Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kwa taarifa yako Watanzania wote ni wezi tofauti ni mazingira ya wizi.wezi utawajua tu
Tena una kila dalili za wizi wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa taarifa yako Watanzania wote ni wezi tofauti ni mazingira ya wizi.wezi utawajua tu
Wewe unaelewaKwa viwango vya serikali hiyo nyumba si chini ya mil. 100, kwa viwango vya nyumba ya kawaida ni mil 60 hadi 70. Msisahau kuwa serikalini kuna michakato kibao ambayo nayo inatumia pesa. Ukute 30% imerudi tena serikalini kupitia mawakala wake wa usimamizi.
[emoji23][emoji23][emoji23] ona huyu.*Tofari 5000×1500= 7, 500, 000Tsh
*kokoto na mchanga=2, 000, 000Tsh
*Nondo 100×25000=2, 500, 000Tsh
*ciement mifuko 200×15000=3, 000, 000Ts
*Mabati 80(Gauge 28)
75×33000= 2, 640, 000 Tsh
* mbao= 3, 100, 000Tsh
*madirisha na milango (complete)=
16, 000, 000Tsh
*Tiles +gypsum+rangi=
7, 000, 000Tsh
*maji(pamoja na masinki ya jikoni, chooni) + umeme= 7, 000, 000Tsh
*maitaji madogo madogo
1, 000, 000Tsh
* ufundi Tsh. 10, 000, 000/=
Jumla Tsh 60, 000, 000/=
Kakosea au kapatia?😀[emoji23][emoji23][emoji23] ona huyu.
We nae unapotea sana, nyumba za serikali sio kama za kwenu za makazi za mgongo wa temboHii mimi ningejenga kwa tshs 55 mil.. na yote kumaliza kabisa
Kama ungewekew hizo pesa mfukoni ufanye unavyotakaHii mimi ningejenga kwa tshs 55 mil.. na yote kumaliza kabisa
Karibuni waumini wa majadiliano katika mjadala huu ambao mh Rais amesema angeweza kujenga nyumba hii kwa mill 43.
Kwa mtazamo wangu, licha ya kutoiona nyumba hii kwa ndani huwezi jenga chini ya million 90 na kama gharama za vifaa, mchanga na cement eneo husika zipo juu kufika mill 100 sioni ajabu kwa upande wangu.
Karibuni mafundi kwa majadiliano.
View attachment 1514090
Umeongea kitaalam sana hawa wapiga kelele wa Magu hawatakuelewa.Huwezi mkuu, nyumba za serikali hazijengwi na vifaa vya ujenzi vya hovyo hovyo.
Tofali grade one tena za kulaza mara nyingi, ratio ya cement ya hali ya juu na bati gauge 26.
Huwa mnakurupuka mnalinganisha na vibanda vyetu vya mtaani.
Pili huwa kuna bei ya elekezi ya ujenzi mfano mdogo...
...majengo ya hospitali cost/sqm huwa ni 850,000
...magodauni cost/aqm ni 500,000
Msiwe mnakurupuka bila kuwa na ufahamu sahihi
Huwezi kuzunguka nyumba eti ukapata gharama za ujenzi.
Pitia manunuzi na pitia kitabu cha consultants uone mapendekezo yao katika ujenzi pamoja na samani zilizopo ndani
Sio lazima wanielewe lakini ukweli usemwe mkuuUmeongea kitaalam sana hawa wapiga kelele wa Magu hawatakuelewa.
Hadi ikosolewe na alieiona hadi ndani maana yake hiyo finishing touch ni ya kawaida, na wahusika washasimamishwa kazi sasaKama kuna finishing touches nzuri huko ndani, na structure ilijengwa kwa viwango stahiki, no way hiyo nyumba ni less than 100m.. mnaosema milioni sijui 60, 70 mnaongelea very low qualoty houses...
Hujawai kujenga wewe na hujui cement inauzwaje sehemu tofautitofautiHaivuki ml 45
Hivi umeshawai kujenga wewe, au mnaongea tuMheshimiwa Raisi yupo sahihi kabisa, kwa milioni 40 with effective supervision unajenga kama hiyo
Karibuni waumini wa majadiliano katika mjadala huu ambao mh Rais amesema angeweza kujenga nyumba hii kwa mill 43.
Kwa mtazamo wangu, licha ya kutoiona nyumba hii kwa ndani huwezi jenga chini ya million 90 na kama gharama za vifaa, mchanga na cement eneo husika zipo juu kufika mill 100 sioni ajabu kwa upande wangu.
Karibuni mafundi kwa majadiliano.
View attachment 1514090
Acha mkwara, hiyo ngoma haiwezi kuvuka 45m kama unaisimamia vizuri, usitihwe na bei za wajenziHujawai kujenga wewe na hujui cement inauzwaje sehemu tofautitofauti
Bora useme Kuna watu wanasema 40 mara 70 hivi kweli wanajua kujenga na gharama zake kweli au Ni kuropoka tu.Huwezi mkuu, nyumba za serikali hazijengwi na vifaa vya ujenzi vya hovyo hovyo.
Tofali grade one tena za kulaza mara nyingi, ratio ya cement ya hali ya juu na bati gauge 26.
Huwa mnakurupuka mnalinganisha na vibanda vyetu vya mtaani.
Pili huwa kuna bei ya elekezi ya ujenzi mfano mdogo...
...majengo ya hospitali cost/sqm huwa ni 850,000
...magodauni cost/aqm ni 500,000
Msiwe mnakurupuka bila kuwa na ufahamu sahihi
Huwezi kuzunguka nyumba eti ukapata gharama za ujenzi.
Pitia manunuzi na pitia kitabu cha consultants uone mapendekezo yao katika ujenzi pamoja na samani zilizopo ndani