Abayesu bayesu
Senior Member
- Jan 29, 2018
- 119
- 124
Asante kwa uzi huu je mnatoa elimu hii ni campany au? Nitawapataje na ada ya hii elimu ni shilingi ngapi kwa muda gani?Inapatikana
Nenda Omar packages ya Bakhresa. Iko mkabala na Sido vingunguti.
[emoji1]Juzi nilinunua paket ya yoghurt nikala na msosi nikalala, nakwambia nimeendesha usik mzima! Sitasahau mh, niliona huruma kuexpose brand name yao ila niliiisoma! Nini kinasababisha maziwa kusababisha hali hii, walikosea wapi
Ushauri wako upo kwenye maziwa tu au bidhaa nyingine kama unga,juice n.k?Kuna sababu mbili
1. Maziwa kuwa na mafuta mengi sana, hasa ng'ombe wa kienyeji huwa na fat contents nyingi. Ndio maana kunafanyika cream separation kupunguza fat. Tena inaweza kuwa walikupa maziwa ya juu.
Sijajua ni kiwanda kipi, lkn kama ni hivi vya wajasiriamali wadogo wengi hutumia mwiko kukoroga
2. Contamination ya maziwa wakati wanasindika, hasa baadabya kuchemsha na kupooza. Food hygiene haikuwa nzuri
Safi sana.Asante...
Hivi yogurt na mtindi vina tofauti?
ndioHivi yogurt na mtindi vina tofauti?
nasubiriUshauri wako upo kwenye maziwa tu au bidhaa nyingine kama unga,juice n.k?
Ok kama atakuja ila subira yavuta heri mkuu [emoji1]nasubiri
nimekujaOk kama atakuja ila subira yavuta heri mkuu [emoji1]
karibunasubiri
ndio mkuu, nitofauti.Hivi yogurt na mtindi vina tofauti?
[emoji1] amekuja tayari.nimekuja
majukumu yamebana sana mkuu, kila nikitaka kuendelea nakuta nimechoka na kichwa hakija tulia.Mi huwa natengeneza maziwa mgando (sijui ndio mtindi) kwaajili ya familia tu, hutokea mazuri sana waweza kula na kijiko ukitaka kunywa labda uweke maji kidogo. Nimepata ujuzi wa ziada kisayansi zaidi kwenye huu uzi. Tuendelee tafadhali mkuu.