporini nk wengi au wote huwa ni wanaume na si wanawake?!
 
Ni wasomali sio waarabu.
Hivi nyinyi mnaojifanya waarab koko mmesoma kweli au mnakariri tu vitu bila kujuwa.....acheni story za vijiweni. Hizi nchi zifuatazo ni za wapi > Jordan, Iraq, Syria, Oman, United Arab Emirates and Qatar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…