Mzee alikuwa anaizamisha Nchi kuzimu kabisa kabisa... ajabu zaidi raia wa Tz waliisharogwa kiasi vinazaliwa vitoto vichanga na 'KUSEMA'π ati rais aliyepo afuate nyayo za Jiwe! ... yaani, kwa uzito wa akili, baadhi ya wabongo hawakuona kuwa Jiwe alikuwa anatupeleka chaka!
Hapo unakosea sana Mkuu! Mzungu ni mtu mbaya ever!! kwa nini sisi tusiwe na ukabila Bongo??? Nyerere aliliona hilo mapema sana!! sisi wazungu walitugawa kikanda!! kusini Wanyakyusa walifanywa Bora
kanda ya ziwa Wahaya, Kaskazini Wachaga hao walipendelewa maksudi ili wawasaidie kutawala weye bado mtoto mdogo hujui haya! Nyerere kalipiga pin hilo!! kitu kingine vita ya 1 naya pili ya Dunia vilisaidia sana!
kwa vita ile Mkoloni hakukaa sana Bongo hata mrithi wake alijua tu hii iko siku ataachia tu!! kule wakoloni waliko kaa sana ndo pameathirika tena sikupeleki mbali Kenya, Burundi, Rwanda & Uganda hapo weee!
Mnajua Muziki wake kwa nini hao! hao wakimbizi wakija Bongo hawana shida???na wameolewa na kuwowa?? jibu ni mapandikizi ya chuki yanakuwa sponsored na hao hao weupe!!
Kwa nini anafanya hivo ni ili aendelee kuishi na kunyonya!! anajua tukiwa wamoja hivi hawezi...lkn pia SISI NI WABANTU...UKABILA UNATOKA WAPI ....NA UKO WAPI NA
Historia ya Wabantu asili yao ni moja tu piga ua! HAIBADILIKI HIYO labda km hukusoma!
Haya Bwana.Hapo unakosea sana Mkuu! Mzungu ni mtu mbaya ever!! kwa nini sisi tusiwe na ukabila Bongo??? Nyerere aliliona hilo mapema sana!! sisi wazungu walitugawa kikanda!! kusini Wanyakyusa walifanywa Bora
kanda ya ziwa Wahaya, Kaskazini Wachaga hao walipendelewa maksudi ili wawasaidie kutawala weye bado mtoto mdogo hujui haya! Nyerere kalipiga pin hilo!! kitu kingine vita ya 1 naya pili ya Dunia vilisaidia sana!
kwa vita ile Mkoloni hakukaa sana Bongo hata mrithi wake alijua tu hii iko siku ataachia tu!! kule wakoloni waliko kaa sana ndo pameathirika tena sikupeleki mbali Kenya, Burundi, Rwanda & Uganda hapo weee!
Mnajua Muziki wake kwa nini hao! hao wakimbizi wakija Bongo hawana shida???na wameolewa na kuwowa?? jibu ni mapandikizi ya chuki yanakuwa sponsored na hao hao weupe!!
Kwa nini anafanya hivo ni ili aendelee kuishi na kunyonya!! anajua tukiwa wamoja hivi hawezi...lkn pia SISI NI WABANTU...UKABILA UNATOKA WAPI ....NA UKO WAPI NA
Historia ya Wabantu asili yao ni moja tu piga ua! HAIBADILIKI HIYO labda km hukusoma!
Ni lini middle east waliwahi kuwa superpower?Unajidanganya mchana kweupe kuanguka kwa USA ni suala la Historia tu!! super powers zooote Duniani zinakwenda kwa zamu!! zamu!! kwa mzunguko wa kidunia.....
mwanzo Ilianzia Middle East ya leo!! ikaenda kwa mzunguko mpaka sasa ni USA lazima itafuata China tu haina ubishi hiyo! na china iko njema na bado itakuwa njema! na Afirica iliwahi kuwa super power kwa miaka mingi sana!
Jamani jamani!! UJAMAA NA USHIRIKA!! ...KUNA Shida gani watu kufanya kazi pamoja?? aumie ndo sielewi??Wanahistoria, wachambuzi na watu wengine wengi mnaopenda kufuatilia maendeleo katika bara la Africa mnapaswa kutilia maanani madhara, hasara na legacy ya ujamaa katika kufifisha maendeleo ya nchi za Africa zilizofuatisha mfumo huo wa uchumi.
Nchi nyingi za Africa wakati zinapata uhuru miaka ya 1960 zilipata uhuru na zikarithi uchumi wa wakoloni uliokuwa ukikua.Viwanda vilivyokuwepo vilikuwa vikifanya kazi kwa ufanisi, hali ya biashara ilikuwa nzuri, sekta ya kilimo ilikuwa nzuri inayokua huku ikiweza kulisha raia wote bila kuagiza chakula nje, hifadhi ya fedha za kigeni ilikuwepo, huduma za kijamii nazo zilikuwa zikisonga mbele n.k
Punde tu baada ya kupata Uhuru miaka ya 60 baadhi ya viongozi kama Nkuramah, Leopold Senghor, Sekou Toure, Julius Nyerere, Kaunda, Milton Obote, Mengistu Haile Mariam(Ethiopia haikuwahi kuwa koloni)na wengine wakaja na sera zao za ujamaa. Japo zilitofautiana lakini zilifanana katika mambo muhimu kama "nationalization", vijiji vya ujamaa, chama kimoja, na kutoruhusu uwekezaji kutoka nje.
Kitu walichosahau au ambacho hawakuzingatia viongozi hawa ni kwamba Africa kwa asili yake ilikuwa ni bara la soko huria au la kibepari tangu karne na karne. Kabla ya ukoloni na hata baada ya wakoloni kuja. Ujamaa ulioletwa miaka ya 1960 hadi 70 ulikuwa kitu kigeni sana kwa raia wa bara hili. Uliharibu na kuvuruga mfumo mzima wa soko huria uliojengeka kwa karne nyingi.
Ujamaa ulileta rushwa, uzembe, matumizi mabaya ya rasilimali na kodi za wananchi. Uliondoa hata uhuru wa ukosoaji ambao ulikuwepo wakati wa ukoloni! Matokeo yake kadri miaka ilivyosonga mbele uchumi wa hizi nchi na nyingine nyingi za Africa ukadorora sana, ukawa mbovu, viwanda vikafa na vingine vikawa havianzishwi, biashara ikasinyaa, uhuru wa raia ukaminywa, migogoro ikachachamaa, umaskini ukazidi kutapakaa.
Ujamaa ni mfumo ovu sana uliochangia pa kubwa kuliharibu bara hili zuri. Unapaswa kulaaniwa na mtu yeyote anayetazamia siku nzuri za usoni katika bara hili.
Hii ni kwa ufupi sana.
Mwaka 332 BC, Alexander the great alikamata Misri ya kale ...as kwa nini alipigana vita kuelekea Kusini mwa Ugiriki?? badala ya kaskazini? alikuwa ana tafuta nini huko? kwa nini hakuelekea Kaskazini au Mashariki mwa ugiriki penye maendeleo leo??Ni lini middle east waliwahi kuwa superpower?
Mbona rahisi tu!! Ukanda ni ili wamsaidie Mkoloni kutawala kirahisi, ktk maeneo hayo!! hao ndo wangekuwa tabaka la juu!! ktk kanda husika! mfano kanda ya ziwa wangekuwa ni wahaya!!Haya maelezo yako ya ukabila, ukanda na udini yanahusiana vipi na ujamaa na ubepari?
We ungejiua tu? au kamaba huna?? au uende tu usiko vurugwa?? kwa nini ulikaaa nasi! wenzako kina Mohamed Babuu!! kambona walikimbia mazimaa!...na bado! sisi tutawavuruga zaidi!UKWELI MTUPU. Nyerere alituvuruga sana, Bado kuna wapuuzi wanaendelea kumtukuza.
Magufuli ndio alitaka kuturudisha huko, mambo ya serikali kufanya kila kitu, sekta binafsi kuonyeshwa kuwa ni wanyonyaji na wimbo wa mkombozi wa wanyonge ukatamalaki
Ndio maana hata serikali ya sasa waseme ina upigaji namna gani, attitude yake kwa sekta binafsi na uwekezaji ni nzuri na ndipo ninapoona unafuu
hakuna cancer kubwa inayoua uchumi na ubunifu wa nchi kama ujamaa
We ungejiua tu? au kamaba huna?? au uende tu usiko vurugwa?? kwa nini ulikaaa nasi! wenzako kina Mohamed Babuu!! kambona walikimbia mazimaa!...na bado! sisi tutawavuruga zaidi!
na ndo ivo nchi nzima wauza watumwa hawanaga amani na Nyerere!..sababu ile Damu iliyomwagwa na Babu zao ina walilia!
Ndo ivo! watu wenye akili nyingi kama Yesu tunaambiwaga ivo!...hata Julius Nyerere alipokuwa anadai uhuru aliambiwa ivo ivo na kupuuzwa mnooo! hata makazini humo ukibezwa bezwa km ivi ujue una akili mingi ndani yako!Umechanganyikiwa wewe
Ndo ivo! watu wenye akili nyingi kama Yesu tunaambiwaga ivo!...hata Julius Nyerere alipokuwa anadai uhuru aliambiwa ivo ivo na kupuuzwa mnooo! hata makazini humo ukibezwa bezwa km ivi ujue una akili mingi ndani yako!
Ujamaa cyo mbayaWanahistoria, wachambuzi na watu wengine wengi mnaopenda kufuatilia maendeleo katika bara la Africa mnapaswa kutilia maanani madhara, hasara na legacy ya ujamaa katika kufifisha maendeleo ya nchi za Africa zilizofuatisha mfumo huo wa uchumi.
Nchi nyingi za Africa wakati zinapata uhuru miaka ya 1960 zilipata uhuru na zikarithi uchumi wa wakoloni uliokuwa ukikua.Viwanda vilivyokuwepo vilikuwa vikifanya kazi kwa ufanisi, hali ya biashara ilikuwa nzuri, sekta ya kilimo ilikuwa nzuri inayokua huku ikiweza kulisha raia wote bila kuagiza chakula nje, hifadhi ya fedha za kigeni ilikuwepo, huduma za kijamii nazo zilikuwa zikisonga mbele n.k
Punde tu baada ya kupata Uhuru miaka ya 60 baadhi ya viongozi kama Nkuramah, Leopold Senghor, Sekou Toure, Julius Nyerere, Kaunda, Milton Obote, Mengistu Haile Mariam(Ethiopia haikuwahi kuwa koloni)na wengine wakaja na sera zao za ujamaa. Japo zilitofautiana lakini zilifanana katika mambo muhimu kama "nationalization", vijiji vya ujamaa, chama kimoja, na kutoruhusu uwekezaji kutoka nje.
Kitu walichosahau au ambacho hawakuzingatia viongozi hawa ni kwamba Africa kwa asili yake ilikuwa ni bara la soko huria au la kibepari tangu karne na karne. Kabla ya ukoloni na hata baada ya wakoloni kuja. Ujamaa ulioletwa miaka ya 1960 hadi 70 ulikuwa kitu kigeni sana kwa raia wa bara hili. Uliharibu na kuvuruga mfumo mzima wa soko huria uliojengeka kwa karne nyingi.
Ujamaa ulileta rushwa, uzembe, matumizi mabaya ya rasilimali na kodi za wananchi. Uliondoa hata uhuru wa ukosoaji ambao ulikuwepo wakati wa ukoloni! Matokeo yake kadri miaka ilivyosonga mbele uchumi wa hizi nchi na nyingine nyingi za Africa ukadorora sana, ukawa mbovu, viwanda vikafa na vingine vikawa havianzishwi, biashara ikasinyaa, uhuru wa raia ukaminywa, migogoro ikachachamaa, umaskini ukazidi kutapakaa.
Ujamaa ni mfumo ovu sana uliochangia pa kubwa kuliharibu bara hili zuri. Unapaswa kulaaniwa na mtu yeyote anayetazamia siku nzuri za usoni katika bara hili.
Hii ni kwa ufupi sana.
Ungeniambia wizi wa kura ungenishawi maana uchaguzi uliopita niliona tani za viroba vya kura kwamacho yangu.Wanahistoria, wachambuzi na watu wengine wengi mnaopenda kufuatilia maendeleo katika bara la Africa mnapaswa kutilia maanani madhara, hasara na legacy ya ujamaa katika kufifisha maendeleo ya nchi za Africa zilizofuatisha mfumo huo wa uchumi.
Nchi nyingi za Africa wakati zinapata uhuru miaka ya 1960 zilipata uhuru na zikarithi uchumi wa wakoloni uliokuwa ukikua.Viwanda vilivyokuwepo vilikuwa vikifanya kazi kwa ufanisi, hali ya biashara ilikuwa nzuri, sekta ya kilimo ilikuwa nzuri inayokua huku ikiweza kulisha raia wote bila kuagiza chakula nje, hifadhi ya fedha za kigeni ilikuwepo, huduma za kijamii nazo zilikuwa zikisonga mbele n.k
Punde tu baada ya kupata Uhuru miaka ya 60 baadhi ya viongozi kama Nkuramah, Leopold Senghor, Sekou Toure, Julius Nyerere, Kaunda, Milton Obote, Mengistu Haile Mariam(Ethiopia haikuwahi kuwa koloni)na wengine wakaja na sera zao za ujamaa. Japo zilitofautiana lakini zilifanana katika mambo muhimu kama "nationalization", vijiji vya ujamaa, chama kimoja, na kutoruhusu uwekezaji kutoka nje.
Kitu walichosahau au ambacho hawakuzingatia viongozi hawa ni kwamba Africa kwa asili yake ilikuwa ni bara la soko huria au la kibepari tangu karne na karne. Kabla ya ukoloni na hata baada ya wakoloni kuja. Ujamaa ulioletwa miaka ya 1960 hadi 70 ulikuwa kitu kigeni sana kwa raia wa bara hili. Uliharibu na kuvuruga mfumo mzima wa soko huria uliojengeka kwa karne nyingi.
Ujamaa ulileta rushwa, uzembe, matumizi mabaya ya rasilimali na kodi za wananchi. Uliondoa hata uhuru wa ukosoaji ambao ulikuwepo wakati wa ukoloni! Matokeo yake kadri miaka ilivyosonga mbele uchumi wa hizi nchi na nyingine nyingi za Africa ukadorora sana, ukawa mbovu, viwanda vikafa na vingine vikawa havianzishwi, biashara ikasinyaa, uhuru wa raia ukaminywa, migogoro ikachachamaa, umaskini ukazidi kutapakaa.
Ujamaa ni mfumo ovu sana uliochangia pa kubwa kuliharibu bara hili zuri. Unapaswa kulaaniwa na mtu yeyote anayetazamia siku nzuri za usoni katika bara hili.
Hii ni kwa ufupi sana.
Venezuela provides Iran with 1 million hectares of farmland
According to Iranian officials, Venezuela has provided one million hectares of agricultural land for cultivation, "while the world is facing a shortage of strategic reserves"
(HIYO HAPO NDO MAANA HALISI YA UJAMAA, mnawawekea vikwazo ili waonekane wamefeli....sasa wanapigana tafu...... ujamaa ndio mkombozi wa kweli)
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Faraja nilishapata pale wabeba javelin walifyeka limsafara, hiyo yaani mpaka leo huwa siamini, kama movie vile, supapawa wa mchongo. Akili Yako Ina shida mahaliwww.jamiiforums.com