Ujasiri wa JWTZ katika kulinda! Apambana na Chatu

Ujasiri wa JWTZ katika kulinda! Apambana na Chatu

Apigie simu TAWA (Tanzania Wildlife Management Authority) Waje wamchukue chatu huyo, hivyo ndo sisi tumeelezwa kufanya, ukiona nyoka mkubwa usimuue, pigia simu kwa KWS au snake park waje wamchukue.
Kuna kitu hamjui. Kambi ya jeshi sio chooni kila mtu anaingia. Kama ikitokea vurugu tu ma brigadier hawana mamlaka ya kupeleka wanajeshi eneo husika bila kibali cha CDF, sasa unadhani ni rahisi askari wa (foresti) kuingia eneo la jeshi ?
 
na kamera ya kurekodia kabisa
Hata polisi kuna camera, kuna jamaa alikuwa ni askari polisi na kazi yake ilikuwa ni uandishi wa habari za jeshi la polisi. Hii ilikua miaka ya 2004
 
Uzuri ni kuwa wanyma wana maeno yao ya kuishi na kujidai ,vile vile binadamu ana maeneo yake ya kuishi na kujidai, mwanajeshi hakumuua chatu kwa sababu kavamia maeneo ya wanyama, ila alimuua chatu kwa sababu chatu kaingia maeneo ya watu, ni haki ya mnyama kuishi lakini si haki ya mnyama kuhatarisha maisha ya binadamu.
 
Chatu ni mnyama mwerevu sana, Hangeweza kushambulia hao nguruwe baada ya kujua kuna binadamu amemuona hapo karibu. (Labda kama huyo askari angempata chatu tayari ashamuua nguruwe na ako katika hali ya kummeza ndo hangeachilia chakula chake)
Chatu akishajua ameonekana na binadamu hua attention yote iko kwa binadamu maana anajua akisleki kidogo atauliwa. Infact, nyoka wote hua wako hivyo, wakishajua wameonekana na binadamu hua ni kukimbia au kujitetea maisha yake.
Mimi binafsi nimeshawahi kuona black mamba mkubwa sana karibia mita tatu, bahati nzuri alikua ashaniona na alikua anakwepa kwahivyo sikumfikia karibu kiasi cha kumtishia maisha yake kwa kumkanyaga bila kukusudia manake hapo angeniuma.... nilimfwata nyuma pole pole tu hadi akaingia kwa shimo flani, nikawapigia jamaa wa snake park inayopatikana karibu na kwetu wakaja waka ng'ang'ana hadi akatoka kwa shimo na wakamshika. Baada ya kama wiki moja jamaa huyo wa snake park akaja akanitafuta na kunipa Ksh.500, akaniambia huko snake park anakofanya kazi hua wanalipwa commision kulingana na ukali wa sumu au urefu wa nyoka watakaofanyikiwa kushika jangwani, akasema yeye alilipwa 3,400 kwa kumshika nyoka huyo kwahivyo hio 500 ni asante yake kwa kupiga simu.... Nikajua kumbe kuna faida kupiga simu!

Anyway, nilipomuuliza zaidi kuhusu huo ukali wa sumu akanieleza kua hapo snake park kazi yao ni ku extract sumu ya nyoka alafu wanaweka kwa package na kutuma South Africa, Ikifika huko sumu hio inadungwa kwa farasi ambao wanatengeneza anti-dote amabayo inatolewa kwa damu ya hao farasi kwenye maabara na wanasayansi wenye ujuzi huo alafu anti-dote hio ikirudi Kenya hua inauzwa gali sana kwahivyo hio industry ya kutengeneza tiba ya sumu za nyoka ni very exclusive na very profitable, kwahivyo nyoka wenye sumu kali si kivutio cha utalii tu bali ni industry ya kutengeneza tiba za kuumwa na nyoka lakini sisi Kenya na EAC kwa ujumla tunaichezea manake duniania kote kunaukosefu wa anti-dote za nyoka ilhali sisi tuko na nyoka wengi hatari kazi yetu kuua tu!
Kumbuka askari nae anataka cheo ati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu,,, naomba unifahamishe jinsia yako tafadhali, kisha uniambie unatokea dar au mkoani.
kuna utafiti flani najaribu kufanya hapa.
Ukiwa serious sana huwez nielewa mkuu.

Mimi nina mashine na kende mbili..zinafanya kazi kisawasawa
 
Chatu ni mnyama mwerevu sana, Hangeweza kushambulia hao nguruwe baada ya kujua kuna binadamu amemuona hapo karibu. (Labda kama huyo askari angempata chatu tayari ashamuua nguruwe na ako katika hali ya kummeza ndo hangeachilia chakula chake)
Chatu akishajua ameonekana na binadamu hua attention yote iko kwa binadamu maana anajua akisleki kidogo atauliwa. Infact, nyoka wote hua wako hivyo, wakishajua wameonekana na binadamu hua ni kukimbia au kujitetea maisha yake.
Mimi binafsi nimeshawahi kuona black mamba mkubwa sana karibia mita tatu, bahati nzuri alikua ashaniona na alikua anakwepa kwahivyo sikumfikia karibu kiasi cha kumtishia maisha yake kwa kumkanyaga bila kukusudia manake hapo angeniuma.... nilimfwata nyuma pole pole tu hadi akaingia kwa shimo flani, nikawapigia jamaa wa snake park inayopatikana karibu na kwetu wakaja waka ng'ang'ana hadi akatoka kwa shimo na wakamshika. Baada ya kama wiki moja jamaa huyo wa snake park akaja akanitafuta na kunipa Ksh.500, akaniambia huko snake park anakofanya kazi hua wanalipwa commision kulingana na ukali wa sumu au urefu wa nyoka watakaofanyikiwa kushika jangwani, akasema yeye alilipwa 3,400 kwa kumshika nyoka huyo kwahivyo hio 500 ni asante yake kwa kupiga simu.... Nikajua kumbe kuna faida kupiga simu!

Anyway, nilipomuuliza zaidi kuhusu huo ukali wa sumu akanieleza kua hapo snake park kazi yao ni ku extract sumu ya nyoka alafu wanaweka kwa package na kutuma South Africa, Ikifika huko sumu hio inadungwa kwa farasi ambao wanatengeneza anti-dote amabayo inatolewa kwa damu ya hao farasi kwenye maabara na wanasayansi wenye ujuzi huo alafu anti-dote hio ikirudi Kenya hua inauzwa gali sana kwahivyo hio industry ya kutengeneza tiba ya sumu za nyoka ni very exclusive na very profitable, kwahivyo nyoka wenye sumu kali si kivutio cha utalii tu bali ni industry ya kutengeneza tiba za kuumwa na nyoka lakini sisi Kenya na EAC kwa ujumla tunaichezea manake duniania kote kunaukosefu wa anti-dote za nyoka ilhali sisi tuko na nyoka wengi hatari kazi yetu kuua tu!
Chatu anajua binadamu sio 👍👍👍
 
Kwa tiliopitia hiyo kambi ya ruvu 832kj chatu wanafugwa na wale jamaa wa ngoma coy na mara nyingi chatu wao huwa hawanawatoroka. Asee kuwapata huwa ni inshu sana maana chatu hadi kutoroka huwa linakuwa kali kinoma. So far mashamba ya nanasi hapo jirani mlandizi kuna michatu mingi sana.
Katika kodoji kwangu nilikuwa nayaona mengi hasa kule kwenye shamba la mpunga
 
Nilikua napitapita kule YouTube nilipokutana na hii vidio ilio nishtua sana, eti mwanajeshi kaua chatu kwa "mikono yake" miwili (Ingawaje hapo akijieleza anasema alitumia mkuki na pia panga).....

Kilichonishtua ni jinsi vile media ya jeshi ilirukia na kuingia kazini eti kutoa taarifa kana kwamba kitendo kilichofanyika ni cha kusifia au hata cha kuonyeshwa kwa mitandao, Tena kwenye hio video naona hata kamanda wa cheo cha juu ako hapo anaruhusu ahojiwe......

Chatu mkubwa kama vile hafai kuuliwa, unajua amechukua mda gani kua mkubwa kama vile? mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park.. Inakuaje mlinda amani kama huyu ndo anaongoza kwa kumaliza raslimali na kivutio kizuri kama hichi? Tena anachapishwa kwa video eti sifa........ Hizi s zile enzi za 1950's ambapo wanyamapori walikua wengi kuliko binadamu, hata wamasaai waliacha mila za kuua simba eti ndo waonyeshe ujasiri wa kubalehe kwasababu ya kulinda mazingira na kusupport sector ya utalii.


Huyu askari anafaa ashikwe na kushtakiwa, huu ni ushamba wa hali ya juu, kama kazi yake ya kulinda kambi imemboesha, mpelekeni msumbiji kule kabo-delgado akapambane na magaidi .
View attachment 1849529
Huyu soldier hakutakiwa kumuua huyu chatu,kama angekuwa jasiri ,angemdhibiti akiwa hai,na kama angeweza kumkabidhi kwa marihasiri.ingekuwa heshima kubwa,hii kuua sio ujasiri,wamasai wanaua Simba kila siku,
Huu ni upuuzi,hii inaonyesha jinsi jeshi letu linavyothamini vitu vidogo sana,hii haikuwa tukio la kutafutia kiki.
Karne ya 21,unajjsifia kuua chatu,mi ningefurahi kusikia Kuna mjeshi amefanya renovation kwenye AK 47 mpaka ikaweza kukooa risasi mia kwa sekunde,sio kwenda kuua machatu,
Kuna mjeshi alikimbia kule Mtwara akaacha kifaru magaidi walivyofika.
 
Hana madhara wakati yupo jirani na banda la nguruwe 😅😅😅 au unahisi alienda maeneo hayo kupiga picha?
Watu wanamuonea huruma huyo chatu, vipi mjeda wetu angekwenda na maji si wangeanza kusema tena... Ooh mjeda gani hawezi kufight na chatu mara uzembe mara.....

Napendekeza HUYO CHATU APIGWE SUPU.
 
Watu wanamuonea huruma huyo chatu, vipi mjeda wetu angekwenda na maji si wangeanza kusema tena... Ooh mjeda gani hawezi kufight na chatu mara uzembe mara.....

Napendekeza HUYO CHATU APIGWE SUPU.
Hahahah wampike tu aliwe naskia ni mtamu sana kama samaki
 
Kuna kitu hamjui. Kambi ya jeshi sio chooni kila mtu anaingia. Kama ikitokea vurugu tu ma brigadier hawana mamlaka ya kupeleka wanajeshi eneo husika bila kibali cha CDF, sasa unadhani ni rahisi askari wa (foresti) kuingia eneo la jeshi ?
Acha hizo wewe kwani wasiingie? Si taratibu zinafuatwa? Mbona wanavamiwaga na majambazi wanawaita polisi?
 
Jwtz wamejizalilisha siwangewaita watu wa maliasili wamu rescue ili asije leta madhara. In short wamejizalilisha
 
Back
Top Bottom