Uchaguzi 2020 Ujenzi wa daraja jipya la Wami wafikia 45%

Uchaguzi 2020 Ujenzi wa daraja jipya la Wami wafikia 45%

Hapo ulipo ukute huna hata TIN number,na TRA haujulikani.Ikitokea unajulikana basi huenda kodi yako ya mwaka mzima isitoshe hata kununua mifuko kumi ya cement, ila unavyopiga kelele Sasa🤣🤣🤣.

Unaposema miradi imejengwa kwa Kodi zetu, unamkumbusha nani asiejua? Na hizo kodi zimeanza kulipwa wakati wa utawala huu? Mbona huko nyuma haikuwepo?
Basi kila Rais anafanya au kutekeleza kwa kodi zetu. Tuondoe umimi kwenye matumizi ya rasilimali za Taifa na mapato yake. Hivyo hata Mimi nikichaguliwa nitatekeleza. Halafu nikwambie kodi yangu nchi hii ni kubwa sana tu. Kuanzia income taxes, property taxes, land rents, with holding taxes, user fees etc. Unataka kingine?
 
Basi kila Rais anafanya au kutekeleza kwa kodi zetu. Tuondoe umimi kwenye matumizi ya rasilimali za Taifa na mapato yake. Hivyo hata Mimi nikichaguliwa nitatekeleza. Halafu nikwambie kodi yangu nchi hii ni kubwa sana tu. Kuanzia income taxes, property taxes, land rents, with holding taxes, user fees etc. Unataka kingine?
Tunachoangalia ni usimamizi na matumizi ya kodi na sio swala la kwamba anatumia kodi zetu,kwani Kuna mtu aliwahi anatumia hela zake za mfukoni?.

Wewe huwezi kuwa mlipa kodi kubwa, usingepata muda wa kushinda Jf na kulalamikia ugumu wa maisha.Sidhani hata kama kodi yako ya mwaka inatosha kununua mifuko hata 10 tu ya cement.
 
Tunachoangalia ni usimamizi na matumizi ya kodi na sio swala la kwamba anatumia kodi zetu,kwani Kuna mtu aliwahi anatumia hela zake za mfukoni?.

Wewe huwezi kuwa mlipa kodi kubwa, usingepata muda wa kushinda Jf na kulalamikia ugumu wa maisha.Sidhani hata kama kodi yako ya mwaka inatosha kununua mifuko hata 10 tu ya cement.
Mimi ni wa kushinda JF? Nilishaweka mifumo kwenye mambo yangu!!!!. Waajiriwa na Managers wa kutosha!!!!. Niko connected na technology kwenye mambo yangu. Siyo nyie mkiwa na biashara mnahemea hiyo kukimbizana kama panya buku. Huko nilishatoka 20 yrs ago. Sass hivi kila kitu changu kilo tracked na systemized. Una lingine? Nenda kalale huwezi kubishana na Mimi. I am not your level or cycle.

Sasa niko active sana hapa kwa sababu ya political waves. Zikiisha nami nakuja hapa nadra.
By the way hata nikilala huku zinaingia na kodi siachi hata thumni nalipa.
 
Mimi ni wa kushinda JF? Nilishaweka mifumo kwenye mambo yangu!!!!. Waajiriwa na Managers wa kutosha!!!!. Niko connected na technology kwenye mambo yangu. Siyo nyie mkiwa na biashara mnahemea hiyo kukimbizana kama panya buku. Huko nilishatoka 20 yrs ago. Sass hivi kila kitu changu kilo tracked na systemized. Una lingine? Nenda kalale huwezi kubishana na Mimi. I am not your level or cycle.

Sasa niko active sana hapa kwa sababu ya political waves. Zikiisha nami nakuja hapa nadra.
By the way hata nikilala huku zinaingia na kodi siachi hata thumni nalipa.
Hongera sana. Watu kama wewe n muhimu sana kwa nchi yetu. Unawashauri nini vijana kuhusu tatizo la ajira?
 
Hongera sana. Watu kama wewe n muhimu sana kwa nchi yetu. Unawashauri nini vijana kuhusu tatizo la ajira?
Asante sana. Ninapenda sana vijana. Kinachosikitisha kilio ni Ajira. Nataka nikwambie Ajira zipo na ni za aina mbili. Kuajiriwa au kujiajiri. Zote hizi zina changamoto zake.
Ya kuajiriwa kazi hazipo kwa kuwa uwekezaji ni mdogo hasa Viwanda na serikali sekta ni zilezile. Elimu yetu iliyopita kutuambia tuajiriwe. Ni mbaya hii.

Kujiajiri ndiyo suluhisho japo kuna changamoto zake hasa vijana. Kuthubutu inaogopeka. Tunataka mambo makubwa kabla ya kujaribu Madogo. Vijana wengi hasa wasomi fursa hawazioni kiasi kwamba wanashindwa na waliofeli darasa la 7, IV au VI. Ni kwa nini? Ni kutaka kuanza na mambo makubwa wakati pengine mtaji huna na ujuzi wa biashara huna. Anataka aanze kuwa tajiri muda huo huo. Haitawezekana.
Hivyo kama kijana huna Ajira use chini na tafakari kitu cha kufanya kukuingizia pesa taratibu na ambacho mtaji unao huohuo mdogo maana taasisi za fedha hazitoi mikopo kirahisi kwa start ups.
 
Mimi ni wa kushinda JF? Nilishaweka mifumo kwenye mambo yangu!!!!. Waajiriwa na Managers wa kutosha!!!!. Niko connected na technology kwenye mambo yangu. Siyo nyie mkiwa na biashara mnahemea hiyo kukimbizana kama panya buku. Huko nilishatoka 20 yrs ago. Sass hivi kila kitu changu kilo tracked na systemized. Una lingine? Nenda kalale huwezi kubishana na Mimi. I am not your level or cycle.

Sasa niko active sana hapa kwa sababu ya political waves. Zikiisha nami nakuja hapa nadra.
By the way hata nikilala huku zinaingia na kodi siachi hata thumni nalipa.
Wewe kipaji chako ni madoido na ushambenga na Hilo linathibitika bila kificho kupitia uandishi wako.Hayo unayojaribu kukuaminisha yako nje ya uwezo wa ubongo wako mara elfu mia moja.

Vijana tafuteni kazi za kufanya,acheni kushinda mitandaoni kutafuta support na kujifariji juu ya ujinga wenu wenyewe uliowafanya mshindwe kuendelea, kwamfano wewe, hata aje Rais gani kwa mindset uliyonayo ni ngumu Sana kutoboa.
 
Asante sana. Ninapenda sana vijana. Kinachosikitisha kilio ni Ajira. Nataka nikwambie Ajira zipo na ni za aina mbili. Kuajiriwa au kujiajiri. Zote hizi zina changamoto zake.
Ya kuajiriwa kazi hazipo kwa kuwa uwekezaji ni mdogo hasa Viwanda na serikali sekta ni zilezile. Elimu yetu iliyopita kutuambia tuajiriwe. Ni mbaya hii.

Kujiajiri ndiyo suluhisho japo kuna changamoto zake hasa vijana. Kuthubutu inaogopeka. Tunataka mambo makubwa kabla ya kujaribu Madogo. Vijana wengi hasa wasomi fursa hawazioni kiasi kwamba wanashindwa na waliofeli darasa la 7, IV au VI. Ni kwa nini? Ni kutaka kuanza na mambo makubwa wakati pengine mtaji huna na ujuzi wa biashara huna. Anataka aanze kuwa tajiri muda huo huo. Haitawezekana.
Hivyo kama kijana huna Ajira use chini na tafakari kitu cha kufanya kukuingizia pesa taratibu na ambacho mtaji unao huohuo mdogo maana taasisi za fedha hazitoi mikopo kirahisi kwa start ups.
Mkuu hapa tunaenda sambamba👏👏👏, vijana wetu wameharibika Sana,huu utandawazi nao ndo umekuja kumaliza kabisa Kila kitu.Yani leo hii kijana yuko radhi amiliki angalau simu ya 300K ili aje kucomment na kubishana Jf na mitandao mingine ilihali hana chochote cha kumuingizia kipato,kulalamika kumekuwa kwingi,mtu akisoma kidogo tu anaanza kubagua kazi daaah.
 
Wewe kipaji chako ni madoido na ushambenga na Hilo linathibitika bila kificho kupitia uandishi wako.Hayo unayojaribu kukuaminisha yako nje ya uwezo wa ubongo wako mara elfu mia moja.

Vijana tafuteni kazi za kufanya,acheni kushinda mitandaoni kutafuta support na kujifariji juu ya ujinga wenu wenyewe uliowafanya mshindwe kuendelea, kwamfano wewe, hata aje Rais gani kwa mindset uliyonayo ni ngumu Sana kutoboa.
Nitoboe mara ngapi? Niko JF miaka 12. Tena miaka hii ya karibuni siko Active sana. Sijazaliwa leo. Nina wajukuu. Sasa nakula matunda ya kufanya kazi kwa bidii.
 
Mkuu hapa tunaenda sambamba👏👏👏, vijana wetu wameharibika Sana,huu utandawazi nao ndo umekuja kumaliza kabisa Kila kitu.Yani leo hii kijana yuko radhi amiliki angalau simu ya 300K ili aje kucomment na kubishana Jf na mitandao mingine ilihali hana chochote cha kumuingizia kipato,kulalamika kumekuwa kwingi,mtu akisoma kidogo tu anaanza kubagua kazi daaah.
Ndiyo maana nimekwambia Mimi si waleo. Vijana wangu ni watu wazima eanajitegemea na hakuna aliyeajiriwa. Wamejiajiri. Nilijenga mindset ya wajitegemee toka wako Primary miaka hiyo hakuna Academic Schools lakini nilijitahidi wakasoma Arusha School na nje na waliporudi kila mtu na Business Plan yake. Walipambana na kuanguka na kuinuka. Kuna mmoja alijaribu mawazo 3 alifeli yote la nne akaondoka jumla kumzidi kaka mtu. Kiujumla sina mtoto aliyeajiriwa bali walipambana kidogo kidogo na sasa wako stable. Mabinti 2 nao ni wapambanaji hawajaajiriwa na wako kwa waume zao. Hawa walianza kuuza vitu wakiwa chuoni kama nguo, perfumes, mapambo ya kike (herein, mikufu n.k) na simu. Walimaliza wakiwa na millions kadhaa kwenye Account zao.
Halafu kijana analialia eti hakuna Ajira.
Ila pia role ya wazazi ni kitu muhimu sana kuwasaidia. Hapa ndiyo shida kwa kuwa familia nyingi Tanzania uchumi ni mdogo sana. Miaka 59 bado umaskini umekithiri mno.
 
Ni aibu kubwa kusifia daraja ambaloilipaswa kujegwa miaka 30 iliuopita ccm wakiwa madarakani,
 
Sasa safari za nyumbani zimekuwa tamu zaidi;

Huku Bombadia.

Kule TRC

Na hapa Daraja la Uhakika,

Ama kwa hakika awamu hii ni ya aina yake.

Mitano tena kwa JPM.
 
Ndiyo maana nimekwambia Mimi si waleo. Vijana wangu ni watu wazima eanajitegemea na hakuna aliyeajiriwa. Wamejiajiri. Nilijenga mindset ya wajitegemee toka wako Primary miaka hiyo hakuna Academic Schools lakini nilijitahidi wakasoma Arusha School na nje na waliporudi kila mtu na Business Plan yake. Walipambana na kuanguka na kuinuka. Kuna mmoja alijaribu mawazo 3 alifeli yote la nne akaondoka jumla kumzidi kaka mtu. Kiujumla sina mtoto aliyeajiriwa bali walipambana kidogo kidogo na sasa wako stable. Mabinti 2 nao ni wapambanaji hawajaajiriwa na wako kwa waume zao. Hawa walianza kuuza vitu wakiwa chuoni kama nguo, perfumes, mapambo ya kike (herein, mikufu n.k) na simu. Walimaliza wakiwa na millions kadhaa kwenye Account zao.
Halafu kijana analialia eti hakuna Ajira.
Ila pia role ya wazazi ni kitu muhimu sana kuwasaidia. Hapa ndiyo shida kwa kuwa familia nyingi Tanzania uchumi ni mdogo sana. Miaka 59 bado umaskini umekithiri mno.
Nadhani mfumo wa malezi kwa wazazi wa kiafrika hasa Tanzania ndo unafanya vijana wengi wawe tegemezi.Achilia mbali vijana wangu 4, hata ndugu zangu wa tumbo moja wote hakuna alieajiriwa serikalini na maisha yanaenda, Ila ukichunguza mazingira tuliyoanzia kutafuta, naamini ni vijana wachache sana wa leo wanaoweza kufanya. Wengi ni wavivu, aibu nyingi, waoga, wanachukulia maisha kama kitu simple Sana(utawakuta wanajadili kilimo cha mtikiti mitandaoni wakiwa na matarjio makubwa kweli😂),alafu umri wao ukienda wanabaki na kazi ya kuilaumu serikali juu ya Hali mbaya ya mifuko yao.
 
Nadhani mfumo wa malezi kwa wazazi wa kiafrika hasa Tanzania ndo unafanya vijana wengi wawe tegemezi.Achilia mbali vijana wangu 4, hata ndugu zangu wa tumbo moja wote hakuna alieajiriwa serikalini na maisha yanaenda, Ila ukichunguza mazingira tuliyoanzia kutafuta, naamini ni vijana wachache sana wa leo wanaoweza kufanya. Wengi ni wavivu, aibu nyingi, waoga, wanachukulia maisha kama kitu simple Sana(utawakuta wanajadili kilimo cha mtikiti mitandaoni wakiwa na matarjio makubwa kweli😂),alafu umri wao ukienda wanabaki na kazi ya kuilaumu serikali juu ya Hali mbaya ya mifuko yao.
Bravo kabisa. Yaani hata attempt mtu hafanyi. Eti serikali Ajira hakuna. Yaani degree mtu unsyo unategemea serikali? Hongera vijana wako walijitambua. Yaani inapendeza mno na Mzazi unafarijika.
 
Bravo kabisa. Yaani hata attempt mtu hafanyi. Eti serikali Ajira hakuna. Yaani degree mtu unsyo unategemea serikali? Hongera vijana wako walijitambua. Yaani inapendeza mno na Mzazi unafarijika.
Samahani sana,nikikuekewa tofauti kule juu 🖕.Tuendelee kushawishi vijana kujituma badala ya kukalia kuyumbishwa na wanasiasa ambao mwisho wa siku hupata ulaji na kuwaacha wao wakirandaranda mitaani bila chochote.
 
Back
Top Bottom