Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Wadau,siku hiz nimekuwa na ujasiri wa ajabu hadi kuna muda nakaa natabasamu halafu najikubali,
yaan huwez amin kipind cha nyuma nilikua siwez kabisa kuwakwepa mademu wanaopiga vizinga au wale wanaokuja wawil wawil kwenye vidate ,ila siku hiz yaan kama sijiskii kutoa pesa ama kulipia watu/madem pombe ama msos, nmejikuta nawachana live tuu,kua hapana, mpo wengi sana siwez hudumia wote labda mmoja muhusika mkuu tuu,ama kwa wale wa vizinga nawachana stak au sina au mi sio baba ako,ama usinchoshe.
Hayo ndo majib yangu siku hiz,na wananielewa sometime, nawagonga vilevile, na maisha yanaenda, ila kununiwa ni kwa 100%
yaan huwez amin kipind cha nyuma nilikua siwez kabisa kuwakwepa mademu wanaopiga vizinga au wale wanaokuja wawil wawil kwenye vidate ,ila siku hiz yaan kama sijiskii kutoa pesa ama kulipia watu/madem pombe ama msos, nmejikuta nawachana live tuu,kua hapana, mpo wengi sana siwez hudumia wote labda mmoja muhusika mkuu tuu,ama kwa wale wa vizinga nawachana stak au sina au mi sio baba ako,ama usinchoshe.
Hayo ndo majib yangu siku hiz,na wananielewa sometime, nawagonga vilevile, na maisha yanaenda, ila kununiwa ni kwa 100%