Ujambazi wa polisi liwe fundisho kwa Serikali ya Rais Samia

Ujambazi wa polisi liwe fundisho kwa Serikali ya Rais Samia

Nimekupata vema mkuu cleokippo umeongea mambo ya msingi sana kuhusu uozo uliomo ndani ya jeshi la polisi. Mamlaka za uteuzi zinapaswa kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha kwamba nyang'au hawa wanadhibitiwa kabla hawajawamaliza watanzania wasiokuwa na hatia. Nashangaa hadi sasa Rais Samia, IGP na Waziri mkuu hawajatoa tamko lolote kuhusu ujambazi na mauaji haya yanayofanywa na polisi kila kukicha hapa nchini. Inasikitisha sana 😳 😳 😳
 
Labda polisi wawekewe mazingira bora,kuanzia mishahara,makazi,afya etc wawalipe vizuri
Ili kuwapunguzia kujingiza kwenye tamaa na kushirikiana na wahalifu

Ova
Lakini mbona hata walimu wanaishi maisha magumu lakini hatuoni wakifanya uhalifu kama huu wa polisi? Lazima polisi wajitazame, wajithathmini na kujijunguza kwanini wao wanakuwa na tamaa za kipumbavu kama hizi. Au kukabidhiwa bunduki imekuwa shida?
 
Si kweli mkuu. Mbona kule Kenya, Rwanda na Burundi hakuna mapolisi wenye njaa kali kama hawa waliotapakaa hapa nchini tanzania. Hawa wa hapa wamezidi, sio kwa njaa hizi wanazopora mali za raia na kisha kuwaua. Ni uhuni na ujambazi wa hali ya juu.
Rwanda polisi wao ndiyo kdg wako straight
Burundi polisi wao njaa kali bongo inasubiri
Afrika kwa ujumla kote matatizo

Ova
 
Lakini mbona hata walimu wanaishi maisha magumu lakini hatuoni wakifanya uhalifu kama huu wa polisi? Lazima polisi wajitazame, wajithathmini na kujijunguza kwanini wao wanakuwa na tamaa za kipumbavu kama hizi. Au kukabidhiwa bunduki imekuwa shida?
Polisi wao wana deal na kukamata kuzuia uhalifu
Huko kwenye uhalifu kuna pesa,wana deal na watu wenye pesa ....hapo utakuwa umenielewa

Ova
 
Mh nani kakuambia
Kenya polisi wao wana njaa,wako polisi macrooks mzee
Hata burundi,zambia,Malawi kote huko
Nchi kidg ambsyo polisi wao wako kikaz ni Namibia na Botswana
South Africa tu polisi wao wapo ma crooks pia

Ova
Basi hili bara lote limeoza. Lakini nadhani kitu kilichowasahaulisha polisi majukumu yao ni ile hali ya kudhani kwamba wao ni idara ya CCM (poliCCM) kwa kuwa kila wakitenda uhalifu, tunasikia viongozi wakija kuwatetea. Mwendazake alisema wanachukua hela za kung'arishia viatu na mama akasema wanakula kulingana na urefu wa kamba yao. Huu utetezi wanaotetewa kila wakifanya uhalifu ndio uliotufikisha hapa. Nini kifanyike kuondoa tatizo hili? Tafakari, chukua hatua!
 
Polisi bila rushwa na wizi hawawezi ishi. Kwa nini ?
Sababu ni kuwa polisi hawana muda wa side hustlle kama walimu, madaktari, wauguzi, wahasibu .
Polisi wigo wake ni mdogo zaidi ya kubambikia kesi na dhulma.
Hivyo basi polisi nao wapewe muda wa kutosha waweze kuwekeza biashara, ufugaji na ufundi na jamii iwape ushirikuano.
Wauguzi na madaktari wanamaduka ya madawa na maabara za mtaani .
Walimu wanalima, vituo vya twisheni, stationary maduka ya mahitaji, wanafuga na hata wengine wamejiongeza ni mafundi, wanapiga boda nk.
Watu wa idara nyingi wanacompasate ktk shughuli za ziada.
Niwaambie kitu. askari ndio kundi linaloongoza kufa mapema baada ya kustaafu, ni watu wenye stress sana.
Nadhani jamii na serikali tujadili hili suala vizuri na wala si kwa mihemko, lazima serikali ichukue hatua na jamii iwape polisi ushirikiano badala ya kuwatenga na kuwabeza kwani polisi ni ndugu zetu, watoto wetu, kaka zetu, baba zetu nk hatuwezi wakwepa ni jipu letu.
 
Basi hili bara lote limeoza. Lakini nadhani kitu kilichowasahaulisha polisi majukumu yao ni ile hali ya kudhani kwamba wao ni idara ya CCM (poliCCM) kwa kuwa kila wakitenda uhalifu, tunasikia viongozi wakija kuwatetea. Mwendazake alisema wanachukua hela za kung'arishia viatu na mama akasema wanakula kulingana na urefu wa kamba yao. Huu utetezi wanaotetewa kila wakifanya uhalifu ndio uliotufikisha hapa. Nini kifanyike kuondoa tatizo hili? Tafakari, chukua hatua!
Sawa,polisi wanatumika kisiasa
Na wapolisi polisi wengine wanangalia
Maslahi yao
Sasa polisi akiangalia mshahara mdg,hali yake kiuchumi ovyo hapo lazima atafanya magumashi
Tu
Ila tunarudi kulekule,polisi yeye ana deal na wahalifu na hapo lazima kuwepo na mambo ya fedha
Hii dunia ni uwanja wa fujo mzee

Ova
 
Polisi bila rushwa na wizi hawawezi ishi. Kwa nini ?
Sababu ni kuwa polisi hawana muda wa side hustlle kama walimu, madaktari, wauguzi, wahasibu .
Polisi wigo wake ni mdogo zaidi ya kubambikia kesi na dhulma.
Hivyo basi polisi nao wapewe muda wa kutosha waweze kuwekeza biashara, ufugaji na ufundi na jamii iwape ushirikuano.
Wauguzi na madaktari wanamaduka ya madawa na maabara za mtaani .
Walimu wanalima, vituo vya twisheni, stationary maduka ya mahitaji, wanafuga na hata wengine wamejiongeza ni mafundi, wanapiga boda nk.
Watu wa idara nyingi wanacompasate ktk shughuli za ziada.
Niwaambie kitu. askari ndio kundi linaloongoza kufa mapema baada ya kustaafu, ni watu wenye stress sana.
Nadhani jamii na serikali tujadili hili suala vizuri na wala si kwa mihemko, lazima serikali ichukue hatua na jamii iwape polisi ushirikiano badala ya kuwatenga na kuwabeza kwani polisi ni ndugu zetu, watoto wetu, kaka zetu, baba zetu nk hatuwezi wakwepa ni jipu letu.
Nimesoma post hii kwa umakini wangu wote umeongea fact tupu! Ila suluhisho ni nn? Maana hakuna ambaye atakuja hapa mwenye 51yrs ambae hatakupa kasoro za jeshi la polisi bila suluhisho lake
Tufanyaje hapo?
 
Polisi bila rushwa na wizi hawawezi ishi. Kwa nini ?
Sababu ni kuwa polisi hawana muda wa side hustlle kama walimu, madaktari, wauguzi, wahasibu .
Polisi wigo wake ni mdogo zaidi ya kubambikia kesi na dhulma.
Hivyo basi polisi nao wapewe muda wa kutosha waweze kuwekeza biashara, ufugaji na ufundi na jamii iwape ushirikuano.
Wauguzi na madaktari wanamaduka ya madawa na maabara za mtaani .
Walimu wanalima, vituo vya twisheni, stationary maduka ya mahitaji, wanafuga na hata wengine wamejiongeza ni mafundi, wanapiga boda nk.
Watu wa idara nyingi wanacompasate ktk shughuli za ziada.
Niwaambie kitu. askari ndio kundi linaloongoza kufa mapema baada ya kustaafu, ni watu wenye stress sana.
Nadhani jamii na serikali tujadili hili suala vizuri na wala si kwa mihemko, lazima serikali ichukue hatua na jamii iwape polisi ushirikiano badala ya kuwatenga na kuwabeza kwani polisi ni ndugu zetu, watoto wetu, kaka zetu, baba zetu nk hatuwezi wakwepa ni jipu letu.
Mkuu umeongea vizuri sana lakini kabla ya kufanya haya yote ni sharti serikali iangalie namna inavyochuja watu wanaoingia polisi. Kuna haja ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wanaopata madaraja ya juu nao wanachaguliwa kujiunga na jeshi la polisi kuliko kuchukua failures ambao wengi wao wana asili ya uhalifu na ujambazi.
 
Mkuu umeongea vizuri sana lakini kabla ya kufanya haya yote ni sharti serikali iangalie namna inavyochuja watu wanaoingia polisi. Kuna haja ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wanaopata madaraja ya juu nao wanachaguliwa kujiunga na jeshi la polisi kuliko kuchukua failures ambao wengi wao wana asili ya uhalifu na ujambazi.
Ushawahi kusikia au kuona jaji,hakim ana asili ya uhalifu
Mbn wapo madokta,wanasheria etc wanashirikiana na wahalifu

Kikubwa serikali ijaribu kuwawekea polisi
Mazingira bora kuanzia mshahara etc

Kdg itapunguza hii hali

Ova
 
Mkuu umeongea vizuri sana lakini kabla ya kufanya haya yote ni sharti serikali iangalie namna inavyochuja watu wanaoingia polisi. Kuna haja ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wanaopata madaraja ya juu nao wanachaguliwa kujiunga na jeshi la polisi kuliko kuchukua failures ambao wengi wao wana asili ya uhalifu na ujambazi.
Jeshi la polisi linakila watu mkuu. Polisi sio kulinda benki tu mkuu.
Kuna rafiki yangu aliingia polisi akiwa na div 2 amesoma huko huko diploma na digrii kwa hio kuserma polisi wote ni failures sio kweli wapo wanasheria, injinia,walimu, IT nk .
Hata vyuoni huwa polisisi wapo wanajiendeleza kielimu.
Kumbuka kada nyingi watendaji wa chini ambao ni wengi huwa na elimu ndogo, maafisa wa juu ndio wenye elimu kubwa.
 
Basi hili bara lote limeoza. Lakini nadhani kitu kilichowasahaulisha polisi majukumu yao ni ile hali ya kudhani kwamba wao ni idara ya CCM (poliCCM) kwa kuwa kila wakitenda uhalifu, tunasikia viongozi wakija kuwatetea. Mwendazake alisema wanachukua hela za kung'arishia viatu na mama akasema wanakula kulingana na urefu wa kamba yao. Huu utetezi wanaotetewa kila wakifanya uhalifu ndio uliotufikisha hapa. Nini kifanyike kuondoa tatizo hili? Tafakari, chukua hatua!
Suluhisho ni KATIBA MPYA
 
Maadamu mshahara hautoshi hata Wiki mbili hakuna kitu kitafanyika kubadilisha chochote I mean, mtu analipwa laki 3 kwa mwezi unategemea aishi vipi ? Hapo sijaongelea vitendea kazi kama uniform, viatu, gloves na vinginevyo, Polisi pia kama walivyo Watanzania wa profession nyingine wanafanya kazi kwenye mazingira magumu sana hapo hapo wanasikia Raisi wa nchi akiwaruhusu Mawaziri ambao tayari wanalipwa vizuri kuiba mali ya umma halafu unategemea Polisi awe Malaika ?

Shida ya kubwa Tanzania ni INJUSTICE, maadamu hakuna haki wala usawa Polisi mnawaonea tu, kwani Walimu wana shida, Madaktari wana shida, Manesi wana vilio wote hao wanatakiwa wawe waaminifu lakini Waziri kuiba ruksa, huwezi kujenga jamii yenye heshima na hofu ya Mungu kama kuna injustice kuanzia kwa Raisi mwenyewe .
Na mimi nilitaka kusema hivyo hivyo.

Tatizo la Tanzania ni Injustice. Wanasiasa ndiyo wanaokula mema ya nchi pekee.

Huko juu wanatakiwa wawe role models, la sivyo nji hii inazidi kuangamia.

Hebu tutajieni, ni kada gani ya serikali ambayo inajitahidi kuwahudumia wananchi angalau kwa 60% bila mizengwe yoyote?

Wafanyakazi wa serikali kila mmoja anataka kuchukua chake mapema kuanzia juu mpaka chini.



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
2016- Walikuwa wanapiga msako wa vyeti fake uliishiaga wapi? .. hawa wanafikiri watu WAJINGA
 
Na mimi nilitaka kusema hivyo hivyo.

Tatizo la Tanzania ni Injustice. Wanasiasa ndiyo wanaokula mema ya nchi pekee.

Huko juu wanatakiwa wawe role models, la sivyo nji hii inazidi kuangamia.

Hebu tutajieni, ni kada gani ya serikali ambayo inajitahidi kuwahudumia wananchi angalau kwa 60% bila mizengwe yoyote?

Wafanyakazi wa serikali kila mmoja anataka kuchukua chake mapema kuanzia juu mpaka chini.



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu umeongea ukweli 100%
 
Dooh ujambazi wa polisi
Ndio. Wamejitakia wenyewe; badala ya kulinda mali za raia wao wanazipora na kuwaua raia wasiokuwa na hatia. Huo ni ujambazi uliopitiliza.
 
Kwa hiyo wewe unakubaliana na UJAMBAZI huu wa polisi au msimamo wako ni upi? Nini kifanyike?
Unakuta ni Polisi Jambazi huyo anajatibu kitetea Majambazi wenzake kama anjaa si aache kazi akaolewe
 
Ukisharuhusu injustice huwezi kukontrol how far injustice can go, ni ukweli wa maisha huo, ndiyo maana nchi za Kidini zilizostaarbika zote za Kikristu na Kiislamu Viongozi wanahakikisha kila raia anapata stahiki yake kwa wakati na inayomtosheleza kuishi maisha ya heshima.

Wakati mwingine ni stress tu zinafanya Binadamu awe mnyama, wewe unamwambia Polisi akalinde amani akapambane na Majambazi ambapo uwezekano wa kufa wa kulemaa upo wakati huo huo ana njaa tumboni au mtoto hana karo ya Shule, uniform imetoboka, viatu vimechanika na kavaa smg unategemea nini ?
Acha kutetea Majambazi wenzako kama kama mshahara mdogo ndio wafanye ujambazi wa kupora raia?? Waache kazi waje waolewe huku mtaani watalishwa na kuvishwa.
 
Back
Top Bottom