Ujasusi ni funguo waliyoipoteza vijana wengi. Sio ajabu wakahangaika


Diamond ameoa au aliwahi kufunga ndoa?
Au ndio Weed unafanyakazi?
 
Diamond ameoa au aliwahi kufunga ndoa?
Au ndio Weed unafanyakazi?
we ndio ganja mzee baba angalia uzi unaambiwa chunguza kila kitu sio kurukia tu kama huyo domo wako, angalia magonjwa, life expectancy, elimu , uchumi , utaahira etc tec, nadhani umeandika kimahaba ya domo hujaingia indeep jamaa anataka uchunguze nini kwanza
 
Duuuuh! Mkuu Huna madini tu! Ila una migodi ya Madiniiii.....kongole sana
 

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Sasa aliyeandika Uzi ni Nani Mkuu?

Punguza Moshi dingilai
 
Nimependa zaidi ujasusi wa mtaani na kazini [emoji120]
 
Hv kwanini kwenye mitaala y elimu wasiwe wanatumia ht vitabu au mafundsho haya ili wasomi tuwe na akili y darasa na elimu nyeti kam hii[emoji849][emoji849][emoji849]
 
MwambaaaπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Haya mambo uwa nayafanya sana nikishapata taarifa mtu au watu natulia zangu kimya maisha yanaendelea ila mtu akitaka kunigeuka tu nampa kadozi kidogo tu mpaka ye anaogopa mwisho wa siku nakuwa mshindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…