Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
[emoji3][emoji3]Hivi mbona hana mstari mweusi tumboni? Mbona mwenzetu hajavimba pua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Hivi mbona hana mstari mweusi tumboni? Mbona mwenzetu hajavimba pua?
..Labda ana pair mbili..😂😂Alaf huyo Rihanna mbona amerudia hio kofia mara mbili...
Jaribu uone balaa lake we hauoni dada zako wanavyohangaika na mahusiano na maisha. Ukileta uzungu afrika imekula kwakoRihanna Kwa sasa ana umri wa miaka 34, baada ya kufanya kazi ya kutafuta pesa Kwa bidii na kwa muda mrefu mpaka kufikia kuwa bilionea, nadhani sasa amejiandaa kulea
Rihanna amechagua wa kuzaa nae, amechagua muda wa kuzaa, na anaenjoy Mimba yake,yote afanyayo Kwa sasa ni Kwa sababu anafurahia kuja kuitwa Mama
Turudi kwetu, wadada wengi wanapata mimba wakiwa hawana mbele wala nyuma,wanazaa na watu wasio chaguo Lao,wanapata mimba wakiwa ktk umri mdogo, hivo ni ngumu kukuta mdada anafurahia Mimba yake zaidi ya malalamiko Tu
Ukikuta mtu amepata Mimba ktk wakati sahihi na mtu sahihi lazima utamuona Tu vile anaenjoy kuwa na Mimba, tofauti ni kwamba hawezi kutembea tumbo wazi km Rihanna kutokana na mila zetu ila ukimuona tu unajua huyu anaenjoy, kwahiyo Mleta mada we achana nae tu huyo kwani anafanya kwa Raha zake
hahaaZurula wewe na mimba [emoji1768][emoji1768] YAKO bongo uone
AFu anazurula kitumbo wazi🤔Huyu dada tokea apate mimba amekua anazurura sana.
Kila siku anapigwa picha na paparazzi yupo sehemu tofauti tofauti.
Hivi huwa anaendaga wapi? Au mimba yake aliipatia akiwa kwenye ziara 🤔
Kwa kweli nimechoka kila siku kumuona yeye tu na ajifungue apumzike na sisi pia tupumzike.
Kila siku kitumbo jujuu kama yeye ndo wa kwanza kupata mimba hapa duniani... ✍️View attachment 2175940View attachment 2175941View attachment 2175942View attachment 2175943
Kisemvule ya kule Vikindu? 🤣🤣🤣🤣Azurure yeye kwa pesa yake uchoke wewe uliyoko Kisamvule??
Na kama umechoka si uache kumfuatilia.
Huna akili wewe
😂😂😂😂😂😂😂 my ribsKwa kweli nimechoka kila siku kumuona yeye tu na ajifungue apumzike na sisi pia tupumzike.
Hivi mbona hana mstari mweusi tumboni? Mbona mwenzetu hajavimba pua?
Rihanna mzuri hata bila ya make upeheeee kumbe hizi make up ni nouma kweli kweli, yaani rihana amekuwa kituko baada ya kutopakwa make up, juzi kati niliona picha yake mmoja na kitumbo tumbo chake nikashindwa kumto- fautisha kabisa na ajuzaa
Asap ni bad boy? Anaonekana mlaini tumahusiano ya Rihanna ndio yame conclude utafiti niliofanya kwa muda mrefu kuwa wanawake wanapenda 'bad boys' na hawapendi 'good guys'
Na leo tena ameonekna akizırura hukoAnazurula kama amekula miguu ya kuku
Sijui nani alimwmbia anapendeza akiwa tumbo waziAFu anazurula kitumbo wazi🤔