Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,961
Samahani naomba nikuulize, Hivi kunauwezekana ukasex na msicha siku za harari yaani siku za kupata mimba na asipare mimba, harafu majibu ukaambiwa kiwa, katika uke kuna chemical ambazo huua mbegu, naomba ufafanuzi katika hili pleasSiku yake ya hedhi mara ya mwisho lini(siku ya kwanza) na alikuwa anategemea apate siku zake lini?Ana mzunguko wa hedhi wa siku ngapi(cyclus)?
Yes unaweza kabisa sio wakati wote yai au mbegu ina rotuba ya kutosha ya kutengeneza ujauzito!Ndio maana kuna watu wanajaribu miezi hata miaka kukutana kimwili siku za hatari na hawabebi ujauzito.Samahani naomba nikuulize, Hivi kunauwezekana ukasex na msicha siku za harari yaani siku za kupata mimba na asipare mimba, harafu majibu ukaambiwa kiwa, katika uke kuna chemical ambazo huua mbegu, naomba ufafanuzi katika hili pleas
Kipimo cha ujauzito kinapima HCG-hormone(Human chorionic gonadotropin)Ndio anamimba. Kwani sperms hukaa kweny yai kwa siku tano, huenda effect za utungaji mimba kuanza kutokea ndan y hiz siko. Ndo maana ki afya P2 utakiw kumezw ndani y masaa 48 baada y tendo. Kipimo ch upt[ urine pregnant test] kinaonesha reaction ya antibody na antigen kweny mkojo kuwa mwili umepatw n kitu kisich ch kawaid ndo maana ikawa positive.[ ikaonyesha mistal 2 ]. Ingeosha negative [mstar 1] bas kweny haja ndog hamna chochot yaan reaction yoyot y mimba kutungw. Kam ungewek sample y mkoj kweny kifaa alaf MSTAR WWOTE USITOKEE bas kifaa kingekua kina taitizo [ ERRoR] KWA HIYO TEGEMEA BINTI ANAUJAUZITO au kam umepim sehem nyingin ukambiw maibu negative
tnx kw correction. hyo mamb ns sik ming nimeacha revisKipimo cha ujauzito kinapima HCG-hormone(Human chorionic gonadotropin)
!Ni hormone ambayo inatengenezwa ujauzito ukitunga!
๐๐๐ฐ๐, ๐ง๐ ๐ฏ๐ข๐ฉ ๐ค๐ฎ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐ก๐ข๐ข ๐๐ก๐๐ง๐ ๐ค๐ฐ๐๐ฆ๐๐ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐ง๐ฒ๐จ๐ญ๐ ๐ฆ๐ญ๐๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ ๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ 0 ๐ฅ๐ ๐๐๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐๐ฆ๐๐ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐๐ญ๐ ๐ฆ๐ข๐ฆ๐๐ ๐ข๐ญ๐๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ง๐ข๐ฏ๐ข๐ ๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ง๐ข๐ฅ๐๐ค๐ฐ๐๐ฅ๐ขYes unaweza kabisa sio wakati wote yai au mbegu ina rotuba ya kutosha ya kutengeneza ujauzito!Ndio maana kuna watu wanajaribu miezi hata miaka kukutana kimwili siku za hatari na hawabebi ujauzito.
Wakati mwengine anaweza kupata CHEMICAL PREGNANCY yaani ujauzito ambao unaharibika na kuwa hedhi akipata hedhi kwasababu mimba haikuwa viable au ujauzito ungekuwa na mapungufu.Ni njia ya kimwili kueliminiate mimba ambazo zina hitilafu.
Kama umekutana na mtu kwenye siku za hatari anaweza kula AFTER PILL zipo zinazofanya kazi na kuzuia ujauzito usitunge mpaka siku 5 baada ya kukutana kimwili na mtu!Zina badilisha unyevunyevu wa mwanamke ukeni na kufanya mbegu isiweze kuogelea ipasavyo kulifikia yai.Kumbuka ili mwanamke kupata ujauzito kuna secretion anaipata kwenye siku zake za hatari zinakuwa na consistency kama ya ute wa yai ambazo zinasaidia kusafirisha mbegu ya mwanaume.
NB:Hakuna chemical katika uke zinazouwa mbegu,mbegu ya mwanaume inaweza kuishi kwenye kizazi cha mwanamke mpaka siku 5.
Sio group O bali kama mama ni RhD negative group na mtoto amerithi RhD-positive blood group kutoka kwa baba inaweza kusababisha matatizo kwenye ujauzito!๐๐๐ฐ๐, ๐ง๐ ๐ฏ๐ข๐ฉ ๐ค๐ฎ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐ก๐ข๐ข ๐๐ก๐๐ง๐ ๐ค๐ฐ๐๐ฆ๐๐ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐ง๐ฒ๐จ๐ญ๐ ๐ฆ๐ญ๐๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ ๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ 0 ๐ฅ๐ ๐๐๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐๐ฆ๐๐ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐๐ญ๐ ๐ฆ๐ข๐ฆ๐๐ ๐ข๐ญ๐๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ง๐ข๐ฏ๐ข๐ ๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ง๐ข๐ฅ๐๐ค๐ฐ๐๐ฅ๐ข
Dr. naomba kufahamishwa siku za hatari kwa mtu mwenye mzunguko wa siku 25/26Sio group O bali kama mama ni RhD negative group na mtoto amerithi RhD-positive blood group kutoka kwa baba inaweza kusababisha matatizo kwenye ujauzito!
๐๐๐ค๐ฎ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ค๐ฎ๐ซ๐ฎSio group O bali kama mama ni RhD negative group na mtoto amerithi RhD-positive blood group kutoka kwa baba inaweza kusababisha matatizo kwenye ujauzito!
Ndio anaweza kupata mimba akisex siku 2-3 kabla ovulation kwasababu mbegu ya mwanaume inaishi siku 5!Dr. naomba kufahamishwa siku za hatari kwa mtu mwenye mzunguko wa siku 25/26
Na je mtu akisex siku mbili au tatu kabla ya ovulation kuna uwezekano kwa kupata mimba.?
ndio . mimba itatungwa. Ila mwanamke atapat matatiz kwan kam n group O na mtot tumbon akaw Nagroup O . Huw anpat matatiz kimwil [ all body system] hasa kam mam ana na mtot wanaendan wot ni O+ au negativ O- . Kun sindan z immune wag mama inabdi achomwe ili awe sawa . Kumueuxh na complication z ujauzito. Sindan izo wana z immune wan order kenya, nairobi . Sijui sahv kam kwetu zimefika ila ata kam zikiwepo zitakuw kweny hospital kubw nazungmzia bugand, mwimbil na nk. Hvyo mwanamke akipat ujauzito inashauliw ajue group l damu ili kuepusha hali hii kama akwepo kweny kituo ch afya au kijijin awe amesh pelekw kweny hospital kubw kwa ungaliz mkubw n madaktar๐๐๐ฐ๐, ๐ง๐ ๐ฏ๐ข๐ฉ ๐ค๐ฎ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐ก๐ข๐ข ๐๐ก๐๐ง๐ ๐ค๐ฐ๐๐ฆ๐๐ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐ง๐ฒ๐จ๐ญ๐ ๐ฆ๐ญ๐๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ ๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ 0 ๐ฅ๐ ๐๐๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐๐ฆ๐๐ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐๐ญ๐ ๐ฆ๐ข๐ฆ๐๐ ๐ข๐ญ๐๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ง๐ข๐ฏ๐ข๐ ๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ง๐ข๐ฅ๐๐ค๐ฐ๐๐ฅ๐ข
kifupi dam ya mama na mtoto uwa zina kinzana . Hivy inabidi mam achomw sindan y immune ili damu ziwe sawandio . mimba itatungwa. Ila mwanamke atapat matatiz kwan kam n group O na mtot tumbon akaw Nagroup O . Huw anpat matatiz kimwil [ all body system] hasa kam mam ana na mtot wanaendan wot ni O+ au negativ O- . Kun sindan z immune wag mama inabdi achomwe ili awe sawa . Kumueuxh na complication z ujauzito. Sindan izo wana z immune wan order kenya, nairobi . Sijui sahv kam kwetu zimefika ila ata kam zikiwepo zitakuw kweny hospital kubw nazungmzia bugand, mwimbil na nk. Hvyo mwanamke akipat ujauzito inashauliw ajue group l damu ili kuepusha hali hii kama akwepo kweny kituo ch afya au kijijin awe amesh pelekw kweny hospital kubw kwa ungaliz mkubw n madaktar
Asante Madam,Ndio anaweza kupata mimba akisex siku 2-3 kabla ovulation kwasababu mbegu ya mwanaume inaishi siku 5!
Siku ya hatari inakuwa katikati ya cyclus mfano kama ana mzunguko wa siku 26 siku ya 13 tangia alipoanza kupata hedhi ndio siku ya hatari,plus 3 days before and 3 days after!
Zinaweza kuchelewesha siku za mwezi ujao kwasababu ni hormone inayozuia ovulation....Asante Madam,
hapo juu uligusia kuwa After pill zinakwamisha mbegu ya kiume kusafiri vilivyo kuelekea kwenye yai, je ni kwa ajili ya mwezi husika pekee.? Haziwezi kuathiri mzunguko ujao?
Mkuu, mwanamke anawezaje kujua mzunguko wake kwa uhakika kuwa 26,27 au 28? Natanguliza shukrani.Zinaweza kuchelewesha siku za mwezi ujao kwasababu ni hormone inayozuia ovulation....
Anatakiwa ahesabu kuanzia anapopata siku mwezi huu mpaka ujao...kuanzia siku ya kwanza ya hedhi.Mkuu, mwanamke anawezaje kujua mzunguko wake kwa uhakika kuwa 26,27 au 28? Natanguliza shukrani.