Ujenzi wa barabara ya kupitia juu kuanza Nairobi mwakani

Ujenzi wa barabara ya kupitia juu kuanza Nairobi mwakani

Some people in this forum!!!!!!! DAMN! Must they wear tribalistic glasses whenever they seen development in Kenya? Or must they pull the 'kabila fulani' card?DAMN!
 
Uhuru_Highway.png
 
Mwenyewe unajua kama sivyo anzisha ubishi twende kazi
Najua nini? Kwani hio BRT inawahudumia hao wananchi wote 4.5m wa Dar? Madaladala ndizo aina kuu za usafiri zinazotumiwa Nairobi na Dar, na wala sio hizo BRT Dar ama hizi trains za huku Nairobi. Hizo mbinu mbili zinawahudumia wananchi wachache tu kwenye baadhi za sehemu za miji hizi mbili.

Matatu za Kenya, ukilinganisha na za Dar ziko more efficient. Halafu pia, Nairobi ina barabrar nyingi tena kubwa kuliko za Dar. Kwa hivyo, in terms of the means of public transport, Nairobi has Dar totally beat (if not by great extent), Dar's BRT notwithstanding..

Magari za usafiri Dar. Balaa!



In Kenya, people boarding matatus in very orderly manner

 
Najua nini? Kwani hio BRT inawahudumia hao wananchi wote 4.5m wa Dar? Madaladala ndizo aina kuu za usafiri zinazotumiwa Nairobi na Dar, na wala sio hizo BRT Dar ama hizi trains za huku Nairobi. Hizo mbinu mbili zinawahudumia wananchi wachache tu kwenye baadhi za sehemu za miji hizi mbili.

Matatu za Kenya, ukilinganisha na za Dar ziko more efficient. Halafu pia, Nairobi ina barabrar nyingi tena kubwa kuliko za Dar. Kwa hivyo, in terms of the means of public transport, Nairobi has Dar totally beat (if not by great extent), Dar's BRT notwithstanding..
Bahati mbaya leo sipo kwaniaba ya kubishana na wakenya
nipo Majukwaa ya Watanzania
ila Kesho ntakutafuta maana huwa mnadharau sana ninyi watu,
mnadhani kila kitu kipo kwenu,
majuzi mlizua kelele Nairaland mpo juu zaidi ya Naigeria!!
Kiukweli mnaboa na kushangaza sana

Sent from my HUAWEI Y520-U22 using JamiiForums mobile app
 
Tukitumbukiza na kutoa, mnafuata kwa kutumbukiza.....hehehehe!! Lakini hii ya barabara ya juu mtakawia sana maana bado mnadata kwenye flyover moja wakati sisi flyovers zipo nyingi tulishachoka nazo.
Hongera.. sisi acha tuendelea na kupiga hesabu ya flyover
 
Bahati mbaya leo sipo kwaniaba ya kubishana na wakenya
nipo Majukwaa ya Watanzania
ila Kesho ntakutafuta maana huwa mnadharau sana ninyi watu,
mnadhani kila kitu kipo kwenu,
majuzi mlizua kelele Nairaland mpo juu zaidi ya Naigeria!!
Kiukweli mnaboa na kushangaza sana

Sent from my HUAWEI Y520-U22 using JamiiForums mobile app

Hatujali kama tunabore. Penye ukweli sisi tutasema tu. Tunawazidi wanigeria kwa mambo mengi tu sana. Kwani uongo?

Cheki hizo mavideo hapo juu. LOL!
 
Kwanini Highways zote za Kenya zinaanzia na kuishia Kikuyu land tu? Huko kwingine kwani siyo Kenya? Hiyo Thika inatokea Nairobi mpaka Ukikuyuni, na hii nayo itatoka Airport mpaka Nakuru kwa Wakikuyu pia, vipi watu wa Mombasa mbona wao hamuwapelekei highway, wakati ndiyo wanaobeba uchumi wa Kenya?
Uko na evidence hamna projects kama hizi kewenye hayo miji mengine? Kisumu umewahi fika? Haujui kinachoendelea Mombasa?

FYI, Nairobi ni mji mkuu wa Kenya na ni ya makabila zote za Kenya. No tribe lays claim to that city as its development had the contribution of all the Kenyan tribes. Thika Superhighway na barabara zote zilizoko Nairobi zilijengwa na pesa za walipa kodi kutoka sehemu zote za Kenya.

Nairobi, originally ilikuwa ni kwa wamasai, na Nakuru ni kwa wakalenjin, FYI.

Six-lane Mombasa-Mariakani Road to cost Ksh22 billion
 
Hatujali kama tunabore. Penye ukweli sisi tutasema tu. Tunawazidi wanigeria kwa mambo mengi tu sana. Kwani uongo?

Cheki hizo mavideo hapo juu. LOL!

Naona umependa tupeane vitu sawa
Wacha kupost vidala dala vya miaka ile
 
Hatujali kama tunabore. Penye ukweli sisi tutasema tu. Tunawazidi wanigeria kwa mambo mengi tu sana. Kwani uongo?

Cheki hizo mavideo hapo juu. LOL!

Unaleta video kuji dharilisha kijana,
Miji yakisasa hawajisifu na upuzi kama huo.
Kwasasa watu wanatumia usafiri wa mpya sio kuweka mirangi vigari uchwara mnakuja kutafuta sifa.

Hizo video ulizo post Kwasasa Tanzania ni marufuku kuingia ndani ya Jiji la Dar.

Kuna UDA zinakwenda mpaka vichochoroni kuchukua watu na kuingiza njia kuu

Naanza na hii kwenu Ndoto

13220941_1787549998130980_8811916885536251810_n.jpg


13244654_1787142628171717_8305041874704816929_n.jpg


13256251_1787185878167392_1486518616878175680_n.jpg

13263961_1791964217689558_1115430076542120850_n.jpg


13315709_1791964267689553_2182728061352659113_n.jpg

Hapa Magari yamejipanga barabarani kama Matatu za Nairobi

Huwezi kuona daladala unazo zungumzia wewe mjini kama Kwenu

13427910_1800405583512088_1001894513234271784_n.jpg
 
Bahati mbaya leo sipo kwaniaba ya kubishana na wakenya
nipo Majukwaa ya Watanzania
ila Kesho ntakutafuta maana huwa mnadharau sana ninyi watu,
mnadhani kila kitu kipo kwenu,
majuzi mlizua kelele Nairaland mpo juu zaidi ya Naigeria!!
Kiukweli mnaboa na kushangaza sana

Sent from my HUAWEI Y520-U22 using JamiiForums mobile app

Yaani unavyojigamba humu unatumia Huawei Y520?
 
Hatujali kama tunabore. Penye ukweli sisi tutasema tu. Tunawazidi wanigeria kwa mambo mengi tu sana. Kwani uongo?

Cheki hizo mavideo hapo juu. LOL!

Pia ukumbuke yakuwa Ukiwa Dar unaweza tumia usafiri wa majini pia
Kuitembelea miji ya
Dar to Bagamoyo
Dar to Tanga
Dar to Zanzibar
Na City center to Mbagala
Itakayo anza hivi karibuni

Usafiri upo

kilimanjaro-1-night-view.jpg

AzamMarine10-1040x280.jpg


054-ext1-690x270.jpg

azam-ferry.jpg

zanzibar%20dar%20es%20salaam%20speed%20boat%20ferry%205.jpg
 
Yaani unavyojigamba humu unatumia Huawei Y520?
Hujitambui wewe
Natumia Cm 3
Ktk safari zangu
Moja ni Huawei Y520
pili ni Safaricom/Vodacome(samsung Galaxy S6)
Mwisho ni Tecno p3

Nabadili kutokana na chaji
Kama vipi ngoja nijirekodi video kisha nikuwekee hapa sasa hivi uje na lingine sawa
 
Uko na evidence hamna projects kama hizi kewenye hayo miji mengine? Kisumu umewahi fika? Haujui kinachoendelea Mombasa?

FYI, Nairobi ni mji mkuu wa Kenya na ni ya makabila zote za Kenya. No tribe lays claim to that city as its development had the contribution of all the Kenyan tribes. Thika Superhighway na barabara zote zilizoko Nairobi zilijengwa na pesa za walipa kodi kutoka sehemu zote za Kenya.

Nairobi, originally ilikuwa ni kwa wamasai, na Nakuru ni kwa wakalenjin, FYI.

Six-lane Mombasa-Mariakani Road to cost Ksh22 billion


Ok nilifikiri Nakuru ni kwa Wakikuyu, kumbe siyo, asante kwa Elimu!
 
Uko na evidence hamna projects kama hizi kewenye hayo miji mengine? Kisumu umewahi fika? Haujui kinachoendelea Mombasa?

FYI, Nairobi ni mji mkuu wa Kenya na ni ya makabila zote za Kenya. No tribe lays claim to that city as its development had the contribution of all the Kenyan tribes. Thika Superhighway na barabara zote zilizoko Nairobi zilijengwa na pesa za walipa kodi kutoka sehemu zote za Kenya.

Nairobi, originally ilikuwa ni kwa wamasai, na Nakuru ni kwa wakalenjin, FYI.

Six-lane Mombasa-Mariakani Road to cost Ksh22 billion

Aisei kaka hamna haja ya kutumia nguvu nyingi kujibu ujinga wa aina hiyo. Yaani Nakuru ambayo ndio kitovu cha taifa maana magari yote hata yanayokwenda Uganda na Rwanda lazima yapitie pale, magari yanayokwenda mikoa kama ya Magharibi na Nyanza yote yanapitia mji huo, sasa mtu anapokuambia haikufaa tuboreshe miundo mbinu itakayoelekeza usafiri kwenda huko anakua ana matatizo ya kiakili.
 
Aisei kaka hamna haja ya kutumia nguvu nyingi kujibu ujinga wa aina hiyo. Yaani Nakuru ambayo ndio kitovu cha taifa maana magari yote hata yanayokwenda Uganda na Rwanda lazima yapitie pale, magari yanayokwenda mikoa kama ya Magharibi na Nyanza yote yanapitia mji huo, sasa mtu anapokuambia haikufaa tuboreshe miundo mbinu itakayoelekeza usafiri kwenda huko anakua ana matatizo ya kiakili.
Enyewe....lakini kidogo imenikera jinsi hawa huchukulia hizi miradi za kimaendeleo ziimewekwa kunufaisha eneo moja, na kabila moja tu ya Kenya. Hili suala la ukabila inasemekana imetiwa chumvi mno na vyombo vya habari Tanzania!
 
Matatu rangi mbovu, mna barabara nzuri usafiri wa ajabu
 
Unaleta video kuji dharilisha kijana,
Miji yakisasa hawajisifu na upuzi kama huo.
Kwasasa watu wanatumia usafiri wa mpya sio kuweka mirangi vigari uchwara mnakuja kutafuta sifa.

Hizo video ulizo post Kwasasa Tanzania ni marufuku kuingia ndani ya Jiji la Dar.

Kuna UDA zinakwenda mpaka vichochoroni kuchukua watu na kuingiza njia kuu

Naanza na hii kwenu Ndoto
La, hili BRT jambo dogo mno. Ikiwa tulifanikiwa kujenga hizi hapa ambazo ni kubwa na ndefu zaidi ya hiyo Dar BRT na mengine chini ya miaka mitano, sasa BRT tushindwe kwa nini?
4795308081_6c73761033_b-jpg.354772


rr1pk6h-jpg.354810


IMG_5341.JPG


greensuncities_thikard-18-of-45.jpg


Na mengine mengi. Dar BRT is a shadow in comparison to all that in Nairobi.

Sasa kuhusu hiki hapa......

13220941_1787549998130980_8811916885536251810_n.jpg


13244654_1787142628171717_8305041874704816929_n.jpg


13256251_1787185878167392_1486518616878175680_n.jpg

13263961_1791964217689558_1115430076542120850_n.jpg


13315709_1791964267689553_2182728061352659113_n.jpg

Hapa Magari yamejipanga barabarani kama Matatu za Nairobi

Huwezi kuona daladala unazo zungumzia wewe mjini kama Kwenu

13427910_1800405583512088_1001894513234271784_n.jpg


Na nimekuuliza, je hizo BRT husafirisha watu wa ngapi kwa siku ukilinganisha na matatu? Ni watu wachache sana, ukizingatia kuwa watu takriban zaidi ya 800,000 huingia na kutoka kati kati mwa jiji hilo karibu kila siku. Na huduma zipi hawa hutegemea?


Nairobi pia kuna hili hapa

image23-jpg.354735


2012-11-24-13-41-46-jpg.354736


maxresdefault-jpg.354739


syokimau.jpg


Treni hizi husafirisha maelfu ya watu kuingia na kutoka kati kati mwa mji wa Nairobi, lakini kusema kweli bado hazitoshi.

Hivyo kuwabidi maelfu ya watu kugeukia kutmia mabasi ambazo ziko nyingi na bei nafuu.

Nimesema na ninarudia, ukizingatia ya kuwa Nairobi ina barabara mengi makubwa zaidi ya Dar, inamaanisha Nairobi imeendelea zaidi ya Dar in terms of public transport.
 
Back
Top Bottom