Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
Mgombea Urais wa CCM ndugu John Magufuli azidi kung'ara kwa miradi yake yenye tija kwa watanzania. Mradi wa daraja jipya la wami wafikia 45%. Hii itapunguza ajali hivyo kuokoa maisha pia itapunguza muda wa safari.
#2020 kura zote kwa John
Amani
#2020 kura zote kwa John
Amani