Ujenzi wa barabara ya kupitia juu kuanza Nairobi mwakani

Ujenzi wa barabara ya kupitia juu kuanza Nairobi mwakani

1471106352633.jpg
 
Wewe kweli vituko
Hii ni Safari nje ya Nsirobi weka link
Pili unawezaje safiri ndani ya Jiji na mabigi!! Cheki juu ya vichwa vya watu hapo

Safari za mbali kwa njia ya trreni haipendelewi na wakenya wengi kwasababu ni ya polepole mno. Nairobi Railway Station iko mkabala na vituo vikuu vitatu vya mabasi zinazofanya safari za mbali kama Easy Coach, Guardian Coach na kuna station ya mabasi panaitwa Machakos Country Bus Station.
Hawa ni watu pengine wanasafiri kutoka mitaani kwenda mjini kuchukua basi hizi kwa safari za mbali.
 
Perhaps a little education on BRT would go along way to avoid this petty comparison of two different cities with almost totally nothing in common in terms of planning,land availability (read ownership). anyway we as Kenyans do acknowledged we have a real issue with/on how to beat traffic jams ,but as you can see we have major infrastructure like the one above and many more with sole goal of the same.
As for BRT we may need it but then again there are hindrance here and there. But anyway is it really necessary or suitable given the planning of the city?
 
blah blah blah.....f*ck outta here because we all know you got no leg to stand on in this debate, respect is earned not given. there is no counterpoint to it. it is an absolute statement and you messed up when you tried to counter that statement.

take the loss like a man and keep it moving instead complaining like a little boy.
Mbona maneno yanakutoka mengi kama mtoto wa kike wewe, mwenzako amepotezea nawe potezea, shombo nyingi za kwenye taarab kama wanawake wa vibarazani, jielewe wewe! !
 
Hizo ni nyumba za kuishi watu au ni vitu gani? Si nyumba za tope hizo. Kweli ukishangaa ya mtz utaona ya mkenya!
 
Hizo ni nyumba za kuishi watu au ni vitu gani? Si nyumba za tope hizo. Kweli ukishangaa ya mtz utaona ya mkenya!
Hilo ni jiji LA nairobi, dar hakuna slums kama hizo.
Na hapo ni mjini, vijijini kwao ushafika sasa, hehehehe.. Jamaa wanatoa funza tu huko.. Umaskini wa kufa mtu.,
Takwimu zinaonesha watu zaidi ya m5 Kenya wameathiriwa na funza, hebu pata picha watu karne hii wanaumwa funza.. ila kelele zao wakikaa kwenye keyboard ni hatari..[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Disgusting, Kenya gov is kinda different one....that slums is crayz for sure
 
Hehe, tumo mbioni wakati mko kwenye ndoto za Ooh flyover tazara... phew!
 
Back
Top Bottom