chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Raha ya nyumba ni kuwa kwako
Hata ndege hana kwake !
je hiyo nyumba hipoje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raha ya nyumba ni kuwa kwako
Feed back nimefanikiwa kujenga NYUMBA
- nmepandisha yote Boma
-nmepaua yote
-nimeweka gril yote
Nipo hatua ya kutaka kujenga Choo cha muda mfupi nadhani nitatumia pipa Kwanza
Pia nataka kupiga rafu floor vyumba viwili halafu nahamia hivohivo ujenzi utaendela nikiwa hapo hapo nitatumia umeme WA luku kampuni ya mysol(mobisol)
Nitag akikujibuUlitumia ndani ya bajeti yako ya 5m! Tupia na picha tuone!
Nimetuma milion 11 mpaka sasa lakn kwenye kupaua ndio nmetumia pesa nyingi mpaka sasaUlitumia ndani ya bajeti yako ya 5m! Tupia na picha tuone!
mtu anajenga kanyumba ka m9 anakavalue m20 ndio wakatisha tamaa wastani wa chumba kimoja kukamilika ni m2.5 kwa hio inawezekana