Ujenzi rahisi kwa kutumia interlock blocks, jenga popote, jenga sasa

Hizi tofali huwa zina momonyoka sana..hasa zilizochini kwenye msingi..hasa zikinyeshewa mvua ama unyevu nyevu kwa muda mrefu.

Mleta uzi toa solution kwa tatizo hilo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hizi tofali huwa zina momonyoka sana..hasa zilizochini kwenye msingi..hasa zikinyeshewa mvua ama unyevu nyevu kwa muda mrefu.

Mleta uzi toa solution kwa tatizo hilo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Msingi unaoigwa na za kawaida na inapigwa matitio fulani maji hayapenyi
 
kanuni zile zile za ujenzi ila tu unafuu tofauti. Hakuna haja ya jukwaa.
 
Mkuu hongera kwa tangazo zuri. Hebu pia waeleze wadau changamoto za kutumia huu mfumo (interlocking) hasa ikitokea unataka kubadilisha mpangilio wa vyumba au kufanya partition au kubadili mfumo wa maji taka baada ya ujenzi kukamilika.
Ahsante
 
Mkuu hongera kwa tangazo zuri. Hebu pia waeleze wadau changamoto za kutumia huu mfumo (interlocking) hasa ikitokea unataka kubadilisha mpangilio wa vyumba au kufanya partition au kubadili mfumo wa maji taka baada ya ujenzi kukamilika.
Ahsante
Changamoto mkuu ni kupata tofali tu zote, kama mashine itatumika hydraform basi wateja wengi huona ni gharama sababu unatakiwa kuwa na matirio yote site, wengine wanataka kupiga kidogo kidogo jambo ambalo wanakata tamaa...bila kukumbuka ukishapata tofali zako swala la kujenga ni haraka na nafuu zaidi.

Kuhusu kugawa parttion ni rahisi haswa sababu unapagua tofali zako na kuzipanga utakavyo tu kulinga na jinsi unayoona inafaa tena kwa wenye ghorofa ni rahisi sana kugawa ofisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…