Ujauzito huonekana kwenye kipimo (UPT) baada ya siku ngapi?

Ujauzito huonekana kwenye kipimo (UPT) baada ya siku ngapi?

kilamba lamba

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2020
Posts
427
Reaction score
738
Habarini wanajamvi wa MMU.Natumai mu wazima wa afya kabisa.

Jaman naombeni msaada wenu, wajuzi wa mambo ipo hivi kama tarehe 11/04/21 nilikutana na huyu binti(kimapenzi) lakini kama mnamo tarehe kuanzia 20 hivi mwezi huu huu wa nne akaanza masihara kudai ana ujauzito mara baba kija mara ooohh pempereree kibao kwa kudai ananitania.

Leo nikaamua ninunue kipimo nimpelekee apime kwa sababu anadai hajaona siku zake leo siku ya 3. Baada ya kupima kitu ikatiki, majibu yanaonesha ni mjamzito kweli.

Sasa waungwana naomba mnisaidie, ni kweli kwa siku hizo mimba inaweza kuonekana, na najiuliza kwa nini alianza ku doubt kabla ya vipimo...?

Ushauri wako muhimu

1619241634219.png

 
Habarini wanajamvi wa MMU.Natumai mu wazima wa afya kabisa.

Jaman naombeni msaada wenu , wajuzi wa mambo.ipo hvi kama tarehe 11/04/21 nilikutana na huyu binti(kimapenzi) lakini kam mnamo tareh kuanzia 20 hivi mwez huu huu wa nne akaanza macihara kudai ana ujauzito Mara baba kija Mara ooohh pempereree kibao kwa kudai ananitania ,
Leo nikaamua ninunue kipimo nimpelekee apime kwa 7bu anadai hajaona siku zake Leo cku ya 3 . Baada ya kupima kitu ikatiki , majibu yanaonesha ni mjamzito kweli

Sasa waungwana naomba mnisaidie , ni kweli kwa siku hzo mimba inaweza kuonekana, na najiuliza kwa nini alianza Ku doubt kabla ya vipimo...?

Ushauri wako muhimu

We si mzee wa kulamba lamba sasa matokeo yake ndio hayo. Jana yenyewe najua umemlamba tena wakati unampima. Sasa kaa kwa kutulia ila zigo sio lako hilo.
 
Habarini wanajamvi wa MMU.Natumai mu wazima wa afya kabisa.

Jaman naombeni msaada wenu , wajuzi wa mambo.ipo hvi kama tarehe 11/04/21 nilikutana na huyu binti(kimapenzi) lakini kam mnamo tareh kuanzia 20 hivi mwez huu huu wa nne akaanza macihara kudai ana ujauzito Mara baba kija Mara ooohh pempereree kibao kwa kudai ananitania ,
Leo nikaamua ninunue kipimo nimpelekee apime kwa 7bu anadai hajaona siku zake Leo cku ya 3 . Baada ya kupima kitu ikatiki , majibu yanaonesha ni mjamzito kweli

Sasa waungwana naomba mnisaidie , ni kweli kwa siku hzo mimba inaweza kuonekana, na najiuliza kwa nini alianza Ku doubt kabla ya vipimo...?

Ushauri wako muhimu
Safi sana! Kitanda hakizai haramu!!
 
Mzee baba lea mimba upate mtoto, usiwe mwehu mjini, tunza tarehe mlio nanihii hadi siku ukampima D yake. Pata siku ukacheki umri wa ujauzito wa mama kijacho hapo ndipo utagundua kama alikutegeshea ama mimba ni yako.

Kuwa makini wanawake wanachagua baba muajibikaji kwa watoto wao ili kunusuru mabaya mengi mengine yasiwatokee wao na watoto wao.

Uwe na siku njema
Ammmeeen.
 
Siku yake ya hedhi mara ya mwisho lini(siku ya kwanza) na alikuwa anategemea apate siku zake lini?Ana mzunguko wa hedhi wa siku ngapi(cyclus)?

Kuna uwezekano mkubwa ujauzito sio wako.Nikipigia hesabu mzunguko wa siku 28 mfano na anapata hedhi siku 5 na umesema amechelewa siku 3 inamaana alitakiwa apate siku zake mnamo 20/4 mwezi huu kumaanisha mwezi ulopita alipata siku zake tar 23/24.Fertility window yake ilikuwa kati ya 2/4-8/4.Na wewe umesema umekutana nae kimwili tar 11/4 unless kama aliovulate very late......but kuna uwezekano sio ujauzito wako subiri mtoto azaliwe upime DnA!

Acheni ngono zembe jamani inawaponza sana!

NB:Kipimo cha ujauzito kinategemea na sensitivity yake vipo baadhi vinakupa majibu siku 6 kabla siku za hedhi.Ila ni accurate akipima baada ya kukosa hedhi au wiki baada ya kukosa hedhi na kikiwa positive kipindi ambacho amekosa hedhi inamaanisha ana ujauzito tayari wa wiki 4!
 
Yalishanikuta nikaruka futi 100 baada ya siku kupita napata taarifa ile mimba inatunzwa na mume mungine.

KUWA MAKINI MKUU.
 
Hata hivyo naomba msaada, nifanye nini nigundue ukweli
Jina limekuponza.
Tarehe 11 uligonga.
Tarehe 20 haoni siku zake.
Ina maana siku zake ni 18-22 kama anakwenda kawaida. Na kwa tabia ya mabinti wa kitanzania 20 ndiyo alama. 20/3 hadi 04/4 ndo katikati ya mwezi kwake hata akiongeza 5 bado ni tarehe 9/4. 11/4 ni salama kabisaaaa..! Hesabu hii wanaijua mabaharia.
 
Habarini wanajamvi wa MMU.Natumai mu wazima wa afya kabisa.

Jaman naombeni msaada wenu, wajuzi wa mambo ipo hivi kama tarehe 11/04/21 nilikutana na huyu binti(kimapenzi) lakini kama mnamo tarehe kuanzia 20 hivi mwezi huu huu wa nne akaanza masihara kudai ana ujauzito mara baba kija mara ooohh pempereree kibao kwa kudai ananitania.

Leo nikaamua ninunue kipimo nimpelekee apime kwa sababu anadai hajaona siku zake leo siku ya 3. Baada ya kupima kitu ikatiki, majibu yanaonesha ni mjamzito kweli.

Sasa waungwana naomba mnisaidie, ni kweli kwa siku hizo mimba inaweza kuonekana, na najiuliza kwa nini alianza ku doubt kabla ya vipimo...?

Ushauri wako muhimu

Andaa kati ya 15k - 20k uende nae akapige Ultra Sound ndo itakupa uhakika kabisa kama kweli ana mimba mpaka ukubwa ilipofikia, namna ilivyokaa itaonyesha..
 
Back
Top Bottom