Ujenzi wa barabara ya kupitia juu kuanza Nairobi mwakani

Ujenzi wa barabara ya kupitia juu kuanza Nairobi mwakani

Pia ukumbuke yakuwa Ukiwa Dar unaweza tumia usafiri wa majini pia
Kuitembelea miji ya
Dar to Bagamoyo
Dar to Tanga
Dar to Zanzibar
Na City center to Mbagala
Itakayo anza hivi karibuni

Usafiri upo

kilimanjaro-1-night-view.jpg

AzamMarine10-1040x280.jpg


054-ext1-690x270.jpg

azam-ferry.jpg

zanzibar%20dar%20es%20salaam%20speed%20boat%20ferry%205.jpg

Lakini Nairobi hamna bahari
 
BTW MOTOCHINI, ati hii ndio BRT unaturingia humu?

4ut26ewnak0.jpg


IMG_0882-X2.jpg


Hicho kikitu kwelio unaweza kicompare na hizi barabara za Kenya? Bwa ha ha ha ha!!!!!
 
Tazameni Dar jameni! It looks soo......


Look at all those rusty roofs, as far as the eyes can see!
4ut26ewnak0.jpg
 
Maneno mengi kumbe pesa znyw bdo mnazungushwa kupewA.
aya kla la kheri katka maandaliz ya ujenz.
 
La, hili BRT jambo dogo mno. Ikiwa tulifanikiwa kujenga hizi hapa ambazo ni kubwa na ndefu zaidi ya hiyo Dar BRT na mengine chini ya miaka mitano, sasa BRT tushindwe kwa nini?
4795308081_6c73761033_b-jpg.354772


rr1pk6h-jpg.354810


IMG_5341.JPG


greensuncities_thikard-18-of-45.jpg


Na mengine mengi. Dar BRT is a shadow in comparison to all that in Nairobi.

Sasa kuhusu hiki hapa......




Na nimekuuliza, je hizo BRT husafirisha watu wa ngapi kwa siku ukilinganisha na matatu? Ni watu wachache sana, ukizingatia kuwa watu takriban zaidi ya 800,000 huingia na kutoka kati kati mwa jiji hilo karibu kila siku. Na huduma zipi hawa hutegemea?


Nairobi pia kuna hili hapa

image23-jpg.354735


2012-11-24-13-41-46-jpg.354736


maxresdefault-jpg.354739


syokimau.jpg


Treni hizi husafirisha maelfu ya watu kuingia na kutoka kati kati mwa mji wa Nairobi, lakini kusema kweli bado hazitoshi.

Hivyo kuwabidi maelfu ya watu kugeukia kutmia mabasi ambazo ziko nyingi na bei nafuu.

Nimesema na ninarudia, ukizingatia ya kuwa Nairobi ina barabara mengi makubwa zaidi ya Dar, inamaanisha Nairobi imeendelea zaidi ya Dar in terms of public transport.
Hahaha unaleta ushamba wewe
Mpaka sasa nipo ndani ya Treni ya jiji la dar usiku huu ngoja nikupe kitu live
 
La, hili BRT jambo dogo mno. Ikiwa tulifanikiwa kujenga hizi hapa ambazo ni kubwa na ndefu zaidi Ya hiyo Dar BRT na mengine chini ya miaka mitano, sasa BRT tushindwe kwa nini?
4795308081_6c73761033_b-jpg.354772


rr1pk6h-jpg.354810


IMG_5341.JPG


greensuncities_thikard-18-of-45.jpg


Na mengine mengi. Dar BRT is a shadow in comparison to all that in Nairobi.

Sasa kuhusu hiki hapa......




Na nimekuuliza, je hizo BRT husafirisha watu wa ngapi kwa siku ukilinganisha na matatu? Ni watu wachache sana, ukizingatia kuwa watu takriban zaidi ya 800,000 huingia na kutoka kati kati mwa jiji hilo karibu kila siku. Na huduma zipi hawa hutegemea?


Nairobi pia kuna hili hapa

image23-jpg.354735


2012-11-24-13-41-46-jpg.354736


maxresdefault-jpg.354739


syokimau.jpg


Treni hizi husafirisha maelfu ya watu kuingia na kutoka kati kati mwa mji wa Nairobi, lakini kusema kweli bado hazitoshi.

Hivyo kuwabidi maelfu ya watu kugeukia kutmia mabasi ambazo ziko nyingi na bei nafuu.

Nimesema na ninarudia, ukizingatia ya kuwa Nairobi ina barabara mengi makubwa zaidi ya Dar, inamaanisha Nairobi imeendelea zaidi ya Dar in terms of public transport.

Nairobi hakuna Treni ndani ya jiji wacha uongo

Kama treni ndani ya Jiji Dar tulisha Zoea kwasasa zaidi ya wakazi 300000 hutumia Treni kwa siku

tn_tz-tazara-coach-interior-seats-chinese-201511.jpg

Zambia-tazara-restaurant.jpg

tazara-train-8.jpg
 
Zinataka upost, uziwekee ramani na bado uzipe ufafanuzi zaidi... Nabado zitapinga....#bongolala
 
La, hili BRT jambo dogo mno. Ikiwa tulifanikiwa kujenga hizi hapa ambazo ni kubwa na ndefu zaidi ya hiyo Dar BRT na mengine chini ya miaka mitano, sasa BRT tushindwe kwa nini?
4795308081_6c73761033_b-jpg.354772


rr1pk6h-jpg.354810


IMG_5341.JPG


greensuncities_thikard-18-of-45.jpg


Na mengine mengi. Dar BRT is a shadow in comparison to all that in Nairobi.

Sasa kuhusu hiki hapa......




Na nimekuuliza, je hizo BRT husafirisha watu wa ngapi kwa siku ukilinganisha na matatu? Ni watu wachache sana, ukizingatia kuwa watu takriban zaidi ya 800,000 huingia na kutoka kati kati mwa jiji hilo karibu kila siku. Na huduma zipi hawa hutegemea?


Nairobi pia kuna hili hapa

image23-jpg.354735


2012-11-24-13-41-46-jpg.354736


maxresdefault-jpg.354739


syokimau.jpg


Treni hizi husafirisha maelfu ya watu kuingia na kutoka kati kati mwa mji wa Nairobi, lakini kusema kweli bado hazitoshi.

Hivyo kuwabidi maelfu ya watu kugeukia kutmia mabasi ambazo ziko nyingi na bei nafuu.

Nimesema na ninarudia, ukizingatia ya kuwa Nairobi ina barabara mengi makubwa zaidi ya Dar, inamaanisha Nairobi imeendelea zaidi ya Dar in terms of public transport.
Hiyo picha ya kwanza sio Nairobi..
Nairobi hakuna standard road kama hiyo..
Wacha kupotosha uma
 
Tazameni Dar jameni! It looks soo......


Look at all those rusty roofs, as far as the eyes can see!
4ut26ewnak0.jpg
Hehehe, what's wrong with those roofs??
Are they weird like these here??

Nairobi, the capital of Middle income country..
1471063369724.jpg
1471063373546.jpg
 
^^^ kwa hivo hizo alizopost zipo mashambani? Bongolala zingine haziezi saidika.
Tunazungumzia Usafiri wa Umma ndani ya jiji sio treni ya Nairobi to Mombassa wacheni ujinga
Mimi napost treni zinazo fanya safari zake ndani ya jiji pekee.
 
Nairobi nzima haina stand za usafiri wa umma
Matatu zinakaa hovyo hovyo

Hapa ni Katikazi ya jiji la Dar
Kalia koo kituo cha usafiri wa umma
K0A5751.jpg


K0A5750.jpg


K0A5744.jpg


K0A5742.jpg

Kinapendeza.jpg
 
Back
Top Bottom