Uchaguzi 2020 Ujenzi wa daraja jipya la Wami wafikia 45%

Uchaguzi 2020 Ujenzi wa daraja jipya la Wami wafikia 45%

Daaaah. Mitano tena wallahi
Kabisa. Halafu CCM bhana yan wanajua sana ile amsha amsha. Hivi ninavyoongea na wewe ni kuwa mzee bado hajafika ila lile mwewe kubwa la kijani ndio linavinjari kwenye anga la korogwe kuleta hamasa. Uwanja wa TTC Korogwe umependeza sana. Tulifika pale tukajitolea kufyeka na kufanya usafi. CCM ni chama cha watu achana na Mshana Jr ambaye anaota ndoto za mchana kweupe mbuzi anakula majani
 
kama serikali inachukua kodi ni wajibu wake kujenga miundombinu, kura yangu kwa TL!.
Kuna wale wanachukua kodi halafu wanaenda kujiwekea kwenye akaunti zao huko uswiswi, Thailand na kwingineko ulimwenguni.

Hapo ni kuwa umekiri though indirectly kuwa Magufuli anafanya kazi nzuri na sio fisadi kwani Kodi yetu inatumika kwa maendeleo yetu
 
Jamani huyu Magufuli ni habari nyingine kabisa hata Lisu anajua kuwa Magufuli ni level nyingine na anawashangaa mnavyomsingizia kuwa atashinda wakati mnampambanisha na mtu aliyemzidi uwezo.

Kwa kasi hii ya maendeleo kwakweli hakuna namna ni kumpa kura za ndio za kutosha mpaka wapinzani wachanganyikiwe.

October 28th kura zote za ndio ni kwa JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Tunajivunia kua na Rais Mazalendo Mchapakazi kama Dr.Magufuli ..Tunaendelea Nae...!KURA KWA MAGUFULI
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
 
Tunajivunia kua na Rais Mazalendo Mchapakazi kama Dr.Magufuli ..Tunaendelea Nae...!KURA KWA MAGUFULI
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
 
Hongera kwa serikali. Japo wamechelewa sana. Mpaka ajali zitokee ndio waje kujenga?
Kwann wasingejenga before walipoona daraja linazidiwa?
mzee kwani unakufa leo....maendeleo hayana timeframe..kama sio wewe wanao wataenjoy
 
Huyu mzee sijui mtampinga kwanini? Siku akianza kugawa zile 50M kila kijiji sindio mtalegea kabisa 😂😂😂

Maana kimsingi ni hela ndogo sana ikigawiwa kwa awamu awamu.
hapa tulipofikia mzee/...wala hamna aja hii miundo mbinu ikianza funguka itajikuta biashara zinakuja tu aisee
 
mzee kwani unakufa leo....maendeleo hayana timeframe..kama sio wewe wanao wataenjoy
Sio suala la kufa sababu ni unpredictable situation.
Mawazo ya kivivu ni kusema kama sio mm wanangu.. okay sikatai. But isiwe sababu ya kuchelewesha miradi muhim kama hii.
Lilitakiwa lifanyike siku nyingi.. walikuwa wapi siku zote?
Anyway naipongeza serikal kqa kuchukua hatua
 
Back
Top Bottom