Nimeishia la pili BHivi la nne ulmaliza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeishia la pili BHivi la nne ulmaliza?
Ndiyo hivyo nimeshakuambia achana na mimi.Hili ni jukwaa huru ukishaandika kitu humu kila mmoja ana haki ya kuku quote, kama hautaki una nafasi ya ku ignore tu , mbona wewe ni mkogwe wa mda tu mkuu?
Najua historia ya KKO nimezaliwa na kukulia hapo. Huna cha kunifundisha kuhusu ya KKO , hata gorofa lililoanguka KKO chini ya Injia Mchina enzi za JK nilikuwepo just near by na sababu hazikuwa sababu kwenye madaVijana wa elfu mbili,wengi wao wanafikiri hii ni mara ya kwanza kwa Ghorofa kuanguka Dar,akiwemo mleta mada.
Na hii ndio sababu gorofa kudondoka, kama watoa vibali wasipochukuliwa hatua stahiki, tutegemee maafa mengi, magorofa mengi ya KKO ni ya zamani, unapotoa kibali ujenzi wa gorofa lingine pembeni yake , kama Technical personnel lazima ufanye analysis na kuangalia risk kabla huja issue kibaliHilo jengo ni la zamani
Ila nimeona moja linajengwa sinza mugabe pale hadi nikasimama kushangaa kidogo. Yaani jamaa wamechimba chini wamepanga mambao sasa ajabu pembeni kuna ghorofa lingine, na lenyewe kama linaninginia kutokana na hao jamaa jirani wanaochimba.
Sijawahi kuona ujenzi huo na sina ujuzi wa ujenzi lakini nilishtuka kidogo.
😂😂 binafsi sija ambatana na wewe , hapa nachangia tu kama wewe unavyofanya , natumia haki yangu ya kuchangia bila matusi kama watu waungwana wanavyofanya , thibitisha uwepo wa jehanam , kama hauwezi una haki ya kunyamaza pia🤔Ndiyo hivyo nimeshakuambia achana na mimi.
Hatari sana , gorofa za zaman hawakuwa wanachimba sanaKwahiyo kwa sasa ni hatari kupita karibu na msingi wa ghorofa unaochimbwa chini sana ambapo pembeni kuna ghorofa la zamani linaloning'inia pembeni ya msingi unaochimbwa
Ye ana chuki na samia tu,hata dhakari isiposimama atamlaumu samiaMpuuzi huyo orofa ya miaka zaidi ya 30 anataka kuaminisha watu uongo wake ubwa kbs huyo!!
😂😂 binafsi sija ambatana na wewe , hapa nachangia tu kama wewe unavyofanya , natumia haki yangu ya kuchangia bila matusi kama watu waungwana wanavyofanya , thibitisha uwepo wa jehanam , kama hauwezi una haki ya kunamaza pia🤔
Ushauri wako uliotoa kwenye post #27 ungeufuata ingependeza zaidi. Au unataka league na mimi?😂😂 binafsi sija ambatana na wewe , hapa nachangia tu kama wewe unavyofanya , natumia haki yangu ya kuchangia bila matusi kama watu waungwana wanavyofanya , thibitisha uwepo wa jehanam , kama hauwezi una haki ya kunyamaza pia🤔
Mbona utetezi umekua mrefu sana,tena kwa kutoa povu kama mganjwa wa kifafa? Uzi wako umelaumu utawala uliopo,ndio maana nikasema kua vijana wengi wanafikiri hili ni ghorofa la kwanza kuanguka,tena kwenye utawala huu,Najua historia ya KKO nimezaliwa na kukulia hapo. Huna cha kunifundisha kuhusu ya KKO , hata gorofa lililoanguka KKO chini ya Injia Mchina enzi za JK nilikuwepo just near by na sababu hazikuwa sababu kwenye mada
Elewq mada
Nendq kwenye kitabu cha majengo utaona ni mwaka gani bwana mdogoMbona utetezi umekua mrefu sana,tena kwa kutoa povu kama mganjwa wa kifafa? Uzi wako umelaumu utawala uliopo,ndio maana nikasema kua vijana wengi wanafikiri hili ni ghorofa la kwanza kuanguka,tena kwenye utawala huu,
Hilo Jengo limejengwa mwaka gani?
Jengo lina miaka 30+,unamlaumu samia asiye hata na miaka minne madarakani!?..kama siyo chuki ni nini?..umri na chuki vinahusiana nini!?Samia ni kama Mzazi wangu two Times , she is older than my parents, natoa chuki nae wapi, which, when ? Where ?
Shida kubwa ya machawa , akili huwa zinaruka
Sababu kubwa ya jengo la KKO kubomoko linaanzia kwenye Regulatory Authority iliyotoa kibali bila ya kuzingatia Risk associated
Pembeni ya Gorofa lililoanguka kuna Gorofa inajengwa, kwa kuwa nchi ya Tanzania ipo chini ya wahuni, kibali kimetoka bila ya kuweka Measure na Risk Mitigation Plan, matokeo yake Gorofa inayojengwa wamechimba sana hadi kwenda ku disturb foundation ya gorofa la pembeni, kitu kikaitika.
Huu ni uzembe wa Mamlaka husika na sitegemei kama wanapaswa kuendelea kuwepo ofisini as we speak !
Magorofa ya KKO yote hayafuati Viwango , Quality Assurance na Quality Control ipo compromised sana kwa rushwa kutoka mamlaka za vibali. Hata kama kweli unazo hela, ndio ukamilishe ujenzi wa gorofa kwa wiki mbili ?
NI MAMLAKA GANI INAYOHUSIKA KUTOA VIBALI,? Hawapaswi kuwa Ofisini, watawamaliza watanzania wote,
Nendeni mkachunguze,Gorofa zinajengwa mid night, umbali kati ya gorofa na gorofa ni zero distance kiasi kwamba wakati wa uchimbaji ukikosea code, unaathiri foundation ya gorofa lingine na haya yote yanafanyika huku mamlaka husika zikitazama.
Kama mtaendeleza Uchawa kwa viongozi wenu nyie vijana wa Lumumba , tambueni mpo kwenye nyumba mnayoibomoa wenyewe
Samia ni continuation ya JPM , chini ya utawala wa Samia kuna matukio mengi ya uwajibika hayachukuliwi hatua, utitiri wa gorofa KKO ni mwingi mamlaka husika hazina habari , nchi ni kama haina msimamizi, fanya lolote isipokuwa usiwakosoe, ukiwakosoa utawaona wazee wa Noah nyeusi zisizokuwa na plate number wakijiita watekaji kumbe ni wale wale
Serikali yaani CCM Kama hamtoweka Contigency plans za kureview vibali vyote ambavyo ujenzi wake unaambatana na zero distance ya gorofa lingine, get prepared for the worst;
Ni wiki 1 tu , nilizungumzia hii ishu hapa
Unadhani kama tungekuwa na tume ya uchaguzi kama ya USA, Samia angeweza kutoboa hata kwa 10%?, Leo yametokea.
Wengine tumeenda shule sio kuwa wajinga au kusujudia teuzi na uchawa, tumeenda shule ili kuwa more realistic na kuitazama dunia in a big picture
Nyie wazee wa anaupiga mwingi , ameweza ametimiza, endeleeni kupiga makofi, uzuri KKO ni njia ya Watanzania wote !