Ujana haudumu, kuchora tattoo kunaweza kukugharimu sana maisha yako ukubwani

Ujana haudumu, kuchora tattoo kunaweza kukugharimu sana maisha yako ukubwani

Mzee baba.....hivi Kuna uhusiano gani Kati ya kuchangia damu vs mtu aliechora tatoo........coz hili Jambo nalisikia sana
Wana-assume vitu vyenye ncha kali havikuwa salama na vinaweza kusambaza magonjwa yasababishwayo na virusi kama UKIMWI, Home ya Ini B, n.k.
 
Hapo kwenye kuajiriwa ni serikalini tu ndiyo shida ila ofisi za private hawana tatizo.

Nimekutana na dada ana tattoo na bleach anafanya kazi USAID. Nimekutana na dada ana tattoo Soft Net, nimekutana na dada ana tattoo Jubilee Insurance, nimekutana na mdada ana bleach JICA.

Nimekutana na dada ana tattoo IOM.
Chora na wewe ukaajiliwe huko ubalozini,unaonywa lakini hutaki kusikia wewe vipi lakini
 
Huwa nawaonea huruma sana vijana wadogo wanaochora tattoo kuona ni ujanja ama kufuata mkumbo... majuto huanza baada ya kuzochora.

hio tattoo itakushushia sana heshima kwenye jamii, jamii hasa kundi la watu wazima watakuona ni muhuni wa mtaa.

itakufanya uonekane ni mhalifu mbele ya vyombo vya usalama, utaonekana ni muhalifu mbele ya polisi hata kama haujafanya kosa. hata mahakamani inakuwa kazi sana kujitetea maana hakimu nae anakuona mhalifu kirahisi.

inakuwa shida zaidi ukiwa ni binti, itakuharibia sana kwenye swala la kupata mume, hata utapoenda kutambulishwa kwa familia ya mwanaume basi tegemea wakuone huna maadili na humfai mtoto wao.

kama unatafuta kazi serikalini na umechora tattoo, hapo watakupiga panga wazi wazi na watakupa makavu .... labda uende kampuni binafsi ama ngo za wazungu

kadiri miaka inavyoenda mambo hubadilika, umechora tattoo ya mpenzi wako mkaja kuachana inakuwa vp ? umechora tattoo ya msanii flani kaja kuwa teja huko mbele itakuwaje ?

Pia jua ya kwamba ukichora tattoo hurusiwi kuchangia damu, vuta picha mtoto wako kapata majanga na kapungukiwa damu ila wewe huwezi kumchangia damu kwasababu uliamua kuchora tattoo !! kwa wenzetu marekani wanaruhusu kuchangia naada ya miezi kadhaa kwa vibali maalum na baada ya uchunguzi wa kina, kibongo bongo ni shida
Mimi huwa naona msichana aliyechora tattoo ni kama jini tu
 
Kuna msela nilipiga nae kazi kipind nipo intership na alikuwa afisa mkubwa analipwa vizuri taasisi nyeti kachora tattoos kweny bega havai nguo za mikono mifupi hata t shirt za kiofisi anavaa na t shirt ya mikono mirefu ndani mtu mzima miaka 42 anafika yuko poa ila ukingulia unajua huyu mafia kabisa then alisoma nje unaonyesha

Siku moja natoka sina hela nilikuwa na buku vya hiace akaniambia unaelekea wapi nikamwambia sinza anakaniambia panda mi naenda huko huko ila kwangu kimara .nikapanda Ana vanguard kali mpya safari inaanza tu kweny redio zile za smart kaingia YouTube kaweka ngoma ya kodak sielewi naona bangi tu jamaa mbinafsi akaweka earphone masikioni mpaka tunafika na niliona karatasi za zig pembeni
 
Huwa nawaonea huruma sana vijana wadogo wanaochora tattoo kuona ni ujanja ama kufuata mkumbo... majuto huanza baada ya kuzochora.

hio tattoo itakushushia sana heshima kwenye jamii, jamii hasa kundi la watu wazima watakuona ni muhuni wa mtaa.

itakufanya uonekane ni mhalifu mbele ya vyombo vya usalama, utaonekana ni muhalifu mbele ya polisi hata kama haujafanya kosa. hata mahakamani inakuwa kazi sana kujitetea maana hakimu nae anakuona mhalifu kirahisi.

inakuwa shida zaidi ukiwa ni binti, itakuharibia sana kwenye swala la kupata mume, hata utapoenda kutambulishwa kwa familia ya mwanaume basi tegemea wakuone huna maadili na humfai mtoto wao.

kama unatafuta kazi serikalini na umechora tattoo, hapo watakupiga panga wazi wazi na watakupa makavu .... labda uende kampuni binafsi ama ngo za wazungu

kadiri miaka inavyoenda mambo hubadilika, umechora tattoo ya mpenzi wako mkaja kuachana inakuwa vp ? umechora tattoo ya msanii flani kaja kuwa teja huko mbele itakuwaje ?

Pia jua ya kwamba ukichora tattoo hurusiwi kuchangia damu, vuta picha mtoto wako kapata majanga na kapungukiwa damu ila wewe huwezi kumchangia damu kwasababu uliamua kuchora tattoo !! kwa wenzetu marekani wanaruhusu kuchangia naada ya miezi kadhaa kwa vibali maalum na baada ya uchunguzi wa kina, kibongo bongo ni shida
nilipataga bonge la pisi kabla ya kufanya yetu ilichukua miez 2 nkasema mke ndo huyu kila anayetambulishwa napewa sifa kama zote.

siku nakula vyangu chumba namuweka chuma mboga lahaula tatoo hyo ya rose kiunoni dah mzuka ote ulikata,na tulipotakaga pale hatukuonan tena na kila kitu nili cancel
 
Izo sifa zote ni kwa wale wasio na hela,,ukiwa na kibunda hata ukiwa na tatoo usoni utapewa tu heshima
 
Binafsi siwezi kuchafua ngozi yangu kwa maswala ya kipuuzi kama haya
 
Unajua sisi vijana huwa tunafanya mengi sana yanayo haribu uelekeo mzuri wa maisha kwa kuiga, ukimuona Sergio Ramos anacheza mpira kachafuka tattoo unaona ujanja si ndo huu sasa kumbe yule tayari kashatoboa maisha mtu kwa wiki analipwa zaidi ya million 500 za ki Tz alafu unamuiga

kwa life la kibongo tattoo ni sumu hasa kwa sisi wa familia maskin tattoo itakuachia njia nyembamba sana ya kufanikiwa na njia nyingi itakuzibia, ukizingatia unakuta wazee wanalala njaa ili wakusomeshe uajiriwe maana mtaji wa kukupa hawana
 
Unajua sisi vijana huwa tunafanya mengi sana yanayo haribu uelekeo mzuri wa maisha kwa kuiga, ukimuona Sergio Ramos anacheza mpira kachafuka tattoo unaona ujanja si ndo huu sasa kumbe yule tayari kashatoboa maisha mtu kwa wiki analipwa zaidi ya million 500 za ki Tz alafu unamuiga

kwa life la kibongo tattoo ni sumu hasa kwa sisi wa familia maskin tattoo itakuachia njia nyembamba sana ya kufanikiwa na njia nyingi itakuzibia, ukizingatia unakuta wazee wanalala njaa ili wakusomeshe uajiriwe maana mtaji wa kukupa hawana
maamuzi ya udogoni hayaondoagi madhara ykubwani....

ukiona umepita miaka ya 15 hadi 25 salama mshukuru Mungu wako, wengi sana huwa wanavuruga hapa
 
View attachment 2243436

View attachment 2243438

Huwa nawaonea huruma sana vijana wadogo wanaochora tattoo kuona ni ujanja ama kufuata mkumbo... kwa nchi kama ulaya na marekani tattoo sio shida hata kidogo, ila kwa hapa bongo hali tofauti sana

wanajeshi,mahakimu,wacheza mpira,wasanii,madaktari wanatattoo na maisha yana kwenda


Mosi, kwa mitazamo ya jamii zetu, mtu akisha chora tatoo basi kwa kaisi fulani heshima yake inapungua pakubwa mno kwenye jamii zetu, jamii itamuweka kundi moja na wavuta bangi amba huonekana ni wahuni, yes! ndivyo jamii zetu zilivyo, kuna vitu ukivianya utaonekana ni muhuni tu.

itakufanya uonekane ni mhalifu mbele ya vyombo vya usalama, upo hatarini kuwa mtuhumiwa namba moja endapo kuna uhalifu umetokea kwa sababu tu jamii imejenga dhana kwamba mtu mwente tatoo ni muhalifu.

inakuwa shida zaidi ukiwa ni binti, itakuharibia sana kwenye swala la kupata mume, wanaume wengi tuna dhana ya kwamba mwanamke aliechora tattoo ni malaya. hata utapoenda kutambulishwa kwa familia ya mwanaume basi tegemea wakuone huna maadili na humfai mtoto wao.

kwa ulaya na marekani kuna wanajeshi,mahakimu,madaktari wana tattoo na maisha yana kwenda ila kwa hapa bongo ukiwa na tattoo hupati kazi serikalini hata kama una connection ama una vyeti vizuri. ponea yako labda utafte kazi makampuni binafsi au ngo za wazungu hapa bongo.

kadiri miaka inavyoenda mambo hubadilika, umechora tattoo ya mpenzi wako mkaja kuachana inakuwa vp ? umechora tattoo ya msanii flani havumi tena huko mbele itakuwaje ? umechora tatoo ya nyota shingoni kuendana na fasheni, ghafla imeshachuja, inakuwaje ?

Pia jua ya kwamba kwa hapa bongo ukichora tattoo hurusiwi kuchangia damu kwasababu tattoo huwa inachorwa na sindano, vitu kama hivi yenye ncha kali endapo havibadilishwi husambaza magonjwa kama ukimwi , Home ya Ini B, n.k. ila pia hata ule wino unaweza ukawa umechafua damu yako.
Upo sahihi. Hawajui kuhusu hilo, mikumbo tu.
 
Back
Top Bottom