ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Yupi ....Kamran....!!?Anzeni kumlipisha yule aliyetorosha twiga
yule alipigwa kesi sema wahuni waliharibu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupi ....Kamran....!!?Anzeni kumlipisha yule aliyetorosha twiga
Chatu hana msdhara yoyote,alitakiwa aachwe aendelee na maisha yakeHalikuwa tukio la kujisifu ila kwa vile amefanya mtu ambaye kazi yake ina asili ya kukutana na vikwazo vikubwa kama hivyo ni pongezi kwake kwa kuweza kuhakikisha adui anaanguka ila kiuhalisia alifaa aachane na chatu huyo aendelee na maisha yake.
Hio profile Pic ni Picha yako na sjauliza kwa vibaya Ila Naona Vitu vya ajabu walai😁🙈Kama hujadharau , embu jaribu kujiuliza kama wewe ungeweza?
hivi unapata wapi ujasiri wa kula burukenge mkuu??? unajua vyakula anavyokula burukenge?Na yule chatu lazima aliliwa nyama.. Kipindi nipo jeshini, tulikula sana kenge , na chatu
Jipe pole mwenyewe akili yako ndooogo sana!
Na yule chatu lazima aliliwa nyama.. Kipindi nipo jeshini, tulikula sana kenge , na chatu
Hii ishu ya kuua nyara ilibarikiwa na viongozi wa juu.Mnakumbuka yule polisi aliua nyoka,akapewa hela?
Apigie simu TAWA (Tanzania Wildlife Management Authority) Waje wamchukue chatu huyo, hivyo ndo sisi tumeelezwa kufanya, ukiona nyoka mkubwa usimuue, pigia simu kwa KWS au snake park waje wamchukue.We wanakugusa masaburi! Jamaa anafanya ulinzi kwenye ranch za nguruwe ghafla akakutana na chatu na yeye yupo lindo! Sasa afanyeje amuachie akameze nguruwe ama ulitakaje
Hadi waje itabidi waje na gari 2 ya MOI na ya TAWAApigie simu TAWA (Tanzania Wildlife Management Authority) Waje wamchukue chatu huyo, hivyo ndo sisi tumeelezwa kufanya, ukiona nyoka mkubwa usimuue, pigia simu kwa KWS au snake park waje wamchukue.
Hana madhara wakati yupo jirani na banda la nguruwe 😅😅😅 au unahisi alienda maeneo hayo kupiga picha?Chatu hana msdhara yoyote,alitakiwa aachwe aendelee na maisha yake
kwa ukubwa wa yule chatu anaweza kabisa kummeza mtu mwenye umbo kama la JB au Asha boko yule chatu ni mkubwa saanaMimi mwenyewe niliona video jana nikajisemea moyoni kwamba watanzania bado tuna safari ndefu sana. Huyo jamaa katika utumishi wake wote kaona hicho ndo kitendo kikubwa cha kujisifia bila kutambua alifanya uharifu na alipaswa apelekwe mahakamani,sheria za kulinda wanyama zipo. Cha kushangaza pia mamlaka ya usimamizi wa wanayamapori hakuna hatua watachukua. Vile vile yule chatu inaonekana alikuwa kwenye mawindo ya wanyama anaowamudu kuwameza, chatu ni mnyama mwenye akili sana, hawezi kuwinda windo linalomzidi au litakalomshinda kulimeza.
Lakini ukumbuke pia sisi binadamu ndo tunamaliza misitu kiasi cha kua wanyama hawana mahali salama pa kuishi tena ambapo watatoshelezeka na chakula...Wapo
wengi zaidi ya huyo! Nyoka ana maeneo yake akiingilia hifadhi ya jeshi sio kwake mle