NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
Mbona makasiriko aiseee??Wewe ndiyo unampangia kocha mchezaji wa kucheza? Pimbi wewe, wacha Ntiba achukue kiatu, wewe unawashwa na nini huko nyuma mwiko?
Povu hili ni Kolowizards Kungwi kabisa, lenye maumivu makali kuliko hata kipigo cha paka shume [emoji28]Sasa akichukua wewe unaumia nini kwa shutuma zako ambazo ni pumba hazina hata uthibitisho wowote? Kwani mpira si tumeuona wote ulivyochezwa? Kama Ntiba anastahili wacha achukue hakuna shida, tukutane msimu ujao!
Kwenye hela Kuna uto damdam yeye Hana shida??Kwahio umesahow kama papaa mwenye zahela ni uto damdam?
HUNA AKILI.Nani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora?
Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.
Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
Mbona SINGIDA Big * na Utopolo ni Paula na Paulina.Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu
saido siku ya coastal atafunga magoli 20Nani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora?
Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.
Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
Kwa kununua gemu itawezekana kwa Nini juhudi Kama hizo hazikuonekana kabla wakachukua kombeYaani watu wasifunge kwa sababu wataonekana wamenunua game. Akili zenye mwiko nyuma hizo.
Wewe ni lofa san aisee prison walifungwa ngapi?mtibwa je?singida big star?utopolo na wao waliuza mechi wakapigwa kama wamesimama?We ni moja ya maboya sana.Kwa kununua gemu itawezekana kwa Nini juhudi Kama hizo hazikuonekana kabla wakachukua kombe
Wewe unaonajeUnatuhumu polisi Kwa rushwa??
Police ndio taasisi inayoongoza kwa rushwa Tanzania, ukiachana na swala la timu ya mpira.Unatuhumu polisi Kwa rushwa??
NAKAZIA.Police ndio taasisi inayoongoza kwa rushwa Tanzania, ukiachana na swala la timu ya mpira.
Ukifika Polisi utakuta mabango mengi tu eti rushwa ni adui wa haki na dhamana ni haki ya mtuhumiwa, sasa usitowe pesa halafu utaona mziki wake.
Kweli wewe bichwa lako limejaa kamasiWewe ni lofa san aisee prison walifungwa ngapi?mtibwa je?singida big star?utopolo na wao waliuza mechi wakapigwa kama wamesimama?We ni moja ya maboya sana.
Hebu taja top 5 ya scorer wa utopolo hapo, au game uto aliyoshinda goli nyingi zaidi ya hizi alizocheza na dada zake.
Uache u"kocho" wako we lofa.