Alwatan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 409
- 129
Hivi JF ni nani? Wewe haumo?
Na hizo conspiracy theory za u-hajjat sijui mwanamke, mdini mkubwa wewe. Kila kitu unakichukulia ktk muonekano wa kidini. Very hopeless.
Hivi ni sheria gani hiyo ya kukata mshahara watu? Yaani unataka tumpongeze kwa kuleta kauli tata ambazo hazina mashiko ya kisheria?
It takes One to know One...Kumbe wewe ni mdini mkubwa!...Bwahahahaa