imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hizi Grand Projects zilizopo zinatutoa kamasi.Wamalize kwanza SGR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi Grand Projects zilizopo zinatutoa kamasi.Wamalize kwanza SGR
Hata ya mtwara wangeiboresha nako kule uchumi ukue na kupunguza msongamano Mana hii Moro road Ni balaa kwa magari.Upotevu wa pesa za bure kuwafurahisha wakina kikwete. Bandari ya Tanga ambayo tayari kuna mafuta ya uganda yanakuja tusijenge pale tutumie pesa kujenga bandari ya pili Dar. Hii ni miradi binafsi
Wamalize kwanza bwawa la nyerere la umeme hata gesi walitudanganya ivyo ivyoHizi Grand Project zilizopo zinatutoa kamasi.
Huu utapeli wa kijinga, hatuna uwezo wa kujenga bandari itakayogharimu $10b, reli na bwawa lenyewe ni mwendo wa kinyonga, ndio itakuwa bandari ya $10b? Sana sana waseme watasafisha eneo linalotarajiwa bandari kujengwa.
Kwale au kwala??Hivi mradi wa bandali ya kwale umeushia wapi?
Mwaka 2019 tuliona mpaka makontena yanaletwa na wakasema bado barabara.sasa barabara ndio ukwamishe huo mradi.
Wenyewe hatuwezi ni pesa ndefu sana.
Ndio maana wameongelea issue ya wawekezaji kuungana nasi wakati bandari inaendelea kujengwa.
Mimi nadhani kuna jambo nyuma ya pazia serikali inalijua ila inatuficha.Hakuna cha kuungana ndugu, hao wanatafuta kiki tu. Kuungana inatakiwa sisi wangalau tutoe $3b ambazo hatuna, na nyingine watoe hao wawekezaji. Sasa ufyeke vichaka kisha useme kuna muwekezaji anakuja kujiunga na ww?!
Kibaya zaidi.Hivi hawa wanaofanya ufisadi wa kutisha namna hii hawajui kuwa hawataondoka na hata senti moja??
Hakuna anayelipinga hilo ila kilichokuwa kinaleta ukakasi ni ufisadiSafi sana.
Hii bandari ni muhimu sana kwa uchumi wetu.
Bandari ya bmoyo Ina potential..ni kubwa,tofauti na uchochoro wa dar,nchi zinazotumia bandari zetu ni ngumu kutumia tanga au mtwara,kiniografia zimekaa tengeBadala muendeleze zilizopo mnaanza nyingine, rubbish!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Bandari ipi unayoijua haijaendelezwa?Badala muendeleze zilizopo mnaanza nyingine, rubbish!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Una uhakika haijaboreshwa?Hata ya mtwara wangeiboresha nako kule uchumi ukue na kupunguza msongamano Mana hii Moro road Ni balaa kwa magari.
Icho kinachofanyika bagamoyo kifanyike mtwara yaani iwe bandari kubwa mno yaani mno east afrikaUna uhakika haijaboreshwa?
Hii ndiyo afrika na hawa ndiyo viongozi wake!.Badala muendeleze zilizopo mnaanza nyingine, rubbish!