Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Wewe bangi sanaCitizen Radio imepata msemaji nchini
(In Emmanuel Mbasha's voice)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe bangi sanaCitizen Radio imepata msemaji nchini
Pole sana mkuu. Kwani unaamini kuwa Museveni kafunga Safari kutoka Kampala kwa ajili ya kuifanyia kampeni CCM.
Tatizo hamfuatilii mambo yanavyoenda!Mhh ! ,hebu tuambie hapa mlikuwa mnafanya nini kama kweli yanayo semwa na Serikali kuhusu Safari ya Museveni !??Kubalini pumzi imekata mmemaua kuleta Maigizo .
View attachment 1569282
Tatizo hamfuatilii mambo yanavyoenda!
Na angebahatika kupata kura basi wote tungewekwa Lockdown ndio maelekezo ya wazungu waliomtumaLissu ni mgonjwa akili kisaikolojia hajakaa sawa
Tusimchukulie maanani sana
Haya ni mambo ya kitaalam hivyo kuchelewa kuanza hakumaanishi kwamba mradi hautakuja kuwa na tija mbeleni.Kumbe kitu gani kama sio hicho...View attachment 1569298
Rais Museveni ametembelea tanzania Kikazi
View attachment 1568899
===
Rais John Magufuli wa Tanzania na Rais Yoweri Museveni wa Uganda wamesaini makubaliano ya kuanza ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga, Tanzania...
Mbona unaeleza kwa kutetemeka?Kodi ya kupitisha mafuta ya Uganda nchini iliamuliwa na bunge yaani kila pipa ambalo kodi yake itakuwa USD 12 basi Tanzania ilitakiwa kupata asilimia 80 kwani bomba hilo lipo katika ardhi ya Tanzania kwa zaidi ya asilimia 80...
Rudi ukasome vizuri bwashee nimeshaweka sawaMbona unaeleza kwa kutetemeka?
Tulia bwashee uandike vizuri tena kwa ushahidi!
Mahesabu ya kibiashara huwa yananiwacha pembeni, Fikiria kampuni ya Twiga kwenye madini. Tanzania ina hisa 16% lakini faida tunagawana 50/50 na wenye hisa 84%😃😃Kodi ya kupitisha mafuta ya Uganda nchini iliamuliwa na bunge yaani kila pipa ambalo kodi yake itakuwa USD 12 basi Tanzania ilitakiwa kupata asilimia 80 kwani bomba hilo lipo katika ardhi ya Tanzania kwa zaidi ya asilimia 80...
Gharama ya huo umeme, maintenance costs kuwalipa wafanyakazi na walinzi ni kutoka katika hiyo asilimia 60 ambayo ni USD 7.2 kwa kila pipa litakalo safirishwa. Usibishane na mtu aliyekuzidi maarifa kwa mbali mno!MLETA MADA!
ELEWA SOURCE YA MRADI HUU NI MAFUTA.
MAFUTA SIO YETU BALI YA WAGANDA ,WEWE HUJUI NI KIASI GANI CHA JITIHADA, ZILIZOTUMIKA HADI KUISHAWISHI UGANDA KUBADILI UAMUZI WAKE WA AWALI. ILIKOKUWA AWALI LIPITIE BANDARI YA MOMBASA....