Hivi JF ni nani? Wewe haumo?
Na hizo conspiracy theory za u-hajjat sijui mwanamke, mdini mkubwa wewe. Kila kitu unakichukulia ktk muonekano wa kidini. Very hopeless.
Hivi ni sheria gani hiyo ya kukata mshahara watu? Yaani unataka tumpongeze kwa kuleta kauli tata ambazo hazina mashiko ya kisheria?
It takes One to know One...Kumbe wewe ni mdini mkubwa!...Bwahahahaa
Tunapenda double standard....!!! Wengi humu ndani tulipenda au tunapenda Rais awachukulie hatua Mafisadi...tena bila kupitia Mahakama or any procedural zilizopo...!!! Leo hii viduchu vya kuwashtua watendaji wetu Waamke....basi DC/RC amekosea....!!! Kweli tunakazi ndefu....!!!
Anae mpongeza huyu mama ana matatizo pia.
Tupo pamoja mkulu,Kukata mtu mshahara sio kinyume cha sheria?