Nilikua napitapita kule YouTube nilipokutana na hii vidio ilio nishtua sana, eti mwanajeshi kaua chatu kwa "mikono yake" miwili (Ingawaje hapo akijieleza anasema alitumia mkuki na pia panga).....
Kilichonishtua ni jinsi vile media ya jeshi ilirukia na kuingia kazini eti kutoa taarifa kana kwamba kitendo kilichofanyika ni cha kusifia au hata cha kuonyeshwa kwa mitandao, Tena kwenye hio video naona hata kamanda wa cheo cha juu ako hapo anaruhusu ahojiwe......
Chatu mkubwa kama vile hafai kuuliwa, unajua amechukua mda gani kua mkubwa kama vile? mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park.. Inakuaje mlinda amani kama huyu ndo anaongoza kwa kumaliza raslimali na kivutio kizuri kama hichi? Tena anachapishwa kwa video eti sifa........ Hizi s zile enzi za 1950's ambapo wanyamapori walikua wengi kuliko binadamu, hata wamasaai waliacha mila za kuua simba eti ndo waonyeshe ujasiri wa kubalehe kwasababu ya kulinda mazingira na kusupport sector ya utalii.
Huyu askari anafaa ashikwe na kushtakiwa, huu ni ushamba wa hali ya juu, kama kazi yake ya kulinda kambi imemboesha, mpelekeni msumbiji kule kabo-delgado akapambane na magaidi .
Halikuwa tukio la kujisifu ila kwa vile amefanya mtu ambaye kazi yake ina asili ya kukutana na vikwazo vikubwa kama hivyo ni pongezi kwake kwa kuweza kuhakikisha adui anaanguka ila kiuhalisia alifaa aachane na chatu huyo aendelee na maisha yake.
Binafsi nilikuwa naona inatrend sana,sijui kwann nilliidharau Sana hii habari
Kitu nimekuja kugundua Ni kwamba propaganda zimekuwa nyingi Tena za kijinga sana,karne ya 21 mnajisifia kuua wanyama??
Binafsi nilikuwa naona inatrend sana,sijui kwann nilliidharau Sana hii habari
Kitu nimekuja kugundua Ni kwamba propaganda zimekuwa nyingi Tena za kijinga sana,karne ya 21 mnajisifia kuua wanyama??
Nilikua napitapita kule YouTube nilipokutana na hii vidio ilio nishtua sana, eti mwanajeshi kaua chatu kwa "mikono yake" miwili (Ingawaje hapo akijieleza anasema alitumia mkuki na pia panga).....
Kilichonishtua ni jinsi vile media ya jeshi ilirukia na kuingia kazini eti kutoa taarifa kana kwamba kitendo kilichofanyika ni cha kusifia au hata cha kuonyeshwa kwa mitandao, Tena kwenye hio video naona hata kamanda wa cheo cha juu ako hapo anaruhusu ahojiwe......
Chatu mkubwa kama vile hafai kuuliwa, unajua amechukua mda gani kua mkubwa kama vile? mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park.. Inakuaje mlinda amani kama huyu ndo anaongoza kwa kumaliza raslimali na kivutio kizuri kama hichi? Tena anachapishwa kwa video eti sifa........ Hizi s zile enzi za 1950's ambapo wanyamapori walikua wengi kuliko binadamu, hata wamasaai waliacha mila za kuua simba eti ndo waonyeshe ujasiri wa kubalehe kwasababu ya kulinda mazingira na kusupport sector ya utalii.
Huyu askari anafaa ashikwe na kushtakiwa, huu ni ushamba wa hali ya juu, kama kazi yake ya kulinda kambi imemboesha, mpelekeni msumbiji kule kabo-delgado akapambane na magaidi .
Mleta mada ukitaka nyoka wa maonyesho kama huyo nenda bujora kwenye maonyesho ya wasukuma utawakuta huko, kama unaona ni kosa kamshitaki mahakaman maana sheria ni kwa wote sio raia tu hata wanajeshi pia wanashitakiwa!
Sisi tunaamini amefanya jambo jema maana nyoka huyu hafai kuwa karibu na binadam angeweza kudhuru binadam waliokalibu na eneo lile au pengine angumuua huyo askari.
Je ni bora nyoka kauwawa au askari aliepewa mafunzo kwa gharama za wananchi(kodi) il I alinde nchi na mipaka yake afe kwa kuwawa na nyoka?
Hapa najua kama askari angeuwawa na nyoka basi ungefungua uzi hapa ukidai askari hana mafunzo ya kutosha kumkabili adui(nyoka) yule
Nilikua napitapita kule YouTube nilipokutana na hii vidio ilio nishtua sana, eti mwanajeshi kaua chatu kwa "mikono yake" miwili (Ingawaje hapo akijieleza anasema alitumia mkuki na pia panga).....
Kilichonishtua ni jinsi vile media ya jeshi ilirukia na kuingia kazini eti kutoa taarifa kana kwamba kitendo kilichofanyika ni cha kusifia au hata cha kuonyeshwa kwa mitandao, Tena kwenye hio video naona hata kamanda wa cheo cha juu ako hapo anaruhusu ahojiwe......
Chatu mkubwa kama vile hafai kuuliwa, unajua amechukua mda gani kua mkubwa kama vile? mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park.. Inakuaje mlinda amani kama huyu ndo anaongoza kwa kumaliza raslimali na kivutio kizuri kama hichi? Tena anachapishwa kwa video eti sifa........ Hizi s zile enzi za 1950's ambapo wanyamapori walikua wengi kuliko binadamu, hata wamasaai waliacha mila za kuua simba eti ndo waonyeshe ujasiri wa kubalehe kwasababu ya kulinda mazingira na kusupport sector ya utalii.
Huyu askari anafaa ashikwe na kushtakiwa, huu ni ushamba wa hali ya juu, kama kazi yake ya kulinda kambi imemboesha, mpelekeni msumbiji kule kabo-delgado akapambane na magaidi . View attachment 1849529
Binafsi nilikuwa naona inatrend sana,sijui kwann nilliidharau Sana hii habari
Kitu nimekuja kugundua Ni kwamba propaganda zimekuwa nyingi Tena za kijinga sana,karne ya 21 mnajisifia kuua wanyama??
Kweli kabisa hata mm nimeshangaa sana!!
ukimsikiliza jamaa alikuwa na nia ya kumuua chatu!!!??huu ni upunguani.....
angepiga simu mamlaka husika wanyama pori....
waje wachukue chatu wao.....
hawajui kwamba hiyo ni tuzo ya utalii!!??
Huyu jamaa tumlipishe hela.....
hawezi kuuwa mnyama wetu bure namna hii....eti baada ya kumuona akampiga mkuki..!!?
jamaa hajui kwamba hii ni nyara ya serekali...!!?
angekimbia alafu awajulishe mamlaka husika.....
waje wachukue nyoka wao...
Mleta mada ukitaka nyoka wa maonyesho kama huyo nenda bujora kwenye maonyesho ya wasukuma utawakuta huko, kama unaona ni kosa kamshitaki mahakaman maana sheria ni kwa wote sio raia tu hata wanajeshi pia wanashitakiwa!
Sisi tunaamini amefanya jambo jema maana nyoka huyu hafai kuwa karibu na binadam angeweza kudhuru binadam waliokalibu na eneo lile au pengine angumuua huyo askari.
Je ni bora nyoka kauwawa au askari aliepewa mafunzo kwa gharama za wananchi(kodi) il I alinde nchi na mipaka yake afe kwa kuwawa na nyoka?
Hapa najua kama askari angeuwawa na nyoka basi ungefungua uzi hapa ukidai askari hana mafunzo ya kutosha kumkabili adui(nyoka) yule
Mimi mwenyewe niliona video jana nikajisemea moyoni kwamba watanzania bado tuna safari ndefu sana. Huyo jamaa katika utumishi wake wote kaona hicho ndo kitendo kikubwa cha kujisifia bila kutambua alifanya uharifu na alipaswa apelekwe mahakamani,sheria za kulinda wanyama zipo. Cha kushangaza pia mamlaka ya usimamizi wa wanayamapori hakuna hatua watachukua. Vile vile yule chatu inaonekana alikuwa kwenye mawindo ya wanyama anaowamudu kuwameza, chatu ni mnyama mwenye akili sana, hawezi kuwinda windo linalomzidi au litakalomshinda kulimeza.
Kweli kabisa hata mm nimeshangaa sana!!
ukimsikikiza jamaa alikuwa na nia ya kumuua chatu!!!??huu ni upunguani.....
angepiga simu mamlaka husika wanyama pori....
waje wachukue chatu wao.....
hawajui kwamba hiyo ni tuzo ya utalii!!??
Nilikua napitapita kule YouTube nilipokutana na hii vidio ilio nishtua sana, eti mwanajeshi kaua chatu kwa "mikono yake" miwili (Ingawaje hapo akijieleza anasema alitumia mkuki na pia panga).....
Kilichonishtua ni jinsi vile media ya jeshi ilirukia na kuingia kazini eti kutoa taarifa kana kwamba kitendo kilichofanyika ni cha kusifia au hata cha kuonyeshwa kwa mitandao, Tena kwenye hio video naona hata kamanda wa cheo cha juu ako hapo anaruhusu ahojiwe......
Chatu mkubwa kama vile hafai kuuliwa, unajua amechukua mda gani kua mkubwa kama vile? mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park.. Inakuaje mlinda amani kama huyu ndo anaongoza kwa kumaliza raslimali na kivutio kizuri kama hichi? Tena anachapishwa kwa video eti sifa........ Hizi s zile enzi za 1950's ambapo wanyamapori walikua wengi kuliko binadamu, hata wamasaai waliacha mila za kuua simba eti ndo waonyeshe ujasiri wa kubalehe kwasababu ya kulinda mazingira na kusupport sector ya utalii.
Huyu askari anafaa ashikwe na kushtakiwa, huu ni ushamba wa hali ya juu, kama kazi yake ya kulinda kambi imemboesha, mpelekeni msumbiji kule kabo-delgado akapambane na magaidi . View attachment 1849529
Huyu jamaa tumlipishe hela.....
hawezi kuuwa mnyama wetu bure namna hii....eti baada ya kumuona akampiga mkuki..!!?
jamaa hajui kwamba hii ni nyara ya serekali...!!?
angekimbia alafu awajulishe mamlaka husika.....
waje wachukue nyoka wao...
Nilikua napitapita kule YouTube nilipokutana na hii vidio ilio nishtua sana, eti mwanajeshi kaua chatu kwa "mikono yake" miwili (Ingawaje hapo akijieleza anasema alitumia mkuki na pia panga).....
Kilichonishtua ni jinsi vile media ya jeshi ilirukia na kuingia kazini eti kutoa taarifa kana kwamba kitendo kilichofanyika ni cha kusifia au hata cha kuonyeshwa kwa mitandao, Tena kwenye hio video naona hata kamanda wa cheo cha juu ako hapo anaruhusu ahojiwe......
Chatu mkubwa kama vile hafai kuuliwa, unajua amechukua mda gani kua mkubwa kama vile? mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park.. Inakuaje mlinda amani kama huyu ndo anaongoza kwa kumaliza raslimali na kivutio kizuri kama hichi? Tena anachapishwa kwa video eti sifa........ Hizi s zile enzi za 1950's ambapo wanyamapori walikua wengi kuliko binadamu, hata wamasaai waliacha mila za kuua simba eti ndo waonyeshe ujasiri wa kubalehe kwasababu ya kulinda mazingira na kusupport sector ya utalii.
Huyu askari anafaa ashikwe na kushtakiwa, huu ni ushamba wa hali ya juu, kama kazi yake ya kulinda kambi imemboesha, mpelekeni msumbiji kule kabo-delgado akapambane na magaidi . View attachment 1849529
We wanakugusa masaburi! Jamaa anafanya ulinzi kwenye ranch za nguruwe ghafla akakutana na chatu na yeye yupo lindo! Sasa afanyeje amuachie akameze nguruwe ama ulitakaje