NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Basi usipite na kile kibaby worker chako.ukifika pale paa angani.Bayaaa jembamba kama tundu la sindano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi usipite na kile kibaby worker chako.ukifika pale paa angani.Bayaaa jembamba kama tundu la sindano
Zipo pesa nyingi sana na zinapigwa tu. Hivi hawa wawekezaji wanakuja kufuata nini Tz kama ni maskini? Ukichunguza sana utakuta wamo watu nyuma ya hiyo mikataba. Ni deal tu. Tumesikia ya Airport mpya anayeijenga au aliyeijenga. Uadilifu uko wapi? Iko pesa ila inaliwa kijanja.Membe; Tanzania haina hela
Apite kwa haki bila kuumiza wengine ndo ombi letu2015 ushindi ulikua controversial. Hii 2020 huyu jamaa ni anapita bila mtu kuhisi kama kuna mwingine kaonewa.
Anyway, barabara ya Shekilango inapitika na ule mto Ng'ombe kingo zake zishatengenezwa.
Bonde la Mkwajuni naona wanaendelea kulitengeneza.
Mkuu,Umenikumbusha kitu. Kitabaki moyoni
Nina kitu cha kimarekani daraja bayaaaBasi usipite na kile kibaby worker chako.ukifika pale paa angani.
Ni kodi za Magufuli na wapambe!Hivi si ni kodi zetu Eehh?
Magufuli ni Rais wa mfano. Watanzania tu wenye bahati kubwaJambo La Kheri , Maana Ni Kilio Cha Muda Mrefu
Hongera sana JPM na serikali yake. Hongera CCMHongera kwa serikali. Japo wamechelewa sana. Mpaka ajali zitokee ndio waje kujenga?
Kwann wasingejenga before walipoona daraja linazidiwa?
Kumbe una kitu cha US,ndo mana unadharau.Nina kitu cha kimarekani daraja bayaaa
Kubwa ni kuwa CCM chini ya Magufuli inajenga daraja hilo lenye umuhimu mkubwa na ambalo ni kiunganishi kikubwa Kati ya mikoa ya kaskazini/kaskazini mashariki na mikoa ya mashariki pamoja na MoroMatajiri hawajui watafanyia nini Hela ni Bora kuongeza figure za zirro mbele 000' ili waweze Kufikiri ipo siku wataifikia
Ni Bora kujengewa Nyumba siyo ishu saizi maana Watoto wa wakubwa Wakimgusa mtu kwenye mifumo ya kufikiri badala ya Kutakatisha hela Tunasema Tayari tumlijengea Nyerere, Mwinyi na Jk wengine watakuja
View attachment 1604878
Acha kabisa. Tayari nipo wilayani korogwe ambapo JPM atafanya kampeni ya mkoa hapo Kesho, yan mji wore n kijani kibichi. Viongozi wetu wa CCM wa mkoa na wilaya wanafanya kazi nzuri sana. Miongoni mwa viongozi hao wala hawatoki mkoa wa Tanga. Inamaana kama ingekuwa ni serikali ya majimbo tusingekuwa naoJPM kiboko yao.
Wewe sisi tunasonga mbele na sasa tuko 45%. Wewe na Mbowe kaeni kwa kutulia, mtapita mkiwa mnaenda Haikazi zimesimama hapo hakuna ujenzi unaoendela wacha kupotosha.
kama serikali inachukua kodi ni wajibu wake kujenga miundombinu, kura yangu kwa TL!.Kura zote kwa JPM.