Ujauzito wa Rihanna; Kila siku yupo barabarani

Ujauzito wa Rihanna; Kila siku yupo barabarani

Pata na wewe mimba izurulishe.

Ningekuwa mwanamke mfano kipindi cha ujauzito,hakika nisingekuwa natoka hata nje. Yaani kila mmoja ajue “ume*o*mb*a“. “umek*j**ewa sh**awa
Kwani kuna ajabu gani ku sex? Ku sex ni kitu cha kawaida kama kwenda chooni tu
 
Mambo yake mauchie mwenyewe, yasikuumize kichwa...
 
Huyu dada tokea apate mimba amekua anazurura sana.

Kila siku anapigwa picha na paparazzi yupo sehemu tofauti tofauti.

Hivi huwa anaendaga wapi? Au mimba yake aliipatia akiwa kwenye ziara 🤔

Kwa kweli nimechoka kila siku kumuona yeye tu na ajifungue apumzike na sisi pia tupumzike.

Kila siku kitumbo jujuu kama yeye ndo wa kwanza kupata mimba hapa duniani... ✍️View attachment 2175940View attachment 2175941View attachment 2175942View attachment 2175943
Uzuri wa Marekani hiyo mimba na kuzurula kwake inamuingizia pesa mingi sana ambayo ukoo wenu wote mkistaafu pensheni zenu hazifiki pesa ya mimba ya Rihana.....punguza libido!!
 
Rihanna Kwa sasa ana umri wa miaka 34, baada ya kufanya kazi ya kutafuta pesa Kwa bidii na kwa muda mrefu mpaka kufikia kuwa bilionea, nadhani sasa amejiandaa kulea

Rihanna amechagua wa kuzaa nae, amechagua muda wa kuzaa, na anaenjoy Mimba yake,yote afanyayo Kwa sasa ni Kwa sababu anafurahia kuja kuitwa Mama

Turudi kwetu, wadada wengi wanapata mimba wakiwa hawana mbele wala nyuma,wanazaa na watu wasio chaguo Lao,wanapata mimba wakiwa ktk umri mdogo, hivo ni ngumu kukuta mdada anafurahia Mimba yake zaidi ya malalamiko Tu

Ukikuta mtu amepata Mimba ktk wakati sahihi na mtu sahihi lazima utamuona Tu vile anaenjoy kuwa na Mimba, tofauti ni kwamba hawezi kutembea tumbo wazi km Rihanna kutokana na mila zetu ila ukimuona tu unajua huyu anaenjoy, kwahiyo Mleta mada we achana nae tu huyo kwani anafanya kwa Raha zake
Jibu zuri.
 
mahusiano ya Rihanna ndio yame conclude utafiti niliofanya kwa muda mrefu kuwa wanawake wanapenda 'bad boys' na hawapendi 'good guys'
Kwa kipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzuri wa Marekani hiyo mimba na kuzurula kwake inamuingizia pesa mingi sana ambayo ukoo wenu wote mkistaafu pensheni zenu hazifiki pesa ya mimba ya Rihana.....punguza libido!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nasubir ajifungue nimpelekee zawadi za mtoto, nampenda mnoo shost angu. [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Muacheni azurule jamani [emoji23]. Mimba ni jambo la kheri..
 
Duniani ipo hivi 'Beauty is in the eye of the beholder' na ndiyo maana watu kama Jay z, Chrisbrown etc walimpiga chini, yaani hawakulizika na uzuri wake......
Chris brown hakumpiga chini, acha uongo wako wee, wale waliachanishwa na Beyonce na yule Opra Winfrey, kupitia kile kipigo, but breezy anampenda Riri had kesho.

Kuhus Jay z Riri aliamua kumuacha coz n mchepuko na sio main chick lol.
 
Chris brown hakumpiga chini, acha uongo wako wee, wale waliachanishwa na Beyonce na yule Opra Winfrey, kupitia kile kipigo, but breezy anampenda Riri had kesho.

Kuhus Jay z Riri aliamua kumuacha coz n mchepuko na sio main chick lol.
sasa 'kipigo' cha vile adi kwenda kuripoti kweli si ilikuwa ni sababu na 'mpango -kazi' wa kumwaga tuu au unadhani yalikuwa ni 'mahaba' yale…...
 
Na bado kwa akili hii utajishangaa kwa nini wewe ni maskini?

Mindset ndio mchawi wako.
Imagine....wabongo hovyo sana...mwenzao na kuzurura kwake ni bilionea hapo[emoji1787]
 
my name is my name na leo Rihanna alikua anazurura.

Screenshot_20220408-211419.png
 
Duniani ipo hivi 'Beauty is in the eye of the beholder' na ndiyo maana watu kama Jay z, Chrisbrown etc walimpiga chini, yaani hawakulizika na uzuri wake......
Si kweli
 
Azurure yeye kwa pesa yake uchoke wewe uliyoko Kisamvule??

Na kama umechoka si uache kumfuatilia.

Huna akili wewe
Angejua kuwa Rihanna huo ujauzito anavyotembea vile anaingiza pesa kupitia makampuni ya matangazo na kuandikwa mitandaoni😆😆😆
 
sasa 'kipigo' cha vile adi kwenda kuripoti kweli si ilikuwa ni sababu na 'mpango -kazi' wa kumwaga tuu au unadhani yalikuwa ni 'mahaba' yale…...
Iltokeaa ktk makasiriko ndani ya mahusiano, mbna baadae breezy aliomba sanaa msamaha kwa riri ila ndo hivyo bey na opra wakaweka kizuizi.

Ila breezy anampenda na kumkubali riri had kesho.
 
Back
Top Bottom