Ujamaa ni sababu mojawapo kubwa ya umasikini na uharibifu wa nchi nyingi za Afrika

Ujamaa ni sababu mojawapo kubwa ya umasikini na uharibifu wa nchi nyingi za Afrika

Haya maelezo yako ya ukabila, ukanda na udini yanahusiana vipi na ujamaa na ubepari?
Hapo unakosea sana Mkuu! Mzungu ni mtu mbaya ever!! kwa nini sisi tusiwe na ukabila Bongo??? Nyerere aliliona hilo mapema sana!! sisi wazungu walitugawa kikanda!! kusini Wanyakyusa walifanywa Bora

kanda ya ziwa Wahaya, Kaskazini Wachaga hao walipendelewa maksudi ili wawasaidie kutawala weye bado mtoto mdogo hujui haya! Nyerere kalipiga pin hilo!! kitu kingine vita ya 1 naya pili ya Dunia vilisaidia sana!

kwa vita ile Mkoloni hakukaa sana Bongo hata mrithi wake alijua tu hii iko siku ataachia tu!! kule wakoloni waliko kaa sana ndo pameathirika tena sikupeleki mbali Kenya, Burundi, Rwanda & Uganda hapo weee!

Mnajua Muziki wake kwa nini hao! hao wakimbizi wakija Bongo hawana shida???na wameolewa na kuwowa?? jibu ni mapandikizi ya chuki yanakuwa sponsored na hao hao weupe!!

Kwa nini anafanya hivo ni ili aendelee kuishi na kunyonya!! anajua tukiwa wamoja hivi hawezi...lkn pia SISI NI WABANTU...UKABILA UNATOKA WAPI ....NA UKO WAPI NA

Historia ya Wabantu asili yao ni moja tu piga ua! HAIBADILIKI HIYO labda km hukusoma!
 
JPM kama maji usipoyaoga, utayanywa, usipoyafulia, utayapikia na mwisho itamwagilia roho yako ya chuki kujifariji, baada ya hapo unakumbuka umesahau kuchamba kinyesi kilicho kichwani kama dagaa kamba. Ukikumbuka unaosha uso ndiyo unakumbuka aaaha kumbe JPM sio muasisi wa ujamaa. Wenye akili wanakushangaa uzi unahusu ujamaa na JPM sio muasisi wa ujamaa sasa hapa kaingia je ! Unakuja kugundua kama kinachosumbua ni kutu zilizo kwenye vichwa ambavyo zitaitajika brashi ya waya kusugua.
 
Hapo unakosea sana Mkuu! Mzungu ni mtu mbaya ever!! kwa nini sisi tusiwe na ukabila Bongo??? Nyerere aliliona hilo mapema sana!! sisi wazungu walitugawa kikanda!! kusini Wanyakyusa walifanywa Bora

kanda ya ziwa Wahaya, Kaskazini Wachaga hao walipendelewa maksudi ili wawasaidie kutawala weye bado mtoto mdogo hujui haya! Nyerere kalipiga pin hilo!! kitu kingine vita ya 1 naya pili ya Dunia vilisaidia sana!

kwa vita ile Mkoloni hakukaa sana Bongo hata mrithi wake alijua tu hii iko siku ataachia tu!! kule wakoloni waliko kaa sana ndo pameathirika tena sikupeleki mbali Kenya, Burundi, Rwanda & Uganda hapo weee!

Mnajua Muziki wake kwa nini hao! hao wakimbizi wakija Bongo hawana shida???na wameolewa na kuwowa?? jibu ni mapandikizi ya chuki yanakuwa sponsored na hao hao weupe!!

Kwa nini anafanya hivo ni ili aendelee kuishi na kunyonya!! anajua tukiwa wamoja hivi hawezi...lkn pia SISI NI WABANTU...UKABILA UNATOKA WAPI ....NA UKO WAPI NA

Historia ya Wabantu asili yao ni moja tu piga ua! HAIBADILIKI HIYO labda km hukusoma!
Haya Bwana.
 
Unajidanganya mchana kweupe kuanguka kwa USA ni suala la Historia tu!! super powers zooote Duniani zinakwenda kwa zamu!! zamu!! kwa mzunguko wa kidunia.....

mwanzo Ilianzia Middle East ya leo!! ikaenda kwa mzunguko mpaka sasa ni USA lazima itafuata China tu haina ubishi hiyo! na china iko njema na bado itakuwa njema! na Afirica iliwahi kuwa super power kwa miaka mingi sana!
Ni lini middle east waliwahi kuwa superpower?
 
Wanahistoria, wachambuzi na watu wengine wengi mnaopenda kufuatilia maendeleo katika bara la Africa mnapaswa kutilia maanani madhara, hasara na legacy ya ujamaa katika kufifisha maendeleo ya nchi za Africa zilizofuatisha mfumo huo wa uchumi.

Nchi nyingi za Africa wakati zinapata uhuru miaka ya 1960 zilipata uhuru na zikarithi uchumi wa wakoloni uliokuwa ukikua.Viwanda vilivyokuwepo vilikuwa vikifanya kazi kwa ufanisi, hali ya biashara ilikuwa nzuri, sekta ya kilimo ilikuwa nzuri inayokua huku ikiweza kulisha raia wote bila kuagiza chakula nje, hifadhi ya fedha za kigeni ilikuwepo, huduma za kijamii nazo zilikuwa zikisonga mbele n.k

Punde tu baada ya kupata Uhuru miaka ya 60 baadhi ya viongozi kama Nkuramah, Leopold Senghor, Sekou Toure, Julius Nyerere, Kaunda, Milton Obote, Mengistu Haile Mariam(Ethiopia haikuwahi kuwa koloni)na wengine wakaja na sera zao za ujamaa. Japo zilitofautiana lakini zilifanana katika mambo muhimu kama "nationalization", vijiji vya ujamaa, chama kimoja, na kutoruhusu uwekezaji kutoka nje.

Kitu walichosahau au ambacho hawakuzingatia viongozi hawa ni kwamba Africa kwa asili yake ilikuwa ni bara la soko huria au la kibepari tangu karne na karne. Kabla ya ukoloni na hata baada ya wakoloni kuja. Ujamaa ulioletwa miaka ya 1960 hadi 70 ulikuwa kitu kigeni sana kwa raia wa bara hili. Uliharibu na kuvuruga mfumo mzima wa soko huria uliojengeka kwa karne nyingi.

Ujamaa ulileta rushwa, uzembe, matumizi mabaya ya rasilimali na kodi za wananchi. Uliondoa hata uhuru wa ukosoaji ambao ulikuwepo wakati wa ukoloni! Matokeo yake kadri miaka ilivyosonga mbele uchumi wa hizi nchi na nyingine nyingi za Africa ukadorora sana, ukawa mbovu, viwanda vikafa na vingine vikawa havianzishwi, biashara ikasinyaa, uhuru wa raia ukaminywa, migogoro ikachachamaa, umaskini ukazidi kutapakaa.

Ujamaa ni mfumo ovu sana uliochangia pa kubwa kuliharibu bara hili zuri. Unapaswa kulaaniwa na mtu yeyote anayetazamia siku nzuri za usoni katika bara hili.

Hii ni kwa ufupi sana.
Jamani jamani!! UJAMAA NA USHIRIKA!! ...KUNA Shida gani watu kufanya kazi pamoja?? aumie ndo sielewi??
kwanza kuna faida lukuki moja mnamaliza mapema na kukuza urafiki!!

Kama Baba yako alikuwa mzembe anashinda kirabuni kutwa kucha! inatuhusu nini sisi?? siyo sababu za kulaumu ujamaa wetu mtuacheeee!!.... sasa nikitamka moja wewe malizia la mbele .
ELimu,.... .primary hadi chuo kikuu!
AFYA. .....
Usafiri!....
Warrant!
Jifunze kusoma na kuandika...
Usharikani kwetu tulikuwa na Duka la Kijiji safiii!! ma trekta ya kijiji weee!! mashine ya kijiji bei fair kabisa!...Basi la kijiji mpaka leo lipo! linafanya shanting! sema kijijini kwenu huko Mahulunga Mungu aliwalaani tu!

Usisingizie ujamaa!!.......hata mbinguni ni ujamaa wa utatu mtakatifu weye nani ukatae Ujamaa wetuuu!...mtuachie ujamaa wetu hauwahusu na siku nikikamata mtayamba kifukuto!

Leo hii!! nani atakupa mambo hayo bureee?? kama wewe siyo mchawi basi utakuwa mchawi!! usinakiri kila unachoambiwa wee kijana tumia akili kidogo!!
 
Ni lini middle east waliwahi kuwa superpower?
Mwaka 332 BC, Alexander the great alikamata Misri ya kale ...as kwa nini alipigana vita kuelekea Kusini mwa Ugiriki?? badala ya kaskazini? alikuwa ana tafuta nini huko? kwa nini hakuelekea Kaskazini au Mashariki mwa ugiriki penye maendeleo leo??

Ni hapo hapo kwenye ushindi wa Alexander the Great ndo wazungu walianza kuwa na ma nguvu ya kijeshi hasa hasa baada ya kuitia mkononi Misri ya kale ndo kabisaa akawa na nguvu kama zooote,

Over time utawala wa Misri na pesian vilikuwa vinaenda altenatively Alipoishinda kivita Persian Empire! na wanajeshi wake na yeye mwenyewe hakuona haja ya kuendelea India.

so baada ya ealex kufa wajeda wake wakaanzisha Ptolemaic empire! wakazigawana nchi hizo wao kwa wao hapo waliendaaa ndo wakamzaa yule Mama mremboooo Dunia nzima haijawahi kumpata Mdada mrembo km yule!

sababu kwingine koote hakukuwa na Maendeleo sana!! na pia utajiri na Maendeleo ya Misri ulimvutia!! hakuna nchi ya Middle East ktk historia bali ni political geographical Areas iliyoundwa na wahuni wa G.Britain!!

Hiyo Middle East ya Leo icluding Modern Israel ni part ya North East Afrca tu!! rejea East africa Lift valley km ulisoma shule vizuri hili bonde linaanzia Tel aviv! na kuishia Msumbiji then linapiga km v......

zamani za Yesu kutoka Misri walikuwa wanakatisha kwa miguu tu faster! wanawahi minada kule! hata Yesu alipowindwa na Herode alipiga kwa miguu tu kwenda ukimbizini nasema hayo ujue kuwa ni karibu!!

nchi ya ahadi ina mito minne!! sasa jiulize kwa nini inaeleweka miwili tu? kwa nini?

Wakati tuna pata uhuru nchi nyingi za kiafrica zilikuwa njema kiuchumi kuliko nchi nyingi za Asia!! lkn Colonial Masters' Nepotism ilizinyanyua HIZO NCHI ! maksudi tu. any way ntarudi.....
 
Haya maelezo yako ya ukabila, ukanda na udini yanahusiana vipi na ujamaa na ubepari?
Mbona rahisi tu!! Ukanda ni ili wamsaidie Mkoloni kutawala kirahisi, ktk maeneo hayo!! hao ndo wangekuwa tabaka la juu!! ktk kanda husika! mfano kanda ya ziwa wangekuwa ni wahaya!!

wenye hela ndefu/Elimu kubwa na bora /maofisa wakubwa serikalini, kuliko makabila mengine yoote pale kandani! walikuwa wahaya! na kweli wahaya walishaanza kulewa mafanikio ya mtego huu!!

mpaka leo wahaya wana jisikia sana! wabinafsi mnoo! umimi! na ni walugha lugha sana! haya yoote ni matokeo ya Mkoloni sijui aliwaroga na nini>?? hata ofisini hkn ajabu utasikia ''wabonaki waitu''!

asingekuwa Nyerere!! mjanaki wangewapanda kichwani woote nyie mbuzi wakafara achilia mbali kanda ya ziwa! ivoivo na kanda nyingine ndo alivyo fanya!

asa nchi jirani maweeee ndo sisemi kabisaaa! hao wanatoana hata ngeu waziwazi na bado wazungu wamo humo!! hawaachii kamwe!! AL SHAABABU ITAWAKOMESHA!

kiukabila na wale ni makabila tofauti tofauti wanatoa wapi pesa??maskini wale?? wanaionea wivu Tanzania wanatamani kama ule mpaka unge nyoooka kutoka Tanga basi jua tu...

Nyerere, Butiku, Waryoba, kiaro Nyarusarenk , wangekuwa WAkenya! NDo nasemaga mumuheshimu san mjerumani huenda mngekuwa hamjapata uhuru mpaka leo! make nyerere angekuwa kenya
 
UKWELI MTUPU. Nyerere alituvuruga sana, Bado kuna wapuuzi wanaendelea kumtukuza.
We ungejiua tu? au kamaba huna?? au uende tu usiko vurugwa?? kwa nini ulikaaa nasi! wenzako kina Mohamed Babuu!! kambona walikimbia mazimaa!...na bado! sisi tutawavuruga zaidi!

na ndo ivo nchi nzima wauza watumwa hawanaga amani na Nyerere!..sababu ile Damu iliyomwagwa na Babu zao ina walilia!
 
Magufuli ndio alitaka kuturudisha huko, mambo ya serikali kufanya kila kitu, sekta binafsi kuonyeshwa kuwa ni wanyonyaji na wimbo wa mkombozi wa wanyonge ukatamalaki

Ndio maana hata serikali ya sasa waseme ina upigaji namna gani, attitude yake kwa sekta binafsi na uwekezaji ni nzuri na ndipo ninapoona unafuu

hakuna cancer kubwa inayoua uchumi na ubunifu wa nchi kama ujamaa

Kwa hiyo China na Russia ni masikini wa kutupwa!?
 
We ungejiua tu? au kamaba huna?? au uende tu usiko vurugwa?? kwa nini ulikaaa nasi! wenzako kina Mohamed Babuu!! kambona walikimbia mazimaa!...na bado! sisi tutawavuruga zaidi!

na ndo ivo nchi nzima wauza watumwa hawanaga amani na Nyerere!..sababu ile Damu iliyomwagwa na Babu zao ina walilia!

Umechanganyikiwa wewe
 
Umechanganyikiwa wewe
Ndo ivo! watu wenye akili nyingi kama Yesu tunaambiwaga ivo!...hata Julius Nyerere alipokuwa anadai uhuru aliambiwa ivo ivo na kupuuzwa mnooo! hata makazini humo ukibezwa bezwa km ivi ujue una akili mingi ndani yako!
 
Ndo ivo! watu wenye akili nyingi kama Yesu tunaambiwaga ivo!...hata Julius Nyerere alipokuwa anadai uhuru aliambiwa ivo ivo na kupuuzwa mnooo! hata makazini humo ukibezwa bezwa km ivi ujue una akili mingi ndani yako!

Nyerere sie alieleta harakati za kudai uhuru acha kupotosha, ALizikuta harakati zipo tayari mjini kitambo akadandia Basi
 
Sijui mnautafsiri vipi Ujamaa, ila nendeni mkajifunze upya.


Halafu kuhusu suala la Sera ya ujamaa kuzuia uwekezaji kutoka nje kulitokana na Nchi nyingi za kiafrika kutengeneza "Total Sovereignty", Wakenya wao wali adopt Ubepari kitambo, hatukatai wametuzidi kiuchumi, ila nakuhakikishia. Nchi inayoitwa KENYA leo hii, sio Total governed by indigenous.

Tafuta kijitabu cha UJAMAA:ESSAYS ON SOCIALISM, kasome vizuri alichoandika Mwalimu, kisha urudi hapa
 
Wanahistoria, wachambuzi na watu wengine wengi mnaopenda kufuatilia maendeleo katika bara la Africa mnapaswa kutilia maanani madhara, hasara na legacy ya ujamaa katika kufifisha maendeleo ya nchi za Africa zilizofuatisha mfumo huo wa uchumi.

Nchi nyingi za Africa wakati zinapata uhuru miaka ya 1960 zilipata uhuru na zikarithi uchumi wa wakoloni uliokuwa ukikua.Viwanda vilivyokuwepo vilikuwa vikifanya kazi kwa ufanisi, hali ya biashara ilikuwa nzuri, sekta ya kilimo ilikuwa nzuri inayokua huku ikiweza kulisha raia wote bila kuagiza chakula nje, hifadhi ya fedha za kigeni ilikuwepo, huduma za kijamii nazo zilikuwa zikisonga mbele n.k

Punde tu baada ya kupata Uhuru miaka ya 60 baadhi ya viongozi kama Nkuramah, Leopold Senghor, Sekou Toure, Julius Nyerere, Kaunda, Milton Obote, Mengistu Haile Mariam(Ethiopia haikuwahi kuwa koloni)na wengine wakaja na sera zao za ujamaa. Japo zilitofautiana lakini zilifanana katika mambo muhimu kama "nationalization", vijiji vya ujamaa, chama kimoja, na kutoruhusu uwekezaji kutoka nje.

Kitu walichosahau au ambacho hawakuzingatia viongozi hawa ni kwamba Africa kwa asili yake ilikuwa ni bara la soko huria au la kibepari tangu karne na karne. Kabla ya ukoloni na hata baada ya wakoloni kuja. Ujamaa ulioletwa miaka ya 1960 hadi 70 ulikuwa kitu kigeni sana kwa raia wa bara hili. Uliharibu na kuvuruga mfumo mzima wa soko huria uliojengeka kwa karne nyingi.

Ujamaa ulileta rushwa, uzembe, matumizi mabaya ya rasilimali na kodi za wananchi. Uliondoa hata uhuru wa ukosoaji ambao ulikuwepo wakati wa ukoloni! Matokeo yake kadri miaka ilivyosonga mbele uchumi wa hizi nchi na nyingine nyingi za Africa ukadorora sana, ukawa mbovu, viwanda vikafa na vingine vikawa havianzishwi, biashara ikasinyaa, uhuru wa raia ukaminywa, migogoro ikachachamaa, umaskini ukazidi kutapakaa.

Ujamaa ni mfumo ovu sana uliochangia pa kubwa kuliharibu bara hili zuri. Unapaswa kulaaniwa na mtu yeyote anayetazamia siku nzuri za usoni katika bara hili.

Hii ni kwa ufupi sana.
Ujamaa cyo mbaya
 
Venezuela provides Iran with 1 million hectares of farmland

According to Iranian officials, Venezuela has provided one million hectares of agricultural land for cultivation, "while the world is facing a shortage of strategic reserves"


(HIYO HAPO NDO MAANA HALISI YA UJAMAA, mnawawekea vikwazo ili waonekane wamefeli....sasa wanapigana tafu...... ujamaa ndio mkombozi wa kweli)

 
Wanahistoria, wachambuzi na watu wengine wengi mnaopenda kufuatilia maendeleo katika bara la Africa mnapaswa kutilia maanani madhara, hasara na legacy ya ujamaa katika kufifisha maendeleo ya nchi za Africa zilizofuatisha mfumo huo wa uchumi.

Nchi nyingi za Africa wakati zinapata uhuru miaka ya 1960 zilipata uhuru na zikarithi uchumi wa wakoloni uliokuwa ukikua.Viwanda vilivyokuwepo vilikuwa vikifanya kazi kwa ufanisi, hali ya biashara ilikuwa nzuri, sekta ya kilimo ilikuwa nzuri inayokua huku ikiweza kulisha raia wote bila kuagiza chakula nje, hifadhi ya fedha za kigeni ilikuwepo, huduma za kijamii nazo zilikuwa zikisonga mbele n.k

Punde tu baada ya kupata Uhuru miaka ya 60 baadhi ya viongozi kama Nkuramah, Leopold Senghor, Sekou Toure, Julius Nyerere, Kaunda, Milton Obote, Mengistu Haile Mariam(Ethiopia haikuwahi kuwa koloni)na wengine wakaja na sera zao za ujamaa. Japo zilitofautiana lakini zilifanana katika mambo muhimu kama "nationalization", vijiji vya ujamaa, chama kimoja, na kutoruhusu uwekezaji kutoka nje.

Kitu walichosahau au ambacho hawakuzingatia viongozi hawa ni kwamba Africa kwa asili yake ilikuwa ni bara la soko huria au la kibepari tangu karne na karne. Kabla ya ukoloni na hata baada ya wakoloni kuja. Ujamaa ulioletwa miaka ya 1960 hadi 70 ulikuwa kitu kigeni sana kwa raia wa bara hili. Uliharibu na kuvuruga mfumo mzima wa soko huria uliojengeka kwa karne nyingi.

Ujamaa ulileta rushwa, uzembe, matumizi mabaya ya rasilimali na kodi za wananchi. Uliondoa hata uhuru wa ukosoaji ambao ulikuwepo wakati wa ukoloni! Matokeo yake kadri miaka ilivyosonga mbele uchumi wa hizi nchi na nyingine nyingi za Africa ukadorora sana, ukawa mbovu, viwanda vikafa na vingine vikawa havianzishwi, biashara ikasinyaa, uhuru wa raia ukaminywa, migogoro ikachachamaa, umaskini ukazidi kutapakaa.

Ujamaa ni mfumo ovu sana uliochangia pa kubwa kuliharibu bara hili zuri. Unapaswa kulaaniwa na mtu yeyote anayetazamia siku nzuri za usoni katika bara hili.

Hii ni kwa ufupi sana.
Ungeniambia wizi wa kura ungenishawi maana uchaguzi uliopita niliona tani za viroba vya kura kwamacho yangu.
 
Venezuela sio nchi ya Kijamaa, ni mchanganyiko unaokaribiana lakini pia daraja la watawala wanatumbua sana raha.
Venezuela provides Iran with 1 million hectares of farmland

According to Iranian officials, Venezuela has provided one million hectares of agricultural land for cultivation, "while the world is facing a shortage of strategic reserves"


(HIYO HAPO NDO MAANA HALISI YA UJAMAA, mnawawekea vikwazo ili waonekane wamefeli....sasa wanapigana tafu...... ujamaa ndio mkombozi wa kweli)

 
Back
Top Bottom