Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?

Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?

Kwa viwango vya serikali hiyo nyumba si chini ya mil. 100, kwa viwango vya nyumba ya kawaida ni mil 60 hadi 70. Msisahau kuwa serikalini kuna michakato kibao ambayo nayo inatumia pesa. Ukute 30% imerudi tena serikalini kupitia mawakala wake wa usimamizi.
 
Kwa viwango vya serikali hiyo nyumba si chini ya mil. 100, kwa viwango vya nyumba ya kawaida ni mil 60 hadi 70. Msisahau kuwa serikalini kuna michakato kibao ambayo nayo inatumia pesa. Ukute 30% imerudi tena serikalini kupitia mawakala wake wa usimamizi.
Wewe unaelewa
 
*Tofari 5000×1500= 7, 500, 000Tsh

*kokoto na mchanga=2, 000, 000Tsh

*Nondo 100×25000=2, 500, 000Tsh

*ciement mifuko 200×15000=3, 000, 000Ts

*Mabati 80(Gauge 28)
75×33000= 2, 640, 000 Tsh

* mbao= 3, 100, 000Tsh

*madirisha na milango (complete)=
16, 000, 000Tsh

*Tiles +gypsum+rangi=
7, 000, 000Tsh

*maji(pamoja na masinki ya jikoni, chooni) + umeme= 7, 000, 000Tsh

*maitaji madogo madogo
1, 000, 000Tsh
* ufundi Tsh. 10, 000, 000/=


Jumla Tsh 60, 000, 000/=
[emoji23][emoji23][emoji23] ona huyu.
 
Hii mimi ningejenga kwa tshs 55 mil.. na yote kumaliza kabisa
 


Karibuni waumini wa majadiliano katika mjadala huu ambao mh Rais amesema angeweza kujenga nyumba hii kwa mill 43.

Kwa mtazamo wangu, licha ya kutoiona nyumba hii kwa ndani huwezi jenga chini ya million 90 na kama gharama za vifaa, mchanga na cement eneo husika zipo juu kufika mill 100 sioni ajabu kwa upande wangu.

Karibuni mafundi kwa majadiliano.

View attachment 1514090

Hauwezi kujua gharama ya nyumba kwa kuangalia picha ukiwa maili hata mbili tu kwa kuwa picha haionyeshi ukubwa wa nyumba, ubora wala materials zilizotumika kuijenga mpaka ilipofikià. Rais, naamini, alingia ndani kila chumba kufungua kabla ya kutoa comment.
 
Huwezi mkuu, nyumba za serikali hazijengwi na vifaa vya ujenzi vya hovyo hovyo.
Tofali grade one tena za kulaza mara nyingi, ratio ya cement ya hali ya juu na bati gauge 26.
Huwa mnakurupuka mnalinganisha na vibanda vyetu vya mtaani.
Pili huwa kuna bei ya elekezi ya ujenzi mfano mdogo...
...majengo ya hospitali cost/sqm huwa ni 850,000
...magodauni cost/aqm ni 500,000
Msiwe mnakurupuka bila kuwa na ufahamu sahihi

Huwezi kuzunguka nyumba eti ukapata gharama za ujenzi.
Pitia manunuzi na pitia kitabu cha consultants uone mapendekezo yao katika ujenzi pamoja na samani zilizopo ndani
Umeongea kitaalam sana hawa wapiga kelele wa Magu hawatakuelewa.
 
Kama kuna finishing touches nzuri huko ndani, na structure ilijengwa kwa viwango stahiki, no way hiyo nyumba ni less than 100m.. mnaosema milioni sijui 60, 70 mnaongelea very low qualoty houses...
Hadi ikosolewe na alieiona hadi ndani maana yake hiyo finishing touch ni ya kawaida, na wahusika washasimamishwa kazi sasa
 


Karibuni waumini wa majadiliano katika mjadala huu ambao mh Rais amesema angeweza kujenga nyumba hii kwa mill 43.

Kwa mtazamo wangu, licha ya kutoiona nyumba hii kwa ndani huwezi jenga chini ya million 90 na kama gharama za vifaa, mchanga na cement eneo husika zipo juu kufika mill 100 sioni ajabu kwa upande wangu.

Karibuni mafundi kwa majadiliano.

View attachment 1514090

Hii ukisisimamia vizuri, Rais yupo karibu zaidi na ukweli 40-45 milion
 
Huwezi mkuu, nyumba za serikali hazijengwi na vifaa vya ujenzi vya hovyo hovyo.
Tofali grade one tena za kulaza mara nyingi, ratio ya cement ya hali ya juu na bati gauge 26.
Huwa mnakurupuka mnalinganisha na vibanda vyetu vya mtaani.
Pili huwa kuna bei ya elekezi ya ujenzi mfano mdogo...
...majengo ya hospitali cost/sqm huwa ni 850,000
...magodauni cost/aqm ni 500,000
Msiwe mnakurupuka bila kuwa na ufahamu sahihi

Huwezi kuzunguka nyumba eti ukapata gharama za ujenzi.
Pitia manunuzi na pitia kitabu cha consultants uone mapendekezo yao katika ujenzi pamoja na samani zilizopo ndani
Bora useme Kuna watu wanasema 40 mara 70 hivi kweli wanajua kujenga na gharama zake kweli au Ni kuropoka tu.
 
Back
Top Bottom