Ujenzi wa Magorofa ya Kariakoo hauzingatii viwango, kama hili litaendelea kupuuzwa, tutegemee maafa zaidi

Ujenzi wa Magorofa ya Kariakoo hauzingatii viwango, kama hili litaendelea kupuuzwa, tutegemee maafa zaidi

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Sababu kubwa ya jengo la KKO kubomoko linaanzia kwenye Regulatory Authority iliyotoa kibali bila ya kuzingatia Risk associated

Pembeni ya Gorofa lililoanguka kuna Gorofa inajengwa, kwa kuwa nchi ya Tanzania ipo chini ya wahuni, kibali kimetoka bila ya kuweka Measure na Risk Mitigation Plan, matokeo yake Gorofa inayojengwa wamechimba sana hadi kwenda ku disturb foundation ya gorofa la pembeni, kitu kikaitika.

Huu ni uzembe wa Mamlaka husika na sitegemei kama wanapaswa kuendelea kuwepo ofisini as we speak !
Magorofa ya KKO yote hayafuati Viwango , Quality Assurance na Quality Control ipo compromised sana kwa rushwa kutoka mamlaka za vibali. Hata kama kweli unazo hela, ndio ukamilishe ujenzi wa gorofa kwa wiki mbili ?

NI MAMLAKA GANI INAYOHUSIKA KUTOA VIBALI,? Hawapaswi kuwa Ofisini, watawamaliza watanzania wote,

Nendeni mkachunguze,Gorofa zinajengwa mid night, umbali kati ya gorofa na gorofa ni zero distance kiasi kwamba wakati wa uchimbaji ukikosea code, unaathiri foundation ya gorofa lingine na haya yote yanafanyika huku mamlaka husika zikitazama.

Kama mtaendeleza Uchawa kwa viongozi wenu nyie vijana wa Lumumba , tambueni mpo kwenye nyumba mnayoibomoa wenyewe

Samia ni continuation ya JPM , chini ya utawala wa Samia kuna matukio mengi ya uwajibika hayachukuliwi hatua, utitiri wa gorofa KKO ni mwingi mamlaka husika hazina habari , nchi ni kama haina msimamizi, fanya lolote isipokuwa usiwakosoe, ukiwakosoa utawaona wazee wa Noah nyeusi zisizokuwa na plate number wakijiita watekaji kumbe ni wale wale

Serikali yaani CCM Kama hamtoweka Contigency plans za kureview vibali vyote ambavyo ujenzi wake unaambatana na zero distance ya gorofa lingine, get prepared for the worst;

Ni wiki 1 tu , nilizungumzia hii ishu hapa
Unadhani kama tungekuwa na tume ya uchaguzi kama ya USA, Samia angeweza kutoboa hata kwa 10%?, Leo yametokea.

Wengine tumeenda shule sio kuwa wajinga au kusujudia teuzi na uchawa, tumeenda shule ili kuwa more realistic na kuitazama dunia in a big picture

Nyie wazee wa anaupiga mwingi , ameweza ametimiza, endeleeni kupiga makofi, uzuri KKO ni njia ya Watanzania wote

PIA SOMA
- Breaking News: - Ghorofa limeporomoka Kariakoo asubuhi ya leo Novemba 16
 
Kipaumbele
Screenshot_20241116-162911.jpg
 
Mimi huwa nashangaa yani msingi wa ghorofa jipya unachimbwa bonge la shimo mpka pembezoni mwa ghorofa refu sasa nikawa najiuliza hivi haiwezi kuathiri misingi ya maghorofa yaliyopo karibu au ndo kwa vile mimi sio engineer??

Lkn pia vipi kama msingi wa maghorofa ya zamani utakuwa mfupi kuliko haya yanayojengwa haiwezi kuleta maafa zaidi ya haya yaliyotokea
Nafkiri tusubir ripoti lkn ujenzi mpya unadisturb ubora wa maghorofa yaliyopo
 
Hilo jengo ni la zamani

Ila nimeona moja linajengwa sinza mugabe pale hadi nikasimama kushangaa kidogo. Yaani jamaa wamechimba chini wamepanga mambao sasa ajabu pembeni kuna ghorofa lingine, na lenyewe kama linaninginia kutokana na hao jamaa jirani wanaochimba.

Sijawahi kuona ujenzi huo na sina ujuzi wa ujenzi lakini nilishtuka kidogo.
 
Pembeni ya Gorofa lililoanguka kuna Gorofa inajengwa, kwa kuwa nchi ya Tanzania ipo chini ya wahuni, kibali kimetoka bila ya kuweka Measure na Risk Mitigation Plan, matokeo yake Gorofa inayojengwa wamechimba sana hadi kwenda ku disturb foundation ya gorofa la pembeni, kitu kikaitika.
Hii ndio maana halisi ya msemo kutoka kwenye Biblia unaosema "Rushwa hupofusha macho ya wenye akili."
 
Sababu kubwa ya jengo la KKO kubomoko linaanzia kwenye Regulatory Authority iliyotoa kibali bila ya kuzingatia Risk associated

Pembeni ya Gorofa lililoanguka kuna Gorofa inajengwa, kwa kuwa nchi ya Tanzania ipo chini ya wahuni, kibali kimetoka bila ya kuweka Measure na Risk Mitigation Plan, matokeo yake Gorofa inayojengwa wamechimba sana hadi kwenda ku disturb foundation ya gorofa la pembeni, kitu kikaitika.

Huu ni uzembe wa Mamlaka husika na sitegemei kama wanapaswa kuendelea kuwepo ofisini as we speak !
Magorofa ya KKO yote hayafuati Viwango , Quality Assurance na Quality Control ipo compromised sana kwa rushwa kutoka mamlaka za vibali. Hata kama kweli unazo hela, ndio ukamilishe ujenzi wa gorofa kwa wiki mbili ?

NI MAMLAKA GANI INAYOHUSIKA KUTOA VIBALI,? Hawapaswi kuwa Ofisini, watawamaliza watanzania wote,

Nendeni mkachunguze,Gorofa zinajengwa mid night, umbali kati ya gorofa na gorofa ni zero distance kiasi kwamba wakati wa uchimbaji ukikosea code, unaathiri foundation ya gorofa lingine na haya yote yanafanyika huku mamlaka husika zikitazama.

Kama mtaendeleza Uchawa kwa viongozi wenu nyie vijana wa Lumumba , tambueni mpo kwenye nyumba mnayoibomoa wenyewe

Samia ni continuation ya JPM , chini ya utawala wa Samia kuna matukio mengi ya uwajibika hayachukuliwi hatua, utitiri wa gorofa KKO ni mwingi mamlaka husika hazina habari , nchi ni kama haina msimamizi, fanya lolote isipokuwa usiwakosoe, ukiwakosoa utawaona wazee wa Noah nyeusi zisizokuwa na plate number wakijiita watekaji kumbe ni wale wale

Serikali yaani CCM Kama hamtoweka Contigency plans za kureview vibali vyote ambavyo ujenzi wake unaambatana na zero distance ya gorofa lingine, get prepared for the worst;

Ni wiki 1 tu , nilizungumzia hii ishu hapa
Unadhani kama tungekuwa na tume ya uchaguzi kama ya USA, Samia angeweza kutoboa hata kwa 10%?, Leo yametokea.

Wengine tumeenda shule sio kuwa wajinga au kusujudia teuzi na uchawa, tumeenda shule ili kuwa more realistic na kuitazama dunia in a big picture

Nyie wazee wa anaupiga mwingi , ameweza ametimiza, endeleeni kupiga makofi, uzuri KKO ni njia ya Watanzania wote !
Wewe kenge unajua gorofa husika lina miaka mingapi?
 
Sababu kubwa ya jengo la KKO kubomoko linaanzia kwenye Regulatory Authority iliyotoa kibali bila ya kuzingatia Risk associated

Pembeni ya Gorofa lililoanguka kuna Gorofa inajengwa, kwa kuwa nchi ya Tanzania ipo chini ya wahuni, kibali kimetoka bila ya kuweka Measure na Risk Mitigation Plan, matokeo yake Gorofa inayojengwa wamechimba sana hadi kwenda ku disturb foundation ya gorofa la pembeni, kitu kikaitika.

Huu ni uzembe wa Mamlaka husika na sitegemei kama wanapaswa kuendelea kuwepo ofisini as we speak !
Magorofa ya KKO yote hayafuati Viwango , Quality Assurance na Quality Control ipo compromised sana kwa rushwa kutoka mamlaka za vibali. Hata kama kweli unazo hela, ndio ukamilishe ujenzi wa gorofa kwa wiki mbili ?

NI MAMLAKA GANI INAYOHUSIKA KUTOA VIBALI,? Hawapaswi kuwa Ofisini, watawamaliza watanzania wote,

Nendeni mkachunguze,Gorofa zinajengwa mid night, umbali kati ya gorofa na gorofa ni zero distance kiasi kwamba wakati wa uchimbaji ukikosea code, unaathiri foundation ya gorofa lingine na haya yote yanafanyika huku mamlaka husika zikitazama.

Kama mtaendeleza Uchawa kwa viongozi wenu nyie vijana wa Lumumba , tambueni mpo kwenye nyumba mnayoibomoa wenyewe

Samia ni continuation ya JPM , chini ya utawala wa Samia kuna matukio mengi ya uwajibika hayachukuliwi hatua, utitiri wa gorofa KKO ni mwingi mamlaka husika hazina habari , nchi ni kama haina msimamizi, fanya lolote isipokuwa usiwakosoe, ukiwakosoa utawaona wazee wa Noah nyeusi zisizokuwa na plate number wakijiita watekaji kumbe ni wale wale

Serikali yaani CCM Kama hamtoweka Contigency plans za kureview vibali vyote ambavyo ujenzi wake unaambatana na zero distance ya gorofa lingine, get prepared for the worst;

Ni wiki 1 tu , nilizungumzia hii ishu hapa
Unadhani kama tungekuwa na tume ya uchaguzi kama ya USA, Samia angeweza kutoboa hata kwa 10%?, Leo yametokea.

Wengine tumeenda shule sio kuwa wajinga au kusujudia teuzi na uchawa, tumeenda shule ili kuwa more realistic na kuitazama dunia in a big picture

Nyie wazee wa anaupiga mwingi , ameweza ametimiza, endeleeni kupiga makofi, uzuri KKO ni njia ya Watanzania wote !
Uzi nyoko kabisa huu!! Mawazo yako bwana/bibi weye ni
Sababu kubwa ya jengo la KKO kubomoko linaanzia kwenye Regulatory Authority iliyotoa kibali bila ya kuzingatia Risk associated

Pembeni ya Gorofa lililoanguka kuna Gorofa inajengwa, kwa kuwa nchi ya Tanzania ipo chini ya wahuni, kibali kimetoka bila ya kuweka Measure na Risk Mitigation Plan, matokeo yake Gorofa inayojengwa wamechimba sana hadi kwenda ku disturb foundation ya gorofa la pembeni, kitu kikaitika.

Huu ni uzembe wa Mamlaka husika na sitegemei kama wanapaswa kuendelea kuwepo ofisini as we speak !
Magorofa ya KKO yote hayafuati Viwango , Quality Assurance na Quality Control ipo compromised sana kwa rushwa kutoka mamlaka za vibali. Hata kama kweli unazo hela, ndio ukamilishe ujenzi wa gorofa kwa wiki mbili ?

NI MAMLAKA GANI INAYOHUSIKA KUTOA VIBALI,? Hawapaswi kuwa Ofisini, watawamaliza watanzania wote,

Nendeni mkachunguze,Gorofa zinajengwa mid night, umbali kati ya gorofa na gorofa ni zero distance kiasi kwamba wakati wa uchimbaji ukikosea code, unaathiri foundation ya gorofa lingine na haya yote yanafanyika huku mamlaka husika zikitazama.

Kama mtaendeleza Uchawa kwa viongozi wenu nyie vijana wa Lumumba , tambueni mpo kwenye nyumba mnayoibomoa wenyewe

Samia ni continuation ya JPM , chini ya utawala wa Samia kuna matukio mengi ya uwajibika hayachukuliwi hatua, utitiri wa gorofa KKO ni mwingi mamlaka husika hazina habari , nchi ni kama haina msimamizi, fanya lolote isipokuwa usiwakosoe, ukiwakosoa utawaona wazee wa Noah nyeusi zisizokuwa na plate number wakijiita watekaji kumbe ni wale wale

Serikali yaani CCM Kama hamtoweka Contigency plans za kureview vibali vyote ambavyo ujenzi wake unaambatana na zero distance ya gorofa lingine, get prepared for the worst;

Ni wiki 1 tu , nilizungumzia hii ishu hapa
Unadhani kama tungekuwa na tume ya uchaguzi kama ya USA, Samia angeweza kutoboa hata kwa 10%?, Leo yametokea.

Wengine tumeenda shule sio kuwa wajinga au kusujudia teuzi na uchawa, tumeenda shule ili kuwa more realistic na kuitazama dunia in a big picture

Nyie wazee wa anaupiga mwingi , ameweza ametimiza, endeleeni kupiga makofi, uzuri KKO ni njia ya Watanzania wote !
Uzi wa Fitina na chuki!! Au pingamizi lako nalo limetupiliwa mbali na hizo ndio hasira zako??! Kama una nia ya kujenga leta hoja zenye maono na sio tuhuma.
 
Mimi huwa nashangaa yani msingi wa ghorofa jipya unachimbwa bonge la shimo mpka pembezoni mwa ghorofa refu sasa nikawa najiuliza hivi haiwezi kuathiri misingi ya maghorofa yaliyopo karibu au ndo kwa vile mimi sio engineer??

Lkn pia vipi kama msingi wa maghorofa ya zamani utakuwa mfupi kuliko haya yanayojengwa haiwezi kuleta maafa zaidi ya haya yaliyotokea
Nafkiri tusubir ripoti lkn ujenzi mpya unadisturb ubora wa maghorofa yaliyopo
Endelea Kusubiri Ripoti

Hivi ripoti za moto wa soko la KKO ilikusaidiaga nini ?

Hapo TZ kuna report nyingi sana za maafa, hazina mpango wowote zaidi ya kamati za upigaji

Umeuliza kama vipi gorofa la zaman lilikuwq na msingi mfupi, hiyo ndio mana ya risk mitigation plan na kabla ya kutoa kibali, assement lazima ifanyike kwa ku consider hicho ulichosema

Endelea kusubiri ripoti italufikia na Kristo atakapokuja

Mimi huwa nashangaa yani msingi wa ghorofa jipya unachimbwa bonge la shimo mpka pembezoni mwa ghorofa refu sasa nikawa najiuliza hivi haiwezi kuathiri misingi ya maghorofa yaliyopo karibu au ndo kwa vile mimi sio engineer??

Lkn pia vipi kama msingi wa maghorofa ya zamani utakuwa mfupi kuliko haya yanayojengwa haiwezi kuleta maafa zaidi ya haya yaliyotokea
Nafkiri tusubir ripoti lkn ujenzi mpya unadisturb ubora wa maghorofa yaliyopo
 
kwa kuwa nchi ya Tanzania ipo chini ya wahuni, kibali kimetoka bila ya kuweka Measure na Risk Mitigation Plan, matokeo yake Gorofa inayojengwa wamechimba sana hadi kwenda ku disturb foundation ya gorofa la pembeni, kitu kikaitika.
Duh,
Inasikitisha sana
Kama mtaendeleza Uchawa kwa viongozi wenu nyie vijana wa Lumumba , tambueni mpo kwenye nyumba mnayoibomoa wenyewe
Hawa ni kama kansa ndani ya CCM. Kazi yao ni kudanganya watawala kuwa kila wanachofanya ni chema na hivyo wanakubalika sana kwa umma.
nchi ni kama haina msimamizi, fanya lolote isipokuwa usiwakosoe, ukiwakosoa utawaona wazee wa Noah nyeusi zisizokuwa na plate number wakijiita watekaji kumbe ni wale wale
Duh, hatari sana
 
Back
Top Bottom