Ujamaa wa Tanzania na Dini (Hotuba ya J. K. Nyerere - 1970)

Ujamaa wa Tanzania na Dini (Hotuba ya J. K. Nyerere - 1970)

Katiba hairuhusu Separation of Church / Faith na State ?

Kwanini nihame wakati nchi ni moja na mimi nina haki ya kufanya ninchofanya kama sikuingilii nyumbani kwako ?.., Kama nimenunua eneo, nimeweka fensi na ni eneo langu na wateja wangu / marafiki zangu walevi tunauza na kunywa Pombe kwanini wewe kwa Imani yako uingie kwenye premises yangu ?

Na wapi tuna-draw the line majority wakipiga Kura kwamba Upagani ndio mpango mzima na sheria za kufungia misikiti na makanisa ikapitishwa watu wa Imani hizo wahame nchi ?

Tatizo la nguruwe hata mimi ninayekula nguruwe kama mtu anafuga katika eneo langu ninaweza nikapinga kama ile harufu na pollution inaingia kwenye mazingira yangu; na sio nguruwe tu hata mbuzi au hata zile kelele za walokole kwenye eneo la makazi ya watu....

Ila kama ni butcher haichafui mazingira wala haina harufu ya kufika sebuleni kwako..., wewe unayepinga mimi haki yangu ya kula ninachotaka eti nikifuate sehemu nyingine ndio una fujo (haya mambo ni biashara nina uhakika kama kungekuwa hakuna wateja basi wasingefungua hapo butcher)

Hizi sekeseke za kuingia mambo ya Imani ndio kidogo yaingize nchi kwenye matatizo kwenye sakata la nani achinje na nani asichinje....
Sawa. Hiyo ndio demokrasia. Lazima kuwe na tofauti za maoni.

Bali mwisho wa siku kura ndio inayoamua.

Kinyume chake hata kwenye uchaguzi ktk theory unayoisimamia ipo siku utakataa maamuzi ya wengi.

Muhimu tuendelee kujifunza.

Case study zipo. Mfano ile nchi ambayo wananchi wake wana furaha, amani, usalama, standard ya juu ya maisha swiss wanaoongoza kuwa na demokrasia ya juu kabisa duniani namekubali kuongozwa na referendum ktk kila jambo LENYE maslahi ya kifederal
 
Sawa. Hiyo ndio demokrasia. Lazima kuwe na tofauti za maoni.
Demokrasia yoyote ambayo haiangalii Haki za wachache ni Recipe for disaster.., muhimu haki ya kila mtu iangaliwe both individually ana collectively

Nyie hata mkiwa wengi kiasi gani kwenye premises zangu / au ninachopenda mimi haifai mkiingilie iwapo ninachokifanya mimi hakiwasumbui directly...
Bali mwisho wa siku kura ndio inayoamua.
Kura ikiamua kwamba watu weusi ni mediocre na wawe watumwa kuwatumikia watu ambao ni wengi inawalinda vipi hao weusi ?

Kwanini mambo ya Kura yasipigwe katika kujadili vitu ambavyo vinatuhusu wote tukiwa pamoja na kuachana na vitu ambavyo ni individually ?
Kinyume chake hata kwenye uchaguzi ktk theory unayoisimamia ipo siku utakataa maamuzi ya wengi.

Muhimu tuendelee kujifunza.
Maamuzi ya wengi kufanya nini ? Maamuzi ya kutaka kuingilia maisha hata ya mtu mmoja sababu nyie wengi mmeamua inaweza kuwa a dictatorship au kuleta mob justice...; Narudia mimi ninachosimamia ni individual rights kusimamiwa no matter hao watu ni wachache kiasi gani (ila kama wewe unachukua kazi ya kutumikia wengi / utumishi basi lazima ufuate utaratibu wa huo utumishi) sio unafanya kazi benki watu wanataka pesa jpili au ijumaa wewe useme unakwenda kwenye Ibada (basi katafute kazi msikitini au kanisani)
Case study zipo. Mfano ile nchi ambayo wananchi wake wana furaha, amani, usalama, standard ya juu ya maisha swiss wanaoongoza kuwa na demokrasia ya juu kabisa duniani namekubali kuongozwa na referendum ktk kila jambo LENYE maslahi ya kifederal
Demokrasia ambayo inasema nini ? Je ikisema hatutaki watu wa rangi fulani inadhani hao watakaobaguliwa watakuwa na furaha ?

Ofcourse binafsi siamini duniani hizi tunazoita demokrasia ni demokrasia za kweli na tumefikia wakati ambapo tuna teknolojia ya kuweza kuwa na Direct Democracy..., lakini even then tunajadili vitu gani ? Sidhani kama tutakuwa kama Taifa tunajadili mtu anywe glasi ngapi za Wine (hio kazi tutamuachia mtu na daktari wake wa afya)

By the way Binafsi naamini Democracy can and should be automated

 
Demokrasia yoyote ambayo haiangalii Haki za wachache ni Recipe for disaster.., muhimu haki ya kila mtu iangaliwe both individually ana collectively

Nyie hata mkiwa wengi kiasi gani kwenye premises zangu / au ninachopenda mimi haifai mkiingilie iwapo ninachokifanya mimi hakiwasumbui directly...

Kura ikiamua kwamba watu weusi ni mediocre na wawe watumwa kuwatumikia watu ambao ni wengi inawalinda vipi hao weusi ?

Kwanini mambo ya Kura yasipigwe katika kujadili vitu ambavyo vinatuhusu wote tukiwa pamoja na kuachana na vitu ambavyo ni individually ?

Maamuzi ya wengi kufanya nini ? Maamuzi ya kutaka kuingilia maisha hata ya mtu mmoja sababu nyie wengi mmeamua inaweza kuwa a dictatorship au kuleta mob justice...; Narudia mimi ninachosimamia ni individual rights kusimamiwa no matter hao watu ni wachache kiasi gani (ila kama wewe unachukua kazi ya kutumikia wengi / utumishi basi lazima ufuate utaratibu wa huo utumishi) sio unafanya kazi benki watu wanataka pesa jpili au ijumaa wewe useme unakwenda kwenye Ibada (basi katafute kazi msikitini au kanisani)

Demokrasia ambayo inasema nini ? Je ikisema hatutaki watu wa rangi fulani inadhani hao watakaobaguliwa watakuwa na furaha ?

Ofcourse binafsi siamini duniani hizi tunazoita demokrasia ni demokrasia za kweli na tumefikia wakati ambapo tuna teknolojia ya kuweza kuwa na Direct Democracy..., lakini even then tunajadili vitu gani ? Sidhani kama tutakuwa kama Taifa tunajadili mtu anywe glasi ngapi za Wine (hio kazi tutamuachia mtu na daktari wake wa afya)

By the way Binafsi naamini Democracy can and should be automated


Unanitia nguvu nianze kukusanya sahihi za wananchi wanaotaka club za pombe ziondolewe kwenye maeneo ya makazi ya watu hapa kijijini.

Hii ni hatua muhimu kuelekea kura ya maoni ya kutaka pasiwepo kabisa shughuli zote za Uasherati kijijini kwetu iwapo kwani sahihi 100 pekee zatosha kuitisha mkutana wa ngazi ya mamlaka na kupiga kura ya kutunga kanuni ndogo.

Kwakuwa tu shughuli hizo zinazopingana na maoni na utamaduni wa walio wengi.

Kama ni haki kupewa wachache kisikilizwa na kufanya Uasherati basi ni haki pia kwa wengi wasiotaka shughuli za Uasherati kusikilizwa na kuzuia shughuli yyt sawa na matakwa ya walio wengi. (Referendam)

kuanza mamlaka ya ngazi yyt inayotambulika. Mf mtaa, kata, tarafa nk
 
HOTUBA YA NYERERE NA VIONGOZI WA DINI TABORA 27/7/70​
Key Take Away:
  • NCHI ya Tanzania / TANU hazina Dini; Wananchi ndio Wana Dini...
  • Kichama / TANU Hatujui kama Mungu yupo au hayupo (Hatuulizani); Tunaulizana Habari za Maji, Maharagwe na Mabarabara..... Lakini hatuulizi Kabisa kama ipo Pepo; kama kwenda Mbinguni ziko ngazi ngapi ? Tunaulizana ya kwetu yanataka Kura, sasa la Mungu mtalipigiaje kura ! Kwamba wengi wamekubali Mungu yupo kwahio yupo au hayupo ?
  • Dini; Mimi nina yangu Karume ana yake Kawawa na Waheshimiwa wengine, Waheshimiwa mbalimbali kila mtu ana yake....., tunapokutana kwenye mikutano hatumuulizi leo Umesali ? Aa! Hiyo ni Hiari yake, kasali hakusali anajiuliza Mwenyewe
  • SIASA ya UJAMAA kwa mtu anayejua Socialism ya Ulaya mtu wa Dini Inabidi Aelezewe vizuri sana sivyo atakupinga (atakuona hatari)
  • Ulaya ilifika wakati watu wakasema "Kama Dini yenyewe ipo hivi Hatukubali"; Dini inatetea Mali zaidi ya mtu
  • CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia riziki yake. Nawaomba ardhi - hakuna ardhi; hamnipi ardhi, Mnasema "Ardhi hakuna". Naomba kazi ya kibarua basi, Nipeni basi ya kibarua, "Hamnipi kazi ya kibarua. Mimi niko tayari kabisa kufanya kazi au ya kulima au ya kibarua chochote nipeni. Hamnipi Chama Chetu kinasema MTANILISHA.
Alikuwa na akili sana

Kuna uzi humu unasema dini moja imedhulumiwa haki
 
Log...
Hebu soma hayo hapo chini:

HOTUBA YA NYERERE NA VIONGOZI WA DINI TABORA 27/7/70

Key Take Aways:

NCHI ya Tanzania hazina Dini; Wananchi ndio Wana Dini...

  1. Kichama / TANU Hatujui kama Mungu yupo au hayupo (Hatuulizani); Tunaulizana Habari za Maji, Maharagwe na Mabarabara... Lakini hatuulizi Kabisa kama ipo Pepo; kama kwenda Mbinguni ziko ngazi ngapi? Tunaulizana ya kwetu yanataka Kura, sasa la Mungu mtalipigiaje kura ! Kwamba wengi wamekubali Mungu yupo kwahio yupo au hayupo?
  2. Dini; Mimi nina yangu Karume ana yake Kawawa na Waheshimiwa wengine, Waheshimiwa mbalimbali kila mtu ana yake... tunapokutana kwenye mikutano hatumuulizi leo Umesali ? Aa! Hiyo ni Hiari yake, kasali hakusali anajiuliza Mwenyewe.
Hapakuwa na mwanachama katika harakati za kuwaunganisha wananchi wa Tanganyika katika African Association ambae alikuwa na fikra ya kuwa hajui kuwa ‘’Mungu yupo au hayupo.’’

Sababu ya mimi kusema hivi ni kutokana na waasisi wa African Association wenyewe ambao wengi wao walikuwa Waislam.

Kusema maneno hayo hiyo ni kufru kubwa.

Wanachama walioasisi African Association mwaka wa 1929 ni hawa: Abdallah Kleist Sykes, Secretary, Mzee bin Sudi, Ibrahim Hamisi, Ali Said Mpima, Suleiman Majisu na Zibe Kidasi jumla yao watu sita.

Waliobakia watatu: Cecil Matola, President, Rawkesi Kusi na Rawson Watts hawa ni Wakristo.

Waislam ndiyo waliokuwa wanatawala siasa miaka hiyo na walikuwa wakianza mikutano yao yote kwa dua.

Huwezi kusoma dua ikiwa huamini kuwa yupo Mungu, muumba wa ardhi na mbingu na kila kitu kilichoma katika ya viwili hivi.

Kuonyesha nafasi ya Uislam katika siasa za Tanganyika ni kuwa baada ya kuunda African Association mwaka wa 1929 ili kuiweka African Association nje ya Uislam Kleist Sykes na Mzee bin Sudi wakaunda mwaka wa 1933 Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) Mzee bin Sudi akiwa President na Abdallah Kleist Sykes, Secretary.

Mkutano wa kwanza wa TANU ulihudhuriwa na hawa wafuatao: Julius Nyerere, Abdulwahid na Ally Sykes, Dossa Aziz, John Rupia, Mshume Kiyate, Makisi Mbwana, Jumbe Tambaza, Juma Waziri, Clement Mtamila, Rajabu Diwani, Schneider Abdillah Plantan, Marsha Bilali, Rashid Ally Meli, Frederick Njiliwa, Iddi Faiz Mafongo, Iddi Tulio, Denis Phombeah na wengineo.

Sioni vipi watu hawa kama ninavyowafahamu wangekubali kusikia mtu katika chama chao anamkashifu Allah kuwa hana uhakika kama yupo au hayupo.

TANU isingekuwapo kama hii ndiyo ingekuwa sera yake.

Ningeweza kuweka mifano mingi ya kuwa TANU na waasisi wake pamoja na waliokiunga mkono waliamini Mungu.

TANU ilikuwa na dini na si tabu kutambua hili.
Angalia picha ya wanachama wa TANU wa miaka hiyo:

View attachment 2889767
Mkutano wa kwanza wa TANU mwaka wa 1955 angalia kofia na kanzu.
View attachment 2889769
Mkutano wa TANU Mnazi Mmoja angalia kushoto wanawake wamevaa mabaibui na wametengewa sehemu yao maalum ya kukaa​
Oky kwa hiyo Dini ya CCM ni Dini ya Islamu na unashauri tuwe tunaanza kwa adhana kwenye mikutano sio
 
Unanitia nguvu nianze kukusanya sahihi za wananchi wanaotaka club za pombe ziondolewe kwenye maeneo ya makazi ya watu hapa kijijini.

Hii ni hatua muhimu kuelekea kura ya maoni ya kutaka pasiwepo kabisa shughuli zote za Uasherati kijijini kwetu iwapo kwani sahihi 100 pekee zatosha kuitisha mkutana wa ngazi ya mamlaka na kupiga kura ya kutunga kanuni ndogo.
Hata kama mimi mpenda pombe au mday wa uanasherati takuunga mkono kama vilabu hivyo vya pombe vipo kwenye makazi yenu na mnapigiwa kelele za miziki au ukitoka nje unakuta na walevi wanakuvunjia heshima.... Hii sio Haki kabisa kwa starehe zao kukupa wewe karaha...

Ila kama vilabu hivyo zipo kwenye nyumba za starehe na wala furaha yao haikunyimi wewe usingizi mpaka uende kuchungulia au kupita mitaa ile (basi wewe ndio utakuwa unaingilia furaha ya wengine) na tukiachia hii tunaweza kusema katika kijiji chetu watu weupe wanatukumbusha ukoloni basi wasionekane katika kijiji chetu au waliopo waondoke.... Na hii itakuwa sio ustaarabu
Kwakuwa tu shughuli hizo zinazopingana na maoni na utamaduni wa walio wengi.
Majority are not always right....; Nyie wengi hamuwezi kunipangia mimi Maisha kama ninachofanya sikifanyi kwenye majumba yenu au premises zenu bali nikakifanya kwenye nchi ambayo mimi nina uhuru na wala hamlazimishwi kuja kwenye hio sehemu yangu (kumbuka ni yangu na sio yetu as in private property)
Kama ni haki kupewa wachache kisikilizwa na kufanya Uasherati basi ni haki pia kwa wengi wasiotaka shughuli za Uasherati kusikilizwa na kuzuia shughuli yyt sawa na matakwa ya walio wengi. (Referendam)

kuanza mamlaka ya ngazi yyt inayotambulika. Mf mtaa, kata, tarafa nk
Huo Uasherati wanaufanyia wapi ? Barabarani na hivyo kuleta a Public Nuisance au kwenye Majumba yao Binafsi ? Na uasherati ni wapi tunapiga mstari ? Kitchen Party Zote ? House Party au hata Disco ? Utaona kwamba si rahisi kupangia watu maisha bali ni rahisi watu wenye maisha tofauti kuyafanya mambo yao private bila kuwabughudhi wengine
 
Back
Top Bottom