Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
- Thread starter
-
- #41
...............tunapaswa kuwa makini sana tunapogusa masuala ya ummaHizi serikali za nchi za kiafrika ni bure kabisa. Kwa nini wasingetangaza tenda wampe mkandarasi mmoja au wawili au idadi inayofaa wajenge? Serikali ibaki kwenye usimamizi tu
Naelewa vizuri sana.unaelewa unachochangia kweli?...
Kuna baadhi ya halmashauri wahusika wameelekezwa hivyo,na kuna mafanikio makubwa sana.tatizo hapo litakuja kwenye muda
nimelalamika wapi zaidi ya kuonesha madhila wewe jamaa?sasa mbona unalalamika hapa wewe mwenye mawazo mapana?
Tupambane kitu kitokee periodAnakuja Afisa Elimu anakupangia cha kufanya....
Unakuta anakwambia Halmashauri imeagiza mabati huko kiwandani....lipieni!😎
Bei za wakandarasi wanapo bid kwenye tender zinakua kubwa kuliko allocated budget ya mradi.Tumieni wakandarasi;
Tangaza tenda,
Mpe kazi mkandarasi,
Lipa kwa mujibu wa sheria.
Mfano;
25% malipo ya awali
25% nusu ya kazi
25/% akimaliza kazi
25% baada kuthibitisha
ubora wa kazi.
NB:
Kila h/mashauri ina mhandisi
na team ya ufuatiliaji.
Hamko peke yenu,chapeni
kazi.
Nina uzoefu sana juu haya. Wanaweza kukuletea mkandarasi nakuagiza uhakikishe anapitishwa. Watakueleza na muda na kiasi cha kumlipa isivo rasmi.Habarini wanajamvi!..
Tunafahamu kinachoendelea juu ya ujenzi wa madarasa kote nchini chini ya ufadhili wa IMF lakini kinachofanyika kimenisukuma kuandika haya.
Mosi, wakuu wa shule wamejikuta katika wakati mgumu sana kutokana na kuwepo kwa wimbi kubwa la wakaguzi na wafuatiliaji ambao kila mmoja amekuwa akitoa mapendekezo yake juu ya ujenzi licha ya kuwepo kwa muongozo katika Bill of Quantity (BOQ)
Pili, kumeibuka wimbi la watu wa kati wanaovuruga biashara ya vifaa vya ujenzi, jambo linalosababisha vifaa hivyo kuuzwa kwa bei kubwa kuliko kawaida yake.
Tatu, muda uliopangwa ili kukamilisha ujenzi wa madarasa hayo ni mfupi kiasi cha kutia mashaka juu ya ubora, mathalani hakuna muda wa kutosha ili kumwagilia maji majengo hayo licha ya kutumia saruji nyingi.
Nne, Bill of Quantity haijaonesha gharama zote mfano gharama za maji, umwagiliaji na usafiri.
Tano, licha ya ukweli kuwa kazi hii inahitaji usimamaizi wa karibu katika muda wote wa kazi, hakuna kiasi kilichotengwa kwa ajili ya chakula au maji ya wasimamizi.
Walimu si ccm bali hupokea tu maelekezo wakiambiwa ole wenu ... Wanaogopa kupoteza ajira.Walimu chapeni kazi nyie si ndio wamaccm na chama kinawaamini?
Mnasimamia uchaguzi sembuse ujenzi wa madarasa??
Tatizo kujipendekeza sana ili mpewe vyeo.
Wakuu wa shule lazima mapigo ya moyo yaongezeke kukiwa na mradi wa ujenzi. Adui wa mwalimu pia ni mwalimuMkuu, hawa walimu wakuu wanapata pressure kubwa sana kutoka kwa viongozi wa Halmashauri zao. Hii miradi inatekelezwa kisiasa zaidi. Na Mkuu wa Shule asipoangalia ang'oka!
True ni wanyonge mno. Na wanaonewa kweli kweli. Kuna halmashauri ukionelana Mwl Ni mpinzani basi madili ya serikali hapati.Walimu si ccm bali hupokea tu maelekezo wakiambiwa ole wenu ... Wanaogopa kupoteza ajira.
Walimu ni kama yaya hana ujanja mbele ya bosi wake.
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app