Ujenzi wa nyumba kwa bajeti ya milion 5

Ujenzi wa nyumba kwa bajeti ya milion 5

Biashara kipaji mkuu, wala msimtamanishe mtu.

Hujawahi kuuchuuza hata njiti za viberiti ukajifanye mfanyi Biashara mashuhuri, hiyo Pesa yote inapotea.

Ibaki tu wengine tujenge mungu akijaalia tuitwe Baba mwenyenyumba kisha nyie watu wa Biashara mje muwe Wapangaji wetu basi.
Kabisa wasitundanganye wengine hatuna hiyo kipaji
 
Inamana hata Fastjet haikuwahi kupata Faida???????????????????????????????
 
Nina kiwanja cha 20m kwa 20m, nataka kujenga 11m kwa 11m room Tatu sebule Choo na bafu za kawaida milioni kumi na tano, nitaweza kuanza kuishi kama haijakamilika?
Unaweza ndio, kikubwa kaa na fundi wako mtathimini na akushauri unachotaka ili mpate kitu halishi.

Au wasiliana na UVIMO, ndo kazi zetu .
Tukufanyie makadirio kwa kutumia kiasi hicho tutafute nyumba.

Kwa mawasiliano
0753927572 - wasap
0629361896 - Kupiga
0713665510 - Kupiga
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8000
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13000
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8000
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13000
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
Weka msingi wa Nyumba nzima kisha Jenga vyumba vitatu hadi vikamlike hamia vingine mbele kwa mbele
Namalizia nikiwa ndani

Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
 
Daaaaah kweli ayseeeee mwaka jana mwezi wa 10 nilapata uo mtiani ,,nilikuwa na kiasi kidogo cha fedha 3M malengo yangu nikaanze kununua tofali kwanza alafu mambo mengine yaendelee, mchumba wangu alinishauri niache kununua tofali ela yote niingize kwenye biashara , mwanzo nilimpinga nikaona ngoja nitafute ushauri zaidi na zaidi Kati ya watu 6 niliowaomba ushauri 5 wakasema niwekeze kwenye biashara niachane na tofali, mwezi wa 11 nikatafuta flemu nikanza biashara ya vyakula, ndani ya mwezi 1 biashara ikanipatia biashara nyingine ya UWAKALA ,, ADI APA NIANDIKAPO SMS HII ILE 3M NILIYOKUWA NATAKA NIKANUNUE TOFALI IMERUD NA MTAJI BADO NINAO
Hongera ndugu
 
Unaweza ukashindwa kuhamia ila itakuwa imesogea, probably utakuwa umepaua, hivyo ukiongezea kidogo 6-10 unaweza weka madirisha/ grill na lipu na rough ukahamia

Mkuu samahani niko nje ya mada naomba nikuulize kitu.
Hizi nyumba za huko ulaya zinazojengwa na matofali mekundu ya kuchoma yana ubora na kama haya ya huku kwetu yanachomwa kwenye moto!? Asante[emoji1488]
 
Mkuu samahani niko nje ya mada naomba nikuulize kitu.
Hizi nyumba za huko ulaya zinazojengwa na matofali mekundu ya kuchoma yana ubora na kama haya ya huku kwetu yanachomwa kwenye moto!? Asante[emoji1488]
Tafuta YouTube utajionea
 
Msaada kwa wataalamu na tips za michoro na ushauri kutoka kwenu wadau.nina m5 nmejchanga changa naitaj kujengo angalau vyumba 2 na sebule na jiko. Choo ndan cha public

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwema.
Naomba uwasiliane na UVIMO ambao Ni jumuia ya mafundi ili wakufanyie tathimini (BOQ) ya hyo pesa.
Hii itakupa majibu ya maswali yako yote.

Asante.

0629361896 - Kupiga
0753927572 - Wasap


View attachment 1792276View attachment 1792277View attachment 1792279View attachment 1792278
IMG-20210422-WA0008.jpg
 
Mkuu hebu wasiliana na UVIMO, tukufanyie makadirio (BOQ) na tufanye kazi,

0629361896 - Kupiga
0753927572 - Wasap

Tizama menyu yetu hapa chini.View attachment 1798928
 

Attachments

  • IMG_20210130_180936_8.jpg
    IMG_20210130_180936_8.jpg
    55.3 KB · Views: 12
nyumba au kituo cha ulinzi kile alichofungua waziri mkuu .

ninajenga nyumba ya vyumba viwili na sebule,jiko na vyoo viwili vya ndani imefika milioni 10 na bado hata dilisha
 
nyumba au kituo cha ulinzi kile alichofungua waziri mkuu .

ninajenga nyumba ya vyumba viwili na sebule,jiko na vyoo viwili vya ndani imefika milioni 10 na bado hata dilisha
Labda unataka finishing ya Hali ya juu 10 m haina mlango ni ya wapi hiyo
 
Back
Top Bottom