Ujambazi wa polisi liwe fundisho kwa Serikali ya Rais Samia

Si kweli mkuu. Mbona kule Kenya, Rwanda na Burundi hakuna mapolisi wenye njaa kali kama hawa waliotapakaa hapa nchini tanzania. Hawa wa hapa wamezidi, sio kwa njaa hizi wanazopora mali za raia na kisha kuwaua. Ni uhuni na ujambazi wa hali ya juu.
Mwambie Mbowe akupe nauli uvuke hata mpaka.Polisi wa Tanzania ni watakatifu kabisa kulinganisha na Kenya.
 
Hawana kosa wao wanapokea order kut juu kazi yao ni kutii tu.
 
UJAMBAZI wa Polisi upo na Utaendelea kuwepo kwani KATIBA iliyopo unawapa Mwanya wa kufanya UJAMBAZI
Hakuna Chombo kinachowachunguza
Polisi wanategemewa na Chama tawala kuwavusha
Mfano ya Matukio ya kijambazi Chini ya Utawala huu ni pamoja
1.Lissu Kupigwa Risasi
2 Akwilina Kupigwa Risasi
3.Wasiojulikana
4 Azory kutekwa na kupotea
5.Ben saanane KUTEKWA na kuuawa
6.Roma kutekwa
7.Mo kutekwa
8.Suala la HAMZA
9.Mchimba Madini Mtwara
Matukio yote hayo yamefanyika AWAMU ya 5
Hakuna Waziri ALIYEJIUZULU
Wala IGP wapo WANAKULA MAISHA


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Unakuta ni Polisi Jambazi huyo anajatibu kitetea Majambazi wenzake kama anjaa si aache kazi akaolewe
Si ndo hapo hata mm namshangaa 😳 😳 Yeye anaona mahali pana njaa lakini bado amepangangania. Amerogwa?
 
Mwambie Mbowe akupe nauli uvuke hata mpaka.Polisi wa Tanzania ni watakatifu kabisa kulinganisha na Kenya.
Hivi mkiwaua raia na kuwapora fedha zao mnanufaika sana eeh? Jehanamu inawahusu kwa dhuluma hii.
 
Hii ndiyo aina ya polisi tulio nao hapa nchini
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…