Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Kuishukuru serikali kwa kujenga miundombinu ni sawa na kuishukuru ATM Machine baada ya kutoa pesa zako mwenyewe kwenye akaunti yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lofa wewe, wewe si unayajua maendeleo ya watu tu, mbona unayaingilia maendeleo ya vitu umeanza kuyajua lini? Au ndo vichip vinawawasha.Kampuni ya Mayanga, WIZI MTUPUkidaraja chembamba kama kivuko cha watembea kwa miguu Buguruni Shell.
#NIYEYE Rais ni Lissu awamu ya6.
Sijui umeandika kwa kutumia nini hapo, mathalani ni sawa na kutomshukuru baba yako kwa kukulipia ada ya shule eti kisa ni wajibu wake, sasa angepeleka hiyo pesa kwa mchepuko ungeipata? Acha ulofa wewe.Kuishukuru serikali kwa kujenga miundombinu ni sawa na kuishukuru ATM Machine baada ya kutoa pesa zako mwenyewe kwenye akaunti yako.
Haujafika hata 20%Mgombea Urais wa CCM ndugu John Magufuli azidi kung'ara kwa miradi yake yenye tija kwa watanzania. Mradi wa daraja jipya la wami wafikia 45%. Hii itapunguza ajali hivyo kuokoa maisha pia itapunguza muda wa safari.
#2020 kura zote kwa John
Amani
acha tu mkuu...walikua wanasubir ajali ya aina yake vifo kibao ndio wajitokezeWatu ndio wamefufuka kukumbuka miradi.
Acha maswali ya kichawi bana.We kama humpi kura usimpe ila hili swali lako limekaa kama mtu ambaye anatafuta ugomvi.ILA ni Jambo zuri sana hili limefanyika ila KURA bado tutampa MTOTO wa LISSUHongera kwa serikali. Japo wamechelewa sana. Mpaka ajali zitokee ndio waje kujenga?
Kwann wasingejenga before walipoona daraja linazidiwa?
Serikali inayokumbatia mashoga haitufai. Serikali ya Magufuli inakumbatia mashogaMagufuli baba lao
Msaliti wa Nchi Lissu hoi
Miradi imeanza muda sanaaaWatu ndio wamefufuka kukumbuka miradi.
serikali sio baba yangu kwasababu inatumia jasho langu ambayo ni kodi nayolipa kwenye kila bidhaa nayonunua kwa pesa yangu.Sijui umeandika kwa kutumia nini hapo, mathalani ni sawa na kutomshukuru baba yako kwa kukulipia ada ya shule eti kisa ni wajibu wake, sasa angepeleka hiyo pesa kwa mchepuko ungeipata? Acha ulofa wewe.
Magufuli baba lao
Msaliti wa Nchi Lissu hoi
😅Wee msambaa mshamba halafu mpumbavu sana...kwani hizo pesa anatoa mfukoni mwake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Angejenga daraja kabla ya Chato International Airport maisha yaliyopotea hapo Wami yangeokolewa!Angeanza na hiyo changamoto kabla ya kule ambako haikuwa priority ya Taifa. Ila nimesahau Charity starts at home.
😂😂😂😂😂😂😂😂mkali siyo kwa hiyo jibu Kama nakuona vileZuri.
Lina jengwa bila ramani au!?Hatakujengwa bado mmeshaanza kupinga pinga tuu. Ndo mnataka kupewa nchi nyie?
Kumchagua kiongozi kisa anajenga madaraja ni dalili mojawapo ya upungufu wa akili...Mgombea Urais wa CCM ndugu John Magufuli azidi kung'ara kwa miradi yake yenye tija kwa watanzania. Mradi wa daraja jipya la wami wafikia 45%. Hii itapunguza ajali hivyo kuokoa maisha pia itapunguza muda wa safari.
#2020 kura zote kwa John
Amani
Tundu Lissu [emoji3581]Kura zote kwa JPM.