Michael mbano
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 820
- 570
Mimi pia nimeshangaa. Kwani tujuavyo kabla ya kutoa damu mtu hupimwa vyote alivyovitaja mtoa mada.Mzee baba.....hivi Kuna uhusiano gani Kati ya kuchangia damu vs mtu aliechora tatoo........coz hili Jambo nalisikia sana
Mzungu akila parachichi mnasema anakula vizuri, mtu mweusi akila hilohilo parachichi mnamwambia ataharisha.....kwa nchi kama ulaya na marekani tattoo sio shida hata kidogo, ila kwa hapa bongo hali tofauti sana
Huwezi kumchangia mtu damu sababu unapochora tatoo kuna marangi wanatumia damu inakuwa sio safi tena,hio wanapewa mbwa tuuMzee baba.....hivi Kuna uhusiano gani Kati ya kuchangia damu vs mtu aliechora tatoo........coz hili Jambo nalisikia sana
nimekuona unajitetea sana. bila shaka una tatoos. umesema tusitageti kuajiri,lakini hapo huoni kama unajiwekea kauzibe?! umeambiwa huwezi kumpa mtu damu. unawezaje kuishawishi jamii kwamba wewe sio muhuni?Ebu toa madhara ya Tatoo na usitageti katika .... Kuajiriwa tu.
Umefanya makosa San kuchora vitu hvyo hata Kama uoimchora mama ako umekozea Sana San na utakuja kujutaHuwa nawaonea huruma wanaochora tats kwa kufuata mkumbo, i got mine almost 3years now and it was purposely, sitokuja kujuta coz ilinichukua zaidi ya miaka minne kutafakari juu ya uamuzi wa kuchora ama kutokuchora.
Ila tambua kuwa hao madad Ni single forever wamejikatia ticketHapo kwenye kuajiriwa ni serikalini tu ndiyo shida ila ofisi za private hawana tatizo.
Nimekutana na dada ana tattoo na bleach anafanya kazi USAID. Nimekutana na dada ana tattoo Soft Net, nimekutana na dada ana tattoo Jubilee Insurance, nimekutana na mdada ana bleach JICA.
Nimekutana na dada ana tattoo IOM.
Mwamba Yuko tpsfHapo kwenye kuajiriwa ni serikalini tu ndiyo shida ila ofisi za private hawana tatizo.
Nimekutana na dada ana tattoo na bleach anafanya kazi USAID. Nimekutana na dada ana tattoo Soft Net, nimekutana na dada ana tattoo Jubilee Insurance, nimekutana na mdada ana bleach JICA.
Nimekutana na dada ana tattoo IOM.
Baadaye hata serikalini tutaziona kwa uwaziMwamba Yuko tpsfView attachment 2243634View attachment 2243635
Si bongo hata ulaya, mtu mwenye tattoo haruhusiwi kichangia damu, labda ulazmishe,View attachment 2243436
View attachment 2243438
Huwa nawaonea huruma sana vijana wadogo wanaochora tattoo kuona ni ujanja ama kufuata mkumbo... kwa nchi kama ulaya na marekani tattoo sio shida hata kidogo, ila kwa hapa bongo hali tofauti sana
wanajeshi,mahakimu,wacheza mpira,wasanii,madaktari wanatattoo na maisha yana kwenda
Mosi, kwa mitazamo ya jamii zetu, mtu akisha chora tatoo basi kwa kaisi fulani heshima yake inapungua pakubwa mno kwenye jamii zetu, jamii itamuweka kundi moja na wavuta bangi amba huonekana ni wahuni, yes! ndivyo jamii zetu zilivyo, kuna vitu ukivianya utaonekana ni muhuni tu.
itakufanya uonekane ni mhalifu mbele ya vyombo vya usalama, upo hatarini kuwa mtuhumiwa namba moja endapo kuna uhalifu umetokea kwa sababu tu jamii imejenga dhana kwamba mtu mwente tatoo ni muhalifu.
inakuwa shida zaidi ukiwa ni binti, itakuharibia sana kwenye swala la kupata mume, wanaume wengi tuna dhana ya kwamba mwanamke aliechora tattoo ni malaya. hata utapoenda kutambulishwa kwa familia ya mwanaume basi tegemea wakuone huna maadili na humfai mtoto wao.
kwa ulaya na marekani kuna wanajeshi,mahakimu,madaktari wana tattoo na maisha yana kwenda ila kwa hapa bongo ukiwa na tattoo hupati kazi serikalini hata kama una connection ama una vyeti vizuri. ponea yako labda utafte kazi makampuni binafsi au ngo za wazungu hapa bongo.
kadiri miaka inavyoenda mambo hubadilika, umechora tattoo ya mpenzi wako mkaja kuachana inakuwa vp ? umechora tattoo ya msanii flani havumi tena huko mbele itakuwaje ? umechora tatoo ya nyota shingoni kuendana na fasheni, ghafla imeshachuja, inakuwaje ?
Pia jua ya kwamba kwa hapa bongo ukichora tattoo hurusiwi kuchangia damu kwasababu tattoo huwa inachorwa na sindano, vitu kama hivi yenye ncha kali endapo havibadilishwi husambaza magonjwa kama ukimwi , Home ya Ini B, n.k. ila pia hata ule wino unaweza ukawa umechafua damu yako.
kaifute, naskia kuna watu wanazifuta kwa mashineMimi kuna tatoo nilijichora niko form linanitesa hilo,,,,,,Sisubutu kuvaa singlend mbele ya watoto wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm binafsi nakwerwa nao haswa nawaona tu kuwa Ni wahuni fln hv
Mwaka Jana Niko na date na mwanamke mmoja mzuri sna kila siku namuomba show anahairisha na akikupa ataki kukupa mchana show Ya mbuz kagoma kumbe alichoraga tatu ya njooka kutoka mabegani had mwanzo wa kalio .yey mwenye amekiri kuwa amefanya kosa pasipo kujuwakuwa alikosea dad Ni mzur Sana ila Ni single forever mm binasf nilichakata kimoko tu sikuweza kurudia Tena kutokana na lile joko kwenye mgongo wake
Jmn acheni UPUUZI HUU WA KUTOBOA MAPUAA NA KUJICHORA MATATU