Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Wamekosa maarifa, kupitia udongo huo huo wangepata tofali na vigae wakajenga nyumba bora za kisasaTena kuna mikoa kama geita na Kagera udongo wenyewe unaruhusu kabisa Ila ni vijumba vya ovyo Tu vipo hapo ,watu wanaishi kama tumbili