Hapana,hiyo nyumba ikijengwa na fundi mzuri tu wa mtaani kwa viwango bora kabisa vya kitaalamu haizidi mil 75,nyie kina architech wapigaji sana.calavati tu za maji ya mvua mnajenga mbili wa mil 40,hamfai nyinyi.Kama kuna finishing touches nzuri huko ndani, na structure ilijengwa kwa viwango stahiki, no way hiyo nyumba ni less than 100m.. mnaosema milioni sijui 60, 70 mnaongelea very low qualoty houses...
Hii ni ofisi au ni nyumba ya mtu ya kuishi?Karibuni waumini wa majadiliano katika mjadala huu ambao mh Rais amesema angeweza kujenga nyumba hii kwa mill 43.
Kwa mtazamo wangu, licha ya kutoiona nyumba hii kwa ndani huwezi jenga chini ya million 90 na kama gharama za vifaa, mchanga na cement eneo husika zipo juu kufika mill 100 sioni ajabu kwa upande wangu.
Karibuni mafundi kwa majadiliano. View attachment 1514090
Ndio humohumo wanatengeneza upigaji,tumewahi kujenga choo cha zahanati kwa mil 40,hadi nikashangaa...tulikula kwa kwa kweli,sasa nikaangalia material na namna ya ujenzi ulivyofanyika sidhani kama ilifika mil 20.Huwezi mkuu, nyumba za serikali hazijengwi na vifaa vya ujenzi vya hovyo hovyo.
Tofali grade one tena za kulaza mara nyingi, ratio ya cement ya hali ya juu na bati gauge 26.
Huwa mnakurupuka mnalinganisha na vibanda vyetu vya mtaani.
Pili huwa kuna bei ya elekezi ya ujenzi mfano mdogo...
...majengo ya hospitali cost/sqm huwa ni 850,000
...magodauni cost/aqm ni 500,000
Msiwe mnakurupuka kama rais wetu.
Huwezi kuzunguka nyumba eti ukapata gharama za ujenzi.
Pitia manunuzi na pitia kitabu cha consultants uone mapensekezo yao katika ujenzi.
Kabisakwa dodoma hiyo si nyumba ya thamani hiyo??, wana dodoma wanajua. Ujinga wa dar wanataka kuuleta dodoma haiwezekani. Rais anatambua ujinga huu, hiyo nyumba kwa dodoma inajengwa kwa thamani ya chini ya milioni 50 yaani hapo hata uuziwe material kwa bei ya juu sana...utaishia kujenga kwa gharama ya chini ya milioni 50.
Utakuta mkurugenzi alipokea milioni 10 kutoka kwa mkandarasi, ndio maana mkandarasi ka balance mambo imetoka hivyo. Mlolongo wa wapigaji upo kwenye wateule wake hadi kwa mkandarasi
Hizo nyumba zimejengwa wilaya nyingi tena kwa force account vifaa wamenunua wao tena vya kawaida sana. Rais yupo sawa kulalamika bei. Vyumba ni vidogo vidogo.Mkuu ujenzi wa serikali huendagi hivyo.
Kuna consultant...archetect
Kuna consultant....structure
Kuna consultant.....BOQ
hawa wote wanalipwa na huenda wao pekee wamekula 30ml kabla hujalipa mjenzi.
Hiyo 40ml yenu huenda ni gharama za ujenzi pekee
Hata kama,piga hesabu za hivyo viwango vya material unavyodhani vya juu...haifiki mil 143 kwa nyumba hiyo.Hatuwezi ithamanisha hiyo nyumba bila kujua imechimbwa msingi kwenda chini futi ngapi,
Foundation imetumia material yapi, pia tiles hapo ndani katumia zipi, na milango ya hapo ndani ikoje, ratio ya kiserikali inajulikana ni ya ukweli,
Ukikuta ni ujenzi wa serikali ninavyoujua million 120 zinakata.
Na kutokana na material katumia yapi
Huenda walifwatua tofali inchi 6 na ratio ikawa ni tofali 20 kwa mfuko.
Umewahi kuwa sait?,eneo la ujenzi wa nyumba za serikali au ....?,Ila kumbuka huwez jenga nyumba ya taasisi ukasupervise kama yako, hii inaenda na wataalam, tofali hadi upeleke maabara, zege pia, i bet kwa construction process halisi zikifuatwa hii nyumba inafika 110mil.
Kumbuka kila kitu kinatakiwa kiwe standard
Nimetoka kusoma ppra nikaja kusoma huu uzi. Naona wananchi wanalinganisha nyumba zao za udongo na majengo ya serikali.Huwezi mkuu, nyumba za serikali hazijengwi na vifaa vya ujenzi vya hovyo hovyo.
Tofali grade one tena za kulaza mara nyingi, ratio ya cement ya hali ya juu na bati gauge 26.
Huwa mnakurupuka mnalinganisha na vibanda vyetu vya mtaani.
Pili huwa kuna bei ya elekezi ya ujenzi mfano mdogo...
...majengo ya hospitali cost/sqm huwa ni 850,000
...magodauni cost/aqm ni 500,000
Msiwe mnakurupuka kama rais wetu.
Huwezi kuzunguka nyumba eti ukapata gharama za ujenzi.
Pitia manunuzi na pitia kitabu cha consultants uone mapensekezo yao katika ujenzi.
Sio kuwasha moto?Umekuja huku kujitetea eeh
Mkuu,! Majengo ya sekikali yanayojengwa hata huku ntaani tunayaona!Mkuu ujenzi wa serikali huendagi hivyo.
Kuna consultant...archetect
Kuna consultant....structure
Kuna consultant.....BOQ
hawa wote wanalipwa na huenda wao pekee wamekula 30ml kabla hujalipa mjenzi.
Hiyo 40ml yenu huenda ni gharama za ujenzi pekee
Kadiria tu kwa nyumba za kiserikali mana Rais kakosoa size ya nyumba na sio material yaliyotumika.Hatuwezi ithamanisha hiyo nyumba bila kujua imechimbwa msingi kwenda chini futi ngapi,
Foundation imetumia material yapi, pia tiles hapo ndani katumia zipi, na milango ya hapo ndani ikoje, ratio ya kiserikali inajulikana ni ya ukweli,
Ukikuta ni ujenzi wa serikali ninavyoujua million 120 zinakata.
Na kutokana na material katumia yapi
Huenda walifwatua tofali inchi 6 na ratio ikawa ni tofali 20 kwa mfuko.
Sasa tangu lini fundi Maiko akajenga nyumba za serikali. Unadhani watu shule wanaenda kuvaa sare tu na kunywa uji.Hapana,hiyo nyumba ikijengwa na fundi mzuri tu wa mtaani kwa viwango bora kabisa vya kitaalamu haizidi mil 75,nyie kina architech wapigaji sana.calavati tu za maji ya mvua mnajenga mbili wa mil 40,hamfai nyinyi.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hiyo nyumba huwezi kupaua kwa 10 million mkuu labda utumie makuti.Hiyo nyumba tuseme kupaua ni milioni 10
Msingi na jamvi milion 10.
Kupandisha tofali juu milion 10
Finishing milion 15
Ziada milini 10.
Jumla milioni 55!
Magu yupo sahihi hapo pana upigaji!
Kwa hiyo hela milioni 143 ilitakiwa zitoke nyumba kama hizo 3
Hivi majengo yapi ya selikali ambayo huku mtaani hayapo?Nimetoka kusoma ppra nikaja kusoma huu uzi. Naona wananchi wanalinganisha nyumba zao za udongo na majengo ya serikali.
Wewe hiyo finishing ya mil 10 ni finishing ya aina gani? Mbona mnaunderestimate sana? Ni finishing ya nyumba ya tandale kwa mfuga mbwa au?Sasa kama msingi na jamvi tufanye mil 10,kwenda na tofali mpaka lenta mil 10,lenta na tofali za juu mil5,roofing mil 10,gypsum na rangi mil 10,tiles na umeme mil 10,mfumo wa majitaka mil10,finishing nje mil 10.unapata mil 75,hapo nimekadilia tu kwa kiwango cha pesa ambacho ni juu sana,sasa hizo mil 143 kwa nyumba ya kawaida sana kama hiyo unanunua material gani ya ajabu?,wizi tu hapo.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Sawa ila hata kama lakini haivuki 15Hiyo nyumba huwezi kupaua kwa 10 million mkuu labda utumie makuti.
Sasa hao wasomi wanashika tofali au kumeaga zege kwenye hizo nyumba za serikali,kina maiko ndio hufanya hivyo,wasomi ndio wanakadilia hayo mabei ya ajabu.kwenye ujenzi kina maiko wazuri kuliko hao wasomi.Sasa tangu lini fundi Maiko akajenga nyumba za serikali. Unadhani watu shule wanaenda kuvaa sare tu na kunywa uji.
Watu wanaona nyumba iking'aa kwa rangi wwanadai ni nyumba boraNimetoka kusoma ppra nikaja kusoma huu uzi. Naona wananchi wanalinganisha nyumba zao za udongo na majengo ya serikali.