Ujenzi wa barabara ya Tanga hadi Pangani, malipo ya watakaopitiwa na barabara mustakabali wake ni upi?

Ujenzi wa barabara ya Tanga hadi Pangani, malipo ya watakaopitiwa na barabara mustakabali wake ni upi?

si kila mtu anajua jirani ndio kama hivo tena wengi watakufa na presha
LUKUVI AVUNJA NYUMBA YAKE KUPISHA UJENZI WA BARABARA

Akizungumza jana mara baada ya kushiriki zoezi la ubomoaji wa nyumba hiyo, Waziri Lukuvi, alisema kuwa akiwa kama kiongozi ameamua kuwa wa kwanza kuonyesha mfano kwa kuanza kuivunja nyumba hiyo ambayo kimsingi sehemu ya robo ilikuwa imepigwa alama ya X nyekundu na robo tatu ilipigwa alama ya X ya kijani, ila kutokana na kuunga mkono jitihada za Serikali katika ujenzi wa barabara hiyo, ameamua kuivunja yote na hatadai malipo yoyote.
 
Kwa upana wa ile barabara serikali ina uwezo wa kuijenga ile barabara na izo nyumba zisiguswe kabisaaa.....ila kama wameamua zivunjwe poa tu na hata mia wasilipwe
Kwa vipi zisiguswe?
 
Hii barabara inapitia mitaa hii ambayo ina wakazi ambao nyumba za zimewekewa X na namba nyekundu. Ni Mwembeduga-Mwan'gombe- Mwakidila- Mwahako- Neema mpaka Pangani.

Sehemu nilizotaja watu wako wansubiria kwa hamu walipwe wapate ziada wajenge na kupata myaji. Lakini nijuavyo ( I stand to be corrected) ukishawekewa alama nyekundu na namba nyekundu ni kuwa wewe ulivamia barabara hulipwi. Naomba kujua ukweli wa hili.

Kama ndivyo hakuna malipo, wawataarifu wananchi waanze kuzoea/ku absorb shock in peace meals maana ni kilio na kusaga meno
Nenda kwenye page ya Instagram ya msemaje mkuu wa Serikali kwenye post ambayo kuna ramani ya Barabara ya Tanga to pangani mpaka Saadan kutokea bagamoyo . kuna Baharia anaitwa nyuni_the_great amembananinsha maswali bila kujibu chochote
 
Nenda kwenye page ya Instagram ya msemaje mkuu wa Serikali kwenye post ambayo kuna ramani ya Barabara ya Tanga to pangani mpaka Saadan kutokea bagamoyo . kuna Baharia anaitwa nyuni_the_great amembananinsha maswali bila kujibu chochote
Hii barabara imefikia wapi?Siisikii kabisa ikiongelewa.
 
Back
Top Bottom