Ujenzi wa barabara ya kupitia juu kuanza Nairobi mwakani

Ujenzi wa barabara ya kupitia juu kuanza Nairobi mwakani

Wakati Matatu Nairobi ziki kaa o
Hovyo hovyo kama paka waliokosa makazi

Dar usafiri wauma umepangwa kwa vituo vyake.


VITUO VYA USAFIRI WA UMMA NDANI YA JIJI LA DAR ES SALAAM

3X6A8522.jpg


3X6A8512.jpg


3X6A8500.jpg


3X6A8497.jpg


3X6A8488.jpg


3X6A8472.jpg

3X6A8461.jpg
 
Hehehe, what's wrong with those roofs??
Are they weird like these here??

Nairobi, the capital of Middle income country..
View attachment 380601View attachment 380602
Lakini si umeona, Dar yaani hamna mitaa iliopangwa sawa sawa. Mitaa za aina hiyo huku Kenya tunaziita slums. Angalau Nairobi kuna mitaa nyingi sana zenye hadhi. Kwa hivyo ni kweli Dar, 90% ni slums tupu!

IMG_0882-X2.jpg


Kati kati mwa mji ndio ile palee, imezingirwa tu slums!
 
Najua nini? Kwani hio BRT inawahudumia hao wananchi wote 4.5m wa Dar? Madaladala ndizo aina kuu za usafiri zinazotumiwa Nairobi na Dar, na wala sio hizo BRT Dar ama hizi trains za huku Nairobi. Hizo mbinu mbili zinawahudumia wananchi wachache tu kwenye baadhi za sehemu za miji hizi mbili.

Matatu za Kenya, ukilinganisha na za Dar ziko more efficient. Halafu pia, Nairobi ina barabrar nyingi tena kubwa kuliko za Dar. Kwa hivyo, in terms of the means of public transport, Nairobi has Dar totally beat (if not by great extent), Dar's BRT notwithstanding..

Magari za usafiri Dar. Balaa!



In Kenya, people boarding matatus in very orderly manner


Hayo mbna umechukua ya zaman bro
Infact dar inamaendeleo ya haraka sana kiasi kwamba miaka mi3 iliopita ni kama miaka10 kwenu
Nyingi zinazotumika ambako hamna BRT ni UDA nyekundu flan hv na magari yanayofanana na mwendo kasi ila rangi si sawa
 
Najua nini? Kwani hio BRT inawahudumia hao wananchi wote 4.5m wa Dar? Madaladala ndizo aina kuu za usafiri zinazotumiwa Nairobi na Dar, na wala sio hizo BRT Dar ama hizi trains za huku Nairobi. Hizo mbinu mbili zinawahudumia wananchi wachache tu kwenye baadhi za sehemu za miji hizi mbili.

Matatu za Kenya, ukilinganisha na za Dar ziko more efficient. Halafu pia, Nairobi ina barabrar nyingi tena kubwa kuliko za Dar. Kwa hivyo, in terms of the means of public transport, Nairobi has Dar totally beat (if not by great extent), Dar's BRT notwithstanding..

Magari za usafiri Dar. Balaa!



In Kenya, people boarding matatus in very orderly manner


Af magari yenu hayako sexy wala nn
Hayo ye2 ulioweka ni ma DCM ambayo yamepotea ckuiz
Af hyo njia ya mbagala kama c kosei kabla ya kupitiswa 4ways miaka kama6 iliopita
 
Tunazungumzia Usafiri wa Umma ndani ya jiji sio treni ya Nairobi to Mombassa wacheni ujinga
Mimi napost treni zinazo fanya safari zake ndani ya jiji pekee.

Wewe kilaza kweli. Thread iko juu ya Barabara mpya itakayojengwa Nairobi. Mambo ya usafiri wa umma umeyaleta mwenyewe kisha ukalemewa ndio ukaanza kulia eti wengine wanaikimbia mada yet ni wewe uliyeanza kuikimbia. Shida ya mibongolala ni kuanzisha vita haziezi zikishalemewa zinaanza kulia kwi kwi kwi.

Halafu hiyo treni iliyopostiwa inafanya katikati mwa jiji la Nairobi na yeyote aliyefika Nairobi analijua hilo. Shida yenu ni kujigamba eti mumetembea wakati hamjatoka kijiweni kule kinondoni tangu mtoke vijijini kwenu.
 
Nairobi nzima haina stand za usafiri wa umma
Matatu zinakaa hovyo hovyo

Hapa ni Katikazi ya jiji la Dar
Kalia koo kituo cha usafiri wa umma
K0A5751.jpg


K0A5750.jpg


K0A5744.jpg


K0A5742.jpg

Kinapendeza.jpg

Lakini magari ziko wapi? Kumbe ndio maana hizi fujo zote hutokea kwasabau ziko nadra..

1152_13057615418-tpfil02aw-829.jpg


DSC_0223.jpg


Abiria-wakigombea-daladala.jpg


p6.jpg



Balaa, yani hata huyu mzungu ameshakuwa absorbed kwa hii culture yenyu ya kudandia matt thru the window!

Usafiri.JPG


DSC_0214.jpg


Hizi fujo zote za nini?
 
Hayo mbna umechukua ya zaman bro
Infact dar inamaendeleo ya haraka sana kiasi kwamba miaka mi3 iliopita ni kama miaka10 kwenu
Nyingi zinazotumika ambako hamna BRT ni UDA nyekundu flan hv na magari yanayofanana na mwendo kasi ila rangi si sawa
BRT si ilijengwa hivi majuzi tu? Basi weka picha za hivi karibuni tuzione.
 
Nairobi hakuna Treni ndani ya jiji wacha uongo

Kama treni ndani ya Jiji Dar tulisha Zoea kwasasa zaidi ya wakazi 300000 hutumia Treni kwa siku

tn_tz-tazara-coach-interior-seats-chinese-201511.jpg

Zambia-tazara-restaurant.jpg

tazara-train-8.jpg

Hizo picha nimekuwekea hapo ni za treni za jiji la Nairobi, zinafika hadi city pale Nairobi Train Station from where they offload their passengers getting into town

nairobi-mombasa-train-station.jpg



railway-pic.jpg


Nairobi_new_train.jpg


Zim-Train-Ride-Women.jpg


train-301113-thumb.jpg


kenya_train_dining_on_the_way_to_mombasa_from_nairobi_kenya.jpg
 
Hongereni majirani kwa kweli kwa hili la urban roads mmejitahidi sana. Lakini, 380 billion kshs ni 7.6 trillion tshs!!!
Kwani hiyo barabara inapeleka watu mbinguni au?
 
Hizo picha nimekuwekea hapo ni za treni za jiji la Nairobi, zinafika hadi city pale Nairobi Train Station from where they offload their passengers getting into town

nairobi-mombasa-train-station.jpg



railway-pic.jpg


Nairobi_new_train.jpg


Zim-Train-Ride-Women.jpg


train-301113-thumb.jpg


kenya_train_dining_on_the_way_to_mombasa_from_nairobi_kenya.jpg

Wewe kweli vituko
Hii ni Safari nje ya Nsirobi weka link
Pili unawezaje safiri ndani ya Jiji na mabigi!! Cheki juu ya vichwa vya watu hapo
 
Lakini magari ziko wapi? Kumbe ndio maana hizi fujo zote hutokea kwasabau ziko nadra..

1152_13057615418-tpfil02aw-829.jpg


DSC_0223.jpg


Abiria-wakigombea-daladala.jpg


p6.jpg



Balaa, yani hata huyu mzungu ameshakuwa absorbed kwa hii culture yenyu ya kudandia matt thru the window!

Usafiri.JPG


DSC_0214.jpg


Hizi fujo zote za nini?

Mabasi ya BRT tunayo mengi
Kinacho subiriwa ni kufunguliwa njia zingine

Yapo yamepaki tu
IMG-20151005-WA0044_zpsly4hsmog.jpg
 
Wewe kweli vituko
Hii ni Safari nje ya Nsirobi weka link
Pili unawezaje safiri ndani ya Jiji na mabigi!! Cheki juu ya vichwa vya watu hapo

Boost as Sh400m new Nairobi rail station set to ease traffic

railway-pic.jpg


Monday December 9 2013

A new commuter railway station was Monday launched in Nairobi’s Eastlands area even as Kenya Railways expressed concern that the construction of 24 others might delay due to lack of funds.

Former Prime Minister Raila Odinga launched the Sh400 million Makadara Railway Station that is expected to ease traffic congestion for commuters plying Jogoo Road and its surrounding areas.

The facility is anticipated to serve at least 5,000 commuters mostly from Hamza, Donholm, BuruBuru and Umoja and other nearby areas.

It has a parking capacity for about 150 vehicles.

Concerns over other stations

But even as the station was being inaugurated, concerns were being raised as to when the construction of the remaining stations in other parts of the Nairobi metropolis would begin.

Besides the Syokimau Railway Station, the government is to construct 26 others within the city, two of which have already been completed.

They include the one in Makadara and another in Imara Daima, which is to be launched Wednesday by retired President Daniel arap Moi.

Gen (Rtd) Jeremiah Kianga, the chair of the Kenya Railways board of directors, however said they were already in talks with the government to see whether more funds could be allocated for the projects.

“Once we get the funds, the work will be completed within the next two to three years,” said Kianga.

Mr Odinga praised the construction of the Makadara station, saying it will attract business to the country.

“Today, the lack of efficient public transport has left the Nairobi Central Business District perpetually clogged in traffic.

Subsequently, too few people want to venture into the CBD for shopping. Traffic chaos is killing business in Nairobi,” said Mr Odinga.

Mr Odinga said Nairobi’s potential is being crippled by lack of adequate infrastructure.

“It has overcrowded roads, rising population, much pollution and a congested airport,” he said.

And while this has been happening, other cities in the region have been investing in urban infrastructure renewal.

“We must change urgently. If we don’t invest in making Nairobi a livable city, where the cost of living, working and doing business are low, we will soon be talking of a Nairobi that once was the hub of the region but no longer is,” Odinga said.

“We live in extremely competitive and dynamic times. Nations and cities slide up and down rankings with a single wrong step.

We must never underestimate the determination of our neighbours to take over the functions currently associated with Kenya.”

Mr Odinga said even as the government invests heavily in the construction of infrastructure, it must do the same in their maintenance.

“Our biggest curse in Africa is the inability to maintain what we have started,” he said.

Transport Cabinet Secretary Michael Kamau concurred with the former PM saying development in the country will only be realised when the country’s infrastructure is sound.

Passenger numbers to grow

Nairobi Commuter Rail Project was launched on November 13, 2012 and is being implemented in phases.

On completion, passenger numbers are expected to grow by seven per cent annually which translates to 20 million travellers a year from the current seven million.

The Makadara station will be plying Eastlands areas and will be served by the Syokimau Railway Station.

Nairobi's new commuter railway station
 
Back
Top Bottom