Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahaha sawa brazakwani hiyo video imeonesha chatu akipambana au umeyachukua kama yalivyo maneno ya director na kuyaamini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha sawa brazakwani hiyo video imeonesha chatu akipambana au umeyachukua kama yalivyo maneno ya director na kuyaamini?
mbona koboko wakimuona maporini wana nyuti?Mimi sipingi kwamba ni hatari kwa nyoka huyo kua karibu na maeneo ya binadamu. (manake hata mtoto chini ya miaka 15 anawezwa kumezwa mzima mzima na chatu mkubwa kama huyo alieuliwa)
Kama ingekua nyoka huyo alimshambulia huyo askari na katika hali ya kupambana naye, askari akamuua, pia hio ninge support manake ile inaitwa self-defense ambayo inaruhusiwa, yani maisha yako au ya binadamu mwengine yalikua hatarini kwahivyo ulikua unatetea maisha yako ndo uka muua... Hata kwa binadamu hio inaruhusiwa, binadamu mwengine akikushambulia na silaha unaruhusiwa kummaliza na kutetea maisha yako yakiwa hatarini.
Lakini alichofanya huyu mwanajeshi si hivyo, Yeye alimuona nyoka kabla ashambuliwe kwahivyo hakua hatarini, alikua na mda wa kumchezea chezea nyoka kwa kumshika kwa mkia, kwenda kuchukua mkuki, mkuki ulipokua hautoshi akarudi tena na kuchukua panga ili aje ammalize, mda huu wote angeutumia kupigia simu, Tanzania Wildlife Management Authority (TAWA) waje wachukue kiumbe hichi ambacho hakina haitia yeyote....
Koboko unaweza kumuua kwa kumtumia honey Burger au nguchiro halafu wewe unajificha mbali unaangalia mpambanoTunataka ushuhuda wa huyo comando kuua koboko, chatu hata awe na ukubwa wa anaconda bado haipendezi kujichukua ujiko kwasababu sote tunajua ni mzembe
Tunataka action ya koboko
Hivi Chatu ni hatari kiasi cha kujisifia kumuua?Nilikua napitapita kule YouTube nilipokutana na hii vidio ilio nishtua sana, eti mwanajeshi kaua chatu kwa "mikono yake" miwili (Ingawaje hapo akijieleza anasema alitumia mkuki na pia panga).....
Kilichonishtua ni jinsi vile media ya jeshi ilirukia na kuingia kazini eti kutoa taarifa kana kwamba kitendo kilichofanyika ni cha kusifia au hata cha kuonyeshwa kwa mitandao, Tena kwenye hio video naona hata kamanda wa cheo cha juu ako hapo anaruhusu ahojiwe......
Chatu mkubwa kama vile hafai kuuliwa, unajua amechukua mda gani kua mkubwa kama vile? mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park.. Inakuaje mlinda amani kama huyu ndo anaongoza kwa kumaliza raslimali na kivutio kizuri kama hichi? Tena anachapishwa kwa video eti sifa........ Hizi s zile enzi za 1950's ambapo wanyamapori walikua wengi kuliko binadamu, hata wamasaai waliacha mila za kuua simba eti ndo waonyeshe ujasiri wa kubalehe kwasababu ya kulinda mazingira na kusupport sector ya utalii.
Huyu askari anafaa ashikwe na kushtakiwa, huu ni ushamba wa hali ya juu, kama kazi yake ya kulinda kambi imemboesha, mpelekeni msumbiji kule kabo-delgado akapambane na magaidi .
View attachment 1849529
sasa hapo unakua hujaua wewe japo uki force mbele ya camera point tatu unaweza ukapewaKoboko unaweza kumuua kwa kumtumia honey Burger au nguchiro halafu wewe unajificha mbali unaangalia mpambano
Ruvu wanajihusisha na Ufugaji wa KukuNilikua napitapita kule YouTube nilipokutana na hii vidio ilio nishtua sana, eti mwanajeshi kaua chatu kwa "mikono yake" miwili (Ingawaje hapo akijieleza anasema alitumia mkuki na pia panga).....
Kilichonishtua ni jinsi vile media ya jeshi ilirukia na kuingia kazini eti kutoa taarifa kana kwamba kitendo kilichofanyika ni cha kusifia au hata cha kuonyeshwa kwa mitandao, Tena kwenye hio video naona hata kamanda wa cheo cha juu ako hapo anaruhusu ahojiwe......
Chatu mkubwa kama vile hafai kuuliwa, unajua amechukua mda gani kua mkubwa kama vile? mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park.. Inakuaje mlinda amani kama huyu ndo anaongoza kwa kumaliza raslimali na kivutio kizuri kama hichi? Tena anachapishwa kwa video eti sifa........ Hizi s zile enzi za 1950's ambapo wanyamapori walikua wengi kuliko binadamu, hata wamasaai waliacha mila za kuua simba eti ndo waonyeshe ujasiri wa kubalehe kwasababu ya kulinda mazingira na kusupport sector ya utalii.
Huyu askari anafaa ashikwe na kushtakiwa, huu ni ushamba wa hali ya juu, kama kazi yake ya kulinda kambi imemboesha, mpelekeni msumbiji kule kabo-delgado akapambane na magaidi .
View attachment 1849529
Ukiondolea mbali yeye kutokuwa na Sumu.Hivi Chatu ni hatari kiasi cha kujisifia kumuua?
Ahahah kumbe Mzee Baba unatukanaga..wanamguda masaburi [emoji16]We wanakugusa masaburi! Jamaa anafanya ulinzi kwenye ranch za nguruwe ghafla akakutana na chatu na yeye yupo lindo! Sasa afanyeje amuachie akameze nguruwe ama ulitakaje
Amepost utopoloAhahah kumbe Mzee Baba unatukanaga..wanamguda masaburi [emoji16]
Mkuu huyo aakaribalikuwa anafanya ulinzi kwenye ranch ya nguruwe,Kwa hiyo unaweza kuelewa huyo nyoka alikuja hapo kutafuta nn hapoHehehe!! Elimu inapaswa kutolewa kwa askari wa JWTZ kwamba wanyama ni raslimali ya taifa na ukimkuta maporini usimuue, inapaswa uwaite wahusika waje wamkamate kwa kutumia mafunzo yao.
Kama angemkuta maeneo ya raia, hapo angekua na haki ya kumuua.
Comments zako kwenye huu Uzi zinachekesha sn aseeHuyo chatu yeye angeenda mbugani kuwinda sio kuwinda vitoweo vya jeshi! Watu wanafuga nguruwe walishe jeshi huyu boya anajifanya anawinda bandani[emoji28][emoji28][emoji28]
Chatu ni mnyama mwerevu sana, Hangeweza kushambulia hao nguruwe baada ya kujua kuna binadamu amemuona hapo karibu. (Labda kama huyo askari angempata chatu tayari ashamuua nguruwe na ako katika hali ya kummeza ndo hangeachilia chakula chake)Kwa hiyo huyo chatu angekamata kruta au mnyama pale zizini ni fresh maana ni kivutio.
Kumbuka huyo askari tayari huyo chatu kaingia 18 za askari ambae yuko kwenye kitengo chake cha kazi.
Laiti huyo chatu angechukua nguruwe huenda huyo askari kibarua kingeota nyasi.
Kijeshi ukiwa kitengo chako cha kazi kama ulinzi hata aje mkuu wa kambi unaruhusiwa kumshurutisha .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Extrovert hebu msikilize huyu jamaa[emoji1787]Zawadi yake so kifo, yafaa kumfukuza aende zake
Chatu kazingua man, analeta janja janja ya nyani kujifanya ana survey karibu na banda 😅😅😅Comments zako kwenye huu Uzi zinachekesha sn asee
Eti anajifanya kuwinda bandani badala akawinde porini
Chati anatafuta mseleleko[emoji1787]
mkuu,,, naomba unifahamishe jinsia yako tafadhali, kisha uniambie unatokea dar au mkoani.Chatu msikie, Ole wako akulie timing wewe.
Wanajeshi wanakula sana nyama pori. Hawawezi kuita mali asiliKweli kabisa hata mm nimeshangaa sana!!
ukimsikiliza jamaa alikuwa na nia ya kumuua chatu!!!??huu ni upunguani.....
angepiga simu mamlaka husika wanyama pori....
waje wachukue chatu wao.....
hawajui kwamba hiyo ni tuzo ya utalii!!??
Kwa youtube kuna video nyingi sana za watu wakipambana na chatu alafu wanamwachilia arudi msituni... Trick ni usiwache akuzunguke, ukimuacha akuzunguke sahau stori yako... labda camera man aje na kisu tena cha moto!Hivi Chatu ni hatari kiasi cha kujisifia kumuua?
Chatu alikuwa mazingira ya kazi ya jamaa. Na vipi hao askari wa wanyama pori wangefika na kukuta chatu ametoweka ?. Hivi unadhani ni kazi rahisi askari wa wanyama pori kuingia kambi ya jeshi ?Mimi mwenyewe niliona video jana nikajisemea moyoni kwamba watanzania bado tuna safari ndefu sana. Huyo jamaa katika utumishi wake wote kaona hicho ndo kitendo kikubwa cha kujisifia bila kutambua alifanya uharifu na alipaswa apelekwe mahakamani,sheria za kulinda wanyama zipo. Cha kushangaza pia mamlaka ya usimamizi wa wanayamapori hakuna hatua watachukua. Vile vile yule chatu inaonekana alikuwa kwenye mawindo ya wanyama anaowamudu kuwameza, chatu ni mnyama mwenye akili sana, hawezi kuwinda windo linalomzidi au litakalomshinda kulimeza.
Hahahaha haelewi kwamba chatu ni predator! A fully sized python anaweza kalisha mtu akammeza tu