Ujasusi / Upelelezi / Udukuzi: Maana yake halisi na uhatari wake

Ujasusi / Upelelezi / Udukuzi: Maana yake halisi na uhatari wake

Kama kweli wapelelezi wapo Issue ya Escrow ingekuwa rahisi tu,watu walibeba pesa kwenye Lumbesa mbona mpKa leo haijulikani,Richmond kampuni fake lkn hawakujua,sasa wapelelezi wa bongo wana kazi gani.Bongo upelelezi naona ni sifuri tu.

Mkuu hawa watu sio kwamba hawafahamu ila wanasiasa wamekuwa na nguvu kuliko hawa watu.
 
Yericko we n mwanachadema, tena inawezekana wa karibu na system tena mwenye ushawishi mkubwa tu, je kweli umeshindwa ku washawishi wabunge wa chadema na kujadili nao mabadiliko haya ya sheria yetu hii kandamizi?
Kama unaweza Kwa nn unasita? Kama huwez unasubir nn au mabadiliko yatatoka huku na wakat hatutungi sheria?
Tuelezane mkuu
 
Bro makala yako ni nzuri sana.... Nimepata kuelewa mambo flani hivi. Ila ningependa kujua kuhusu intelligencia ya polis.... Selection yao, na pia training yao inafanyika wapi?
 
Yericko we n mwanachadema, tena inawezekana wa karibu na system tena mwenye ushawishi mkubwa tu, je kweli umeshindwa ku washawishi wabunge wa chadema na kujadili nao mabadiliko haya ya sheria yetu hii kandamizi?
Kama unaweza Kwa nn unasita? Kama huwez unasubir nn au mabadiliko yatatoka huku na wakat hatutungi sheria?
Tuelezane mkuu

Sheria ipi mkuu weka wazi, kama ni sheria ya mitandao nikupe taarifa tu kuwa tayari rais ameiondoa kwenye orodha ya sheria, hivyo tumeshinda
 
Sheria tunayozungumzia humu ni sheri a ya thread hii
Usalama wa taifa
Tunayojadil mapungufu yake
 
usalama wa taifa ni kina nani?
pia wanafanya kazi gani?
je mafunzo yao yapoje?
katika nchi yetu kuna vitengo viwili vinavyohusika na usalama wa taifa mf.in usa kuna NSA,CIA...in Uk kuna mi-6 and mi-5
msaada tafadhali
 
Watanzania wenzangu sio kila kitu mnaweka hadharani ila ashukuriwe Mungu wenyewe huwa wako kimya hawachangii wengi wanaotoa michango na mleta mada no wasomaji wazuri was spy novel na spy moves hamna kitu hapa
 
Watanzania wenzangu sio kila kitu mnaweka hadharani ila ashukuriwe Mungu wenyewe huwa wako kimya hawachangii wengi wanaotoa michango na mleta mada no wasomaji wazuri was spy novel na spy moves hamna kitu hapa

Ubarikiwe kwa mchango wako ndugu
 
Mie nina vyo jiaminisha ni kwa kila binadamu anaweza kuwa ni spy au mpelelezi na jasusi!

Kama utakuwa na utaalamu sayansi ya tabia za wanadamu, elimu au ujuzi wa ujasusi na u upelezi ni tabia ambayo ipo ndani ya nafsi ya kila mwanadamu, wanadamu wengi wana tabia za usiri na kujilinda kwa kila hali lakini pia ni wa dadisi, sasa ukiwa na umefunzwa ujasusi au upelezi unakuwa kama jasusi mkuu na inakuwa rahisi kujua hidden futures za huyo unaye mfuatilia.

Ujasusi na upelelezi unakuja kuwa mchungu pale tu unapokuwa authozied kufanya hio kazi kwani lolote linaweza kukutokea ikiwa ni pamoja na kudhuriwa na yule mhusika unayemfuatilia. Kwani katika hali hii utachukuliwa kama traitor na mnafiki hilo tu!!

Utamu wa ujasusi,upelelezi unapendeza na kuwa mtamu pale ambapo unaufanya kwa minajili ya mafanikio yako binafsi, kama biashara au kujilunda na maadui

Majasusi na wa pelelezi wengi huwa na akili za kufikiri na kusolve mambo kwa haraka mno, ni watu wenye maamuzi ya haraka, ni watu wenye ueledi wa kuuliza maswali na kujenga hoja na ni wataalamu wa kusikiliza na kutambua lugha za picha au verbal communication , ni wazuri katika kufanya marafiki au ku destruct relationship, sio waoga wanauwezo wa ku cope na hali yeyote ile, ni wajuzi wa kulinda hisia zao, wanapenda kujitenga au kukaa mbali na jamii,tabia nyingine ya hawa watu ni kwamba ni wasomi mno wengi wao wanauwezo wa ku cope na fani yeyote/ wanauwezo wakujifunza kitu kwa uharaka zaidi...

Hivyo basi binadamu akiwa na hizo tabia anauwezo wa kuwa mpelelezi au jasusi au spy ambapo akiutumia kwa manufaa yake anauwezo wa kufanikiwa kimaisha na kuwa na afya.
 
Mie nina vyo jiaminisha ni kwa kila binadamu anaweza kuwa ni spy au mpelelezi na jasusi!

Kama utakuwa na utaalamu sayansi ya tabia za wanadamu, elimu au ujuzi wa ujasusi na u upelezi ni tabia ambayo ipo ndani ya nafsi ya kila mwanadamu, wanadamu wengi wana tabia za usiri na kujilinda kwa kila hali lakini pia ni wa dadisi, sasa ukiwa na umefunzwa ujasusi au upelezi unakuwa kama jasusi mkuu na inakuwa rahisi kujua hidden futures za huyo unaye mfuatilia.

Ujasusi na upelelezi unakuja kuwa mchungu pale tu unapokuwa authozied kufanya hio kazi kwani lolote linaweza kukutokea ikiwa ni pamoja na kudhuriwa na yule mhusika unayemfuatilia. Kwani katika hali hii utachukuliwa kama traitor na mnafiki hilo tu!!

Utamu wa ujasusi,upelelezi unapendeza na kuwa mtamu pale ambapo unaufanya kwa minajili ya mafanikio yako binafsi, kama biashara au kujilunda na maadui

Majasusi na wa pelelezi wengi huwa na akili za kufikiri na kusolve mambo kwa haraka mno, ni watu wenye maamuzi ya haraka, ni watu wenye ueledi wa kuuliza maswali na kujenga hoja na ni wataalamu wa kusikiliza na kutambua lugha za picha au verbal communication , ni wazuri katika kufanya marafiki au ku destruct relationship, sio waoga wanauwezo wa ku cope na hali yeyote ile, ni wajuzi wa kulinda hisia zao, wanapenda kujitenga au kukaa mbali na jamii,tabia nyingine ya hawa watu ni kwamba ni wasomi mno wengi wao wanauwezo wa ku cope na fani yeyote/ wanauwezo wakujifunza kitu kwa uharaka zaidi...

Hivyo basi binadamu akiwa na hizo tabia anauwezo wa kuwa mpelelezi au jasusi au spy ambapo akiutumia kwa manufaa yake anauwezo wa kufanikiwa kimaisha na kuwa na afya.

Saluti kwako mkuu
 
Watanzania wenzangu sio kila kitu mnaweka hadharani ila ashukuriwe Mungu wenyewe huwa wako kimya hawachangii wengi wanaotoa michango na mleta mada no wasomaji wazuri was spy novel na spy moves hamna kitu hapa

Kuna kitu kinaitwa public knowledge na ndo wanachoshare kwenye hii thread. Hakuna liyeshare identity ya mtu wala details za any operation. Hivyo ndo vitu vya msingi. Vinavyoongelewa hapa ni vile ambavyo mtu yeyote mwenye interest ya jinsi hii taaluma inavyofanya kazi anaweza akajifunza. Hakuna mahali popote pametajwa nyumba za siri za usalama (safe house), operations, identity ya agents, idadi ya agents, aina za equipments za mawasialiano, code names za operation na kadhalika. Akija mtu akashare hivi vitu ndiyo itakuwa big deal na Yericko pamoja Jamii forums watashtikiwa kwa kuvunja sheria ya usalama wa taifa ya mwaka 1996
 
Mie nina vyo jiaminisha ni kwa kila binadamu anaweza kuwa ni spy au mpelelezi na jasusi!

Kama utakuwa na utaalamu sayansi ya tabia za wanadamu, elimu au ujuzi wa ujasusi na u upelezi ni tabia ambayo ipo ndani ya nafsi ya kila mwanadamu, wanadamu wengi wana tabia za usiri na kujilinda kwa kila hali lakini pia ni wa dadisi, sasa ukiwa na umefunzwa ujasusi au upelezi unakuwa kama jasusi mkuu na inakuwa rahisi kujua hidden futures za huyo unaye mfuatilia.

Ujasusi na upelelezi unakuja kuwa mchungu pale tu unapokuwa authozied kufanya hio kazi kwani lolote linaweza kukutokea ikiwa ni pamoja na kudhuriwa na yule mhusika unayemfuatilia. Kwani katika hali hii utachukuliwa kama traitor na mnafiki hilo tu!!

Utamu wa ujasusi,upelelezi unapendeza na kuwa mtamu pale ambapo unaufanya kwa minajili ya mafanikio yako binafsi, kama biashara au kujilunda na maadui

Majasusi na wa pelelezi wengi huwa na akili za kufikiri na kusolve mambo kwa haraka mno, ni watu wenye maamuzi ya haraka, ni watu wenye ueledi wa kuuliza maswali na kujenga hoja na ni wataalamu wa kusikiliza na kutambua lugha za picha au verbal communication , ni wazuri katika kufanya marafiki au ku destruct relationship, sio waoga wanauwezo wa ku cope na hali yeyote ile, ni wajuzi wa kulinda hisia zao, wanapenda kujitenga au kukaa mbali na jamii,tabia nyingine ya hawa watu ni kwamba ni wasomi mno wengi wao wanauwezo wa ku cope na fani yeyote/ wanauwezo wakujifunza kitu kwa uharaka zaidi...

Hivyo basi binadamu akiwa na hizo tabia anauwezo wa kuwa mpelelezi au jasusi au spy ambapo akiutumia kwa manufaa yake anauwezo wa kufanikiwa kimaisha na kuwa na afya.
Umemeliza mkuuu siongezei kitu
 
Back
Top Bottom